mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Anataka akuroge???Kuna mmoja huyo kila akija huwa anaanzisha msako kunitafuta anakutana na mimi mwenyewe mafia anaishia kuondoka patupu na namkwepa sababu najua hna nia nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka akuroge???Kuna mmoja huyo kila akija huwa anaanzisha msako kunitafuta anakutana na mimi mwenyewe mafia anaishia kuondoka patupu na namkwepa sababu najua hna nia nzuri
Kumbe jamaa ana utajiri mkubwa "anachukuwa misukule ". Sitaki kusikia upuuzi huo!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mm napenda san kuwapokea ndg zang, marafk na classmates ila mara nying wanakuja nikiwa nmechakaa ,nmepgikaa afu nko busy ile kishenzi
Mambo ya familia haya we acha tuAnataka akuroge???