Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Hii tabia au hali kama hii ipo wazi sana na nimejaribu kuchunguza muda mrefu nimeona wanayanga na viongozi wao huwa wanaiwaza Simba sana kuliko hata timu yao

Yaani yule msemaji wao sijui anaitwa ally kamwe.Yaani kila akiongeo na chombo cha habari chochote au na mtu yeyote lazima aiseme Simba sc ila wanaSimba hawana muda na kusema sema mambo ya yanga.

Washabiki wa yanga sasa wanaisema Simba mpaka mishipa ya kwenye uso zinasimama masikini ila wanaSimba hawana hata muda nao ila wanawalazimisha Simba waongee juu yao.

Inaonekana hawa jamaa wanateseka dhidi ya Simba na nafikiri ni jamii yenye tabia zinazofanana fanana kwanza wote wana silika moja.

Wanasimba wengi sana ni watu wakimyaa,sawa wanaongea ila kwa uchungu wa kuisemea timu yao pale ambapo wanaona inaseama ndivyo sivyo.

Hata ukiangalia threads nyingi humu ndani ni za kuisema Simba.

Nini tabia ya watu wanaopenda kufiatilia kusema sema maisha ya watu sana....

Sio kosa kuisema timu nyingine ila hawa jamaa wamekuwa too much..mpaka unajiuliza nikwamba Simba imewachomekea mkuki sehemu fulani na wamekataa kuchomoa...
 
Hapo vip!!
Hii tabia au hali kama hii ipo wazi sana na nimejaribu kuchunguza muda mrefu nimeona wanayanga na viongozi wao huwa wanaiwaza Simba sana kuliko hata timu yao

Yaani yule msemaji wao sijui anaitwa ally kamwe.Yaani kila akiongeo na chombo cha habari chochote au na mtu yeyote lazima aiseme Simba sc ila wanaSimba hawana muda na kusema sema mambo ya yanga.

Washabiki wa yanga sasa wanaisema Simba mpaka mishipa ya kwenye uso zinasimama masikini ila wanaSimba hawana hata muda nao ila wanawalazimisha Simba waongee juu yao.

Inaonekana hawa jamaa wanateseka dhidi ya Simba na nafikiri ni jamii yenye tabia zinazofanana fanana kwanza wote wana silika moja.

Wanasimba wengi sana ni watu wakimyaa,sawa wanaongea ila kwa uchungu wa kuisemea timu yao pale ambapo wanaona inaseama ndivyo sivyo.

Hata ukiangalia threads nyingi humu ndani ni za kuisema Simba.

Nini tabia ya watu wanaopenda kufiatilia kusema sema maisha ya watu sana....

Sio kosa kuisema timu nyingine ila hawa jamaa wamekuwa too much..mpaka unajiuliza nikwamba Simba imewachomekea mkuki sehemu fulani na wamekataa kuchomoa...
Tunaisema 5imba ila Yanga tunaisifia. Sababu za kuisema 5imba ni hizi;
1. Mwakarobo
2. Dakika 90 bila hata shuti la kulenga goli kwenye mechi yenu na Tripoli
3. Tuliwapiga tano, tukarudia kuwapiga mbili, na mwisho mkachezea kimoko
4. Kuna makocha mliwafukuza kisa kufungwa na Yanga. Kuna timu iliwafunga lakini hamkufukuza kocha yeyote
5. Bado mnajitafuta. Kibaya zaidi, badala ya kujitafuta kwenye mazoezi, mnajitafutia kwenye mashindano.
6. Kipimo cha taifa kwenye kombe la shirikisho ni fainali, mambo yenu ya kumbwela yanatufanya tuwaseme.
 
Hapo vip!!
Hii tabia au hali kama hii ipo wazi sana na nimejaribu kuchunguza muda mrefu nimeona wanayanga na viongozi wao huwa wanaiwaza Simba sana kuliko hata timu yao

Yaani yule msemaji wao sijui anaitwa ally kamwe.Yaani kila akiongeo na chombo cha habari chochote au na mtu yeyote lazima aiseme Simba sc ila wanaSimba hawana muda na kusema sema mambo ya yanga.

Washabiki wa yanga sasa wanaisema Simba mpaka mishipa ya kwenye uso zinasimama masikini ila wanaSimba hawana hata muda nao ila wanawalazimisha Simba waongee juu yao.

Inaonekana hawa jamaa wanateseka dhidi ya Simba na nafikiri ni jamii yenye tabia zinazofanana fanana kwanza wote wana silika moja.

Wanasimba wengi sana ni watu wakimyaa,sawa wanaongea ila kwa uchungu wa kuisemea timu yao pale ambapo wanaona inaseama ndivyo sivyo.

Hata ukiangalia threads nyingi humu ndani ni za kuisema Simba.

Nini tabia ya watu wanaopenda kufiatilia kusema sema maisha ya watu sana....

Sio kosa kuisema timu nyingine ila hawa jamaa wamekuwa too much..mpaka unajiuliza nikwamba Simba imewachomekea mkuki sehemu fulani na wamekataa kuchomoa...
kolo hapo bado hujasema kabisa...
 
Tunaisema 5imba ila Yanga tunaisifia. Sababu za kuisema 5imba ni hizi;
1. Mwakarobo
2. Dakika 90 bila hata shuti la kulenga goli kwenye mechi yenu na Tripoli
3. Tuliwapiga tano, tukarudia kuwapiga mbili, na mwisho mkachezea kimoko
4. Kuna makocha mliwafukuza kisa kufungwa na Yanga. Kuna timu iliwafunga lakini hamkufukuza kocha yeyote
5. Bado mnajitafuta. Kibaya zaidi, badala ya kujitafuta kwenye mazoezi, mnajitafutia kwenye mashindano.
6. Kipimo cha taifa kwenye kombe la shirikisho ni fainali, mambo yenu ya kumbwela yanatufanya tuwaseme.
Huna hoja...yani nyie ni maskini mpk wa fikra...
 

Attachments

  • images (91).jpeg
    images (91).jpeg
    56.4 KB · Views: 1
Simba ni chachu kama vinegar inaua bakteria na kuchangamsha hapo hapo...
Yani palipo na Simba habari lazima iuzike...
5imba ni Kolo lililojifia....hata Usajili tu wa Wachezaji haiwezi tena
 
Ki ukweli hata wenyewe uto wanajua page za wasemaji wao ...wasemaji fc zimejaa habari za Simba..mpka aibu...hawana content kabisaaa
 
Back
Top Bottom