Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Uzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...😃😃Na Yanga, kwani huwa wanafungwa na nani... uzuzu ni sifa ya ndani ya Makolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...😃😃Na Yanga, kwani huwa wanafungwa na nani... uzuzu ni sifa ya ndani ya Makolo
Unapouliza wafungwe na naniWafungwe na nani? Mbona hoja yako imekaa kizuzu..
Mazuzu ni Makolo ya kupigwa 5 halafu wanasajili wachezaji 14 kisha wanaendelea kufungwaUzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...😃😃
Uzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...Na Yanga, kwani huwa wanafungwa na nani... uzuzu ni sifa ya ndani ya Makolo
Na Yanga, kwani huwa wanafungwa na nani... uzuzu ni sifa ya ndani ya Makolo
Kama hujawahi kupigwa na mnyama kile kipigo ndembendembe basi uje hapa tubishane..tena kwa muda mrf kipigo cha fedhea hamjawahi kukilipa mpk leo...Na Yanga, kwani huwa wanafungwa na nani... uzuzu ni sifa ya ndani ya Makolo
Yaani kama Yanga ni Zuzu halafu inakupiga goli 5, saaa sijui Kolo tukuitaje 🤣🤣🤣🤣🤣Uzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...😃😃
WW ni zuzu tuu..maana kama kupigwa na mnyama ushapigwa sana labda ulikua hujazaliwa...mtoto wa afu mbili na ishirini...yani 5 unaona ni ajabu...wakati mmekula 5 mara mbili na 6 juuu...Yaani kama Yanga ni Zuzu halafu inakupiga goli 5, saaa sijui Kolo tukuitaje 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo haiifutii YANGA kuwa na historia ya kuchukua Ubingwa mara nyingi kuliko Mwakarobo, kifo cha mendeUzuzu ni jina lenu jipya kutoka kwa mjomba wenu Magoma...
Kama hujawahi kupigwa na mnyama kile kipigo ndembendembe basi uje hapa tubishane..tena kwa muda mrf kipigo cha fedhea hamjawahi kukilipa mpk leo...
SIkatai Mimi Zuzu nayokupiga Mwakarobo goli 5WW ni zuzu tuu..maana kama kupigwa na mnyama ushapigwa sana labda ulikua hujazaliwa...mtoto wa afu mbili na ishirini...
WW ni zuzu tuu..maana kama kupigwa na mnyama ushapigwa sana labda ulikua hujazaliwa...mtoto wa afu mbili na ishirini...yani 5 unaona ni ajabu...wakati mmekula 5 mara mbili na 6 juuu...
Umehama? Sisi tuna makombe mengi kwa ujumla...kama mmekalia hapo ligi kuu..basi nyie waoga wa mashindano...😃😃Hiyo haiifutii YANGA kuwa na historia ya kuchukua Ubingwa mara nyingi kuliko Mwakarobo, kifo cha mende
Umehama? Sisi tuna makombe mengi kwa ujumla...kama mmekalia hapo ligi kuu..basi nyie waoga wa mashindano...😃😃
Dogo ushajiona ulivyo zuzu..basi case closed...SIkatai Mimi Zuzu nayokupiga Mwakarobo goli 5
Hebu tupate kwanza Tangazo kutoka kwa WadhaminiYaani ni kama wasabsti kwa wakatoliki tu ilivyo.
Mama, mimi bado naendelea kukulamba leo na kesho Mwakarobo.....!Dogo ushajiona ulivyo zuzu..basi case closed...
Ref...5-0
6-0
4-1
4-0
2-0
Basi huna haja ya kucheka sana maana ushalambwa hapo nyuma na mnyama...
😊😊😊😊😊😊
Robo ndo zimekufanya na ww ukavutwa ukabebwa kuja mashindananoni...tumia akili...Sisi hatuwezi kuwa waoga lakini pia Ushindi wetu sio Robo fainali ewe Mwakarobo🤣🤣🤣🤣
Kumbuka ulishalambwa hiyo haitakaa ifutike mtoto mzuri...Mama, mimi bado naendelea kukulamba leo na kesho Mwakarobo.....!
Akili tunazotumia ndio za kuwasokota Makolo tutakavyo....hilo swali nilipaswa kukuuliza Kolo, hizo Robo zimewahi kuwafikisha wapi?🤣Robo ndo zimekufanya na ww ukavutwa ukabebwa kuja mashindananoni...tumia akili...
Robo ndo zimetufanya tupo namba 7 kwa ubora..
Ww hyo fainali moja imekufikisha wapi
Kumbuka ulishalambwa hiyo haitakaa ifutike mtoto mzuri...
Tupo juu tunawapumulia huko kwenye rank za CAF...au unataka tuwanyee kabisa ndo ushtuke..😃😃😃Akili tunazotumia ndio za kuwasokota Makolo tutakavyo....hilo swali nilipaswa kukuuliza Kolo, hizo Robo zimewahi kuwafikisha wapi?🤣
Mwakarobo, Robo fainali sio Ushindi wa kujisifia...waambie na Kolo wengine akina OKW BOBAN SUNZU 🤣🤣🤣 tatizo atakimbia hapaRobo ndo zimekufanya na ww ukavutwa ukabebwa kuja mashindananoni...tumia akili...
Robo ndo zimetufanya tupo namba 7 kwa ubora..
Ww hyo fainali moja imekufikisha wapi
Kazi ya rekodi ni kuweka kumbukumbu hivyo kama rekodi zipo tutaendelea kuwakumbusha...kuwa hakuna jipya ambalo mnyama hajawahi fanya...Rekodi nzuri isiyosahaulika ni hizi za sasa ambazo zipo kwny mindset bado...5 : 0