Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwasababu ni wambea watapeleka taarifa zisizo za kweli nyumbani.
Tunaishi kiujanja ujanja tutaharibiana CVKwamba umechapika?
Ni wambea sana. Utaskia mkewe kakonda sana,usimuone ivo nilienda kwake nikala ugali na dagaa
Sio lazima, kutokea kijiji/mtaa mmoja sio ticket ya kuonana. Kwani wote kijijini/mtaani kwenu ni ndugu/rafiki mpaka muonane kila akija mjini?
Kwema Wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, ni sababu gani inayokufanya usitake kuonana na watu wa kijijini kwenu hapa mjini?
Mimi: Kwa sababu mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe?
Wanapenda kuchunguza maisha ya watu.
Ndyo ukanisemee nyumbani?ππKwani uongo hajakonda?π
Kwa sababu ya uongo ninaowapiga nikienda kijijini na visuti vyangu na ela ya kusumbua kwa muda nitakaokaa. Sasa tukionana watajua ukweli kuwa nawapiga soundKwema Wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, ni sababu gani inayokufanya usitake kuonana na watu wa kijijini kwenu hapa mjini?
Mimi: Kwa sababu mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe?
Wakienda kusema kuwa unashi chumba 1 unachukia nini?Kwasababu ni wambea watapeleka taarifa zisizo za kweli nyumbani.