Kwanini huko Ughaibuni kama Marekani na Uingereza wasomi (Maprofesa na Madaktari) hawashoboki na siasa?

Kwanini huko Ughaibuni kama Marekani na Uingereza wasomi (Maprofesa na Madaktari) hawashoboki na siasa?

Kwasababu huku wanasoma kuwa wanasiasa na kule wanasoma ili watatue matatizo kwenye jamii na ni heshima kwao kufanikisha hilo.
 
Wakuu nimejaribu kufuatilia huko mambele nimegundua wasomi wakubwa hawajitokezi sana directly kupambania madaraka kama huku kwetu gizani Africa. Huko kwa mabeberu wasomi wakubwa wako huru sana (autonomy) kutoa ushauri hata kukosoa huku kwetu wasomi wanatoka jalalani wengine ni chawa promax.

Mfumuko wa bei uko juu, wasomi wapo tu hatuoni maandiko yao wala juhudi zao kulisaidia taifa. Vitu vingi vimepanda bei kuanzia chakula mpaka vifaa vya ujenzi lakini tuna wasomi wa phd ambao ni political decision makers wapo tu.

Ni muda sasa wasomi kuachana na siasa wajikite kwenye utaalamu wao kulisaidia taifa badala ya kulamba ubuyu na kuashia kumtukuza mfalme huku ndugu zao wakiteseka na kuzika ndoto zao.

Siku akitokea kichaa mmoja akakata mizizi ya wanasiasa na kuipeleka kwa wasomi hii nchi itapiga hatua.
 
Wakuu nimejaribu kufuatilia huko mambele nimegundua wasomi wakubwa hawajitokezi sana directly kupambania madaraka kama huku kwetu gizani Africa. Huko kwa mabeberu wasomi wakubwa wako huru sana (autonomy) kutoa ushauri hata kukosoa huku kwetu wasomi wanatoka jalalani wengine ni chawa promax.

Mfumuko wa bei uko juu, wasomi wapo tu hatuoni maandiko yao wala juhudi zao kulisaidia taifa. Vitu vingi vimepanda bei kuanzia chakula mpaka vifaa vya ujenzi lakini tuna wasomi wa phd ambao ni political decision makers wapo tu.

Ni muda sasa wasomi kuachana na siasa wajikite kwenye utaalamu wao kulisaidia taifa badala ya kulamba ubuyu na kuashia kumtukuza mfalme huku ndugu zao wakiteseka na kuzika ndoto zao.
Lazima unajisikia sikia leo. Umeacha mapovu yako na porojo ndefu.....

Anayetukuza Ufalme na Malikia ni watu wa bara la Ulaya. Ni uwongo kudai au kusema kuna mtu au watu Afrika au Tanzania anayetukuza Ufalme...Haupo Usituchanganye Rudi Essex Hall kwa maelekezo.

Bibi alikuwa na Usongo.Masikini Kibibi Elizabeth wa Uingereza aligadhibika na kupata mshutiko wa moyo pale alipo gundua kuna Malikia mtarajiwa mweusi Kibibi Malikia Elizabeth akaongeza na usongo wa kuambiwa mwanae mfalme mtarajiwa anapigana denda na mwanaume mwenzake kwenye bustani, ni Junya! na pale alipopewa majina ya baraza la mawaziri (fedha)ndio kabisaaa akanyong'onyea akajifia na Usongo.... kazikwa na Ukimbari wake, inawezekana na ndoto zake za kutawala Dunia.

Ufalme unaterereka.... Na tungependa Kuondolewa na Kuondoka katika Jumuiya ua Madola.
 
Kwa nchi kama Tz hawa wanojiita maprof. na ma Dr ndio waganja njaa hatare kuliko hata mie na wewe ndugu!
 
Lazima unajisikia sikia leo. Umeacha mapovu yako na porojo ndefu.....

Anayetukuza Ufalme na Malikia ni watu wa bara la Ulaya. Ni uwongo kudai au kusema kuna mtu au watu Afrika au Tanzania anayetukuza Ufalme...Haupo Usituchanganye Rudi Essex Hall kwa maelekezo.

Bibi alikuwa na Usongo.Masikini Kibibi Elizabeth wa Uingereza aligadhibika na kupata mshutiko wa moyo pale alipo gundua kuna Malikia mtarajiwa mweusi Kibibi Malikia Elizabeth akaongeza na usongo wa kuambiwa mwanae mfalme mtarajiwa anapigana denda na mwanaume mwenzake kwenye bustani, ni Junya! na pale alipopewa majina ya baraza la mawaziri (fedha)ndio kabisaaa akanyong'onyea akajifia na Usongo.... kazikwa na Ukimbari wake, inawezekana na ndoto zake za kutawala Dunia.

Ufalme unaterereka.... Na tungependa Kuondolewa na Kuondoka katika Jumuiya ua Madola.
Umeongea kwa dharau sana lakini pumba tupu. Logic yangu mimi ni jinsi wasomi wetu wanavyokuwa passive members wakati wana utaalamu au intellectual resources kuweza kuusaidia umma na matatizo yake. Fikilia leo Timothy Berners - Lee awe chawa kama alivyojionesha proffessor kutoka jalalani.

Taifa letu tuna limited intellectual resources licha ya kuwa tu natural resources nyingi. Wananchi hutuko active tunasubili wanasiasa baadhi yao vilaza na machawa kuamua kwa ajiri yetu.
 
Kula Australia kuna conference huwa inafanyika kila mwaka juu ya Africa mineral potential. Nilihudhuria mara 3. Kila nilipohudhuria, mwafrika nilikuwa pekee yangu. Mara moja, weusi tulikuwa wawili, lakini mwenzangu alikuwa Muingereza.

Ukihudhuria zile conference utajua utajiri wa madini yote yaliyopo Afrika, na utajua pia nani anafanya nini katika nchi gani kuhusiana na madini, Afrika. Na yote unayapata toka kwa wazungu.

Wakati wazungu wakiwa wanafanya hayo, viongozi wa Afrika wao wanapanga mbinu usiku na mchana wataiba kura namna gani ili wabaki madarakani. Na wananchi wa kawaida watakuwa kwenye mabishano juu ya ushabiki wa vyama.
Nina swali dogo. Msomi ni nani haswa?
 
Saa nyingine dawa ya moto ni moto.

Umenijibu yale niliyoyaona. Kuhusu Yale uliyoyaandika. Point taken. Utaeleweka, zaidi.

Tatizo lenu mnajifanya kuleta mada, kumbe mnaleta dharau na matusi. Nimekuonjesha sumu zenu.

Modus Tollendo
 
Back
Top Bottom