kwanini huwa wanachimba (kutrimu) barabara na kuyaacha mashimo kama hawana bajeti ya kujenga?Tanroad/tarura

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Naomba kuuliza tu!

Hawa wenzetu huwa wanawaza kwa kutumia nini?

Yaani unachimbua barabara kuweka viraka halafu unaiacha na mashiyo hayo pasipo kuyaziba inazidi kuwa mbaya zaidi unapotea!

Sasa kama huna bajeti ya kujenga kwaninj huwa wanachimbua?

Yaani ni sawa na mtu achimbe msingi wa nyumba wakati hajajipanga kujenga hii ni akili au matope!

Barabara nyingi za mtaa zinaharibiwa na mamlaka kwa kuendekeza akili za kijinga kuchimbua na kuacha mashimo

Wanacchimbua mabarabara kwa lengo la kutengeneza yakiwa yanapitika na kuyaacha yakiwa mabovu zaidi yasiyopitika!

Hawa jamaa wanatumia elimu gani ya ufundi kufanya huu ujinga?

Sijui huwa wanatuonaje hawa viumbe;
 
Masaki hiyo mpaka wageni wangu wananiambia huku si wanaishi matajiri na viongozi

Ova
 

Attachments

  • 20240417_093147.jpg
    1.5 MB · Views: 4
  • 20240417_093142.jpg
    1.5 MB · Views: 4
Jamii yetu nayo kwa sababu inapenda kuwa busy na upuuzi ...kujadili umbea na uchi wa mitandaoni inaona sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…