Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Kwanini huwa Yanga wanaisema Simba sana katika midomo yao kuliko hata timu yao Yanga?

Tano mlishafirimbwa...usijisahaulishe..tatizo lenu ni ulimbukeni...
Sasa kama sisi malimbukeni na tunakupiga hizo zote tena majuzi...ninyi mtakuwa nani????🤣🤣🤣
 
Sasa kama sisi malimbukeni na tunakupiga hizo zote tena majuzi...ninyi mtakuwa nani????🤣🤣🤣
Aaahhh naona unarudia mada...ngoja nikalale...
Kweli ww ni chura kiziwi..😀😀
Kwahyo unataka tena na mm nirudie mmeshakula 5...6..4
Uzi si utajaa marudio...
Ulimbukeni ni kurudia rudia mada hyo hyo ni kama vile mlibahatisha kumfunga mnyama...yani ni kama ndoto yenu ya muda mrf sasa imetimia ndo maana kila siku ni 5...na mimi nakukumbusha hata nyie mlizila 5..bado hamjavunja rekodi ya 6 kwa 0...
Uwe na usiku mwema utopolo wa head wee
Azarel aka chura kiziwi..
 
Aaahhh naona unarudia mada...ngoja nikalale...
Kweli ww ni chura kiziwi..😀😀
Kwahyo unataka tena na mm nirudie mmeshakula 5...6..4
Uzi si utajaa marudio...
Ulimbukeni ni kurudia rudia mada hyo hyo ni kama vile mlibahatisha kumfunga mnyama...yani ni kama ndoto yenu ya muda mrf sasa imetimia ndo maana kila siku ni 5...na mimi nakukumbusha hata nyie mlizila 5..bado hamjavunja rekodi ya 6 kwa 0...
Uwe na usiku mwema utopolo wa head wee
Azarel aka chura kiziwi..
Usilale Kolo, Yanga Bingwa hata ubwabwaje vipi
 
Aaahhh naona unarudia mada...ngoja nikalale...
Kweli ww ni chura kiziwi..😀😀
Kwahyo unataka tena na mm nirudie mmeshakula 5...6..4
Uzi si utajaa marudio...
Ulimbukeni ni kurudia rudia mada hyo hyo ni kama vile mlibahatisha kumfunga mnyama...yani ni kama ndoto yenu ya muda mrf sasa imetimia ndo maana kila siku ni 5...na mimi nakukumbusha hata nyie mlizila 5..bado hamjavunja rekodi ya 6 kwa 0...
Uwe na usiku mwema utopolo wa head wee
Azarel aka chura kiziwi..
Mwakarobo Mwakatano kiboko yako ni Yanga tu ..ongezeni Usajili tena 🤣🤣🤣
 
Tunaisema 5imba ila Yanga tunaisifia. Sababu za kuisema 5imba ni hizi;
1. Mwakarobo
2. Dakika 90 bila hata shuti la kulenga goli kwenye mechi yenu na Tripoli
3. Tuliwapiga tano, tukarudia kuwapiga mbili, na mwisho mkachezea kimoko
4. Kuna makocha mliwafukuza kisa kufungwa na Yanga. Kuna timu iliwafunga lakini hamkufukuza kocha yeyote
5. Bado mnajitafuta. Kibaya zaidi, badala ya kujitafuta kwenye mazoezi, mnajitafutia kwenye mashindano.
6. Kipimo cha taifa kwenye kombe la shirikisho ni fainali, mambo yenu ya kumbwela yanatufanya tuwaseme.
Ila mmekuwa kama wachawi maana mnatumia nguvu kubwa kuwasena waliojifia.
 
Ila mmekuwa kama wachawi maana mnatumia nguvu kubwa kuwasena waliojifia.
Yaani hawa hatujali kama tunatumia nguvu kubwa ua ndogo. Sisi ni kuwasema mwanzo mwisho. Si unakumbuka kuna siku wana Yanga tulikuwa na session ya lisaa limoja la kuwakera 5imba..!!? Hawa tunao miaka 1000. Na wakitolea na wale waarabu wa Tripoli kwenye level hii, watafute dunia yao ya kuishi. Maana tutawasema hadi wafe upya..!!
 
Bana ww Azarel najua wajua na nimeshakujuza zaidi...faida ya hizo robo..kama hujaziona basi fainali yako ungekua kileleni muda huu...
Waambie robo robo ndio zimeifanya Simba kuwa timu namba 6 Bora Africa Kwa msimu 24/25.
 

Attachments

  • Screenshot_20240917-203834.png
    Screenshot_20240917-203834.png
    467.6 KB · Views: 1
Hapo vip!!
Hii tabia au hali kama hii ipo wazi sana na nimejaribu kuchunguza muda mrefu nimeona wanayanga na viongozi wao huwa wanaiwaza Simba sana kuliko hata timu yao

Yaani yule msemaji wao sijui anaitwa ally kamwe.Yaani kila akiongeo na chombo cha habari chochote au na mtu yeyote lazima aiseme Simba sc ila wanaSimba hawana muda na kusema sema mambo ya yanga.

Washabiki wa yanga sasa wanaisema Simba mpaka mishipa ya kwenye uso zinasimama masikini ila wanaSimba hawana hata muda nao ila wanawalazimisha Simba waongee juu yao.

Inaonekana hawa jamaa wanateseka dhidi ya Simba na nafikiri ni jamii yenye tabia zinazofanana fanana kwanza wote wana silika moja.

Wanasimba wengi sana ni watu wakimyaa,sawa wanaongea ila kwa uchungu wa kuisemea timu yao pale ambapo wanaona inaseama ndivyo sivyo.

Hata ukiangalia threads nyingi humu ndani ni za kuisema Simba.

Nini tabia ya watu wanaopenda kufiatilia kusema sema maisha ya watu sana....

Sio kosa kuisema timu nyingine ila hawa jamaa wamekuwa too much..mpaka unajiuliza nikwamba Simba imewachomekea mkuki sehemu fulani na wamekataa kuchomoa...
Tuanze na wewe hapo umeitaja timu gani?
 
Back
Top Bottom