Hata nyau akijiona kwenye kioo anajiona boonge la Big Cat kwa Panya...lakini sio kwa BIG CATS wenyeweSisi ni wakubwaaa...tunatambulika ukanda wote wa africa...nyie endeleeni kujifunza kutoka kwetu...Majayanti...ππππ
Utopolo aka mazuzu mna la kujifunza kutoka kwetu...
Polee wee huku moyoni unasema yesss...Hata nyau akijiona kwenye kioo anajiona boonge la Big Cat kwa Panya...lakini sio kwa BIG CATS wenyewe
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wewe mleta uzi mchangiaji wa kwanza na wapili wote ni Simba.
Umeleta uzi wa kuisema Yanga na makolo wenzako wanakuunga mkono.
Cha ajabu anatupiwa Yanga lawama!
Labda niseme hakuna kama Dimba sio Simba Kolokolo kwsbb najua hawezi Vuka Robo fainali KAMWEPolee wee huku moyoni unasema yesss...
kuhusu kimataifa hakuna kama Simba...
Kufungwa na nani?.yani na uto kile kibao kimoja?.ππunachekesha jamani...baada ya hapo tukafungwa na nani?.hujui sbb kwanini mlibahatisha kutufunga mpk leo?Haujaniuma...umenishangaza kwa jinsi mlivyobwabwaja, kumbe mlisajili ili mfungwe π€£
Mwakarobo MwakatanoPolee wee huku moyoni unasema yesss...
kuhusu kimataifa hakuna kama Simba...
Kwa sbb ww ndo hirizi ya mashindano au sio...Labda niseme hakuna kama Dimba sio Simba Kolokolo kwsbb najua hawezi Vuka Robo fainali KAMWE
Goli moja ndilo linalotengeneza mimba ujue KoloKufungwa na nani?.yani na uto kile kibao kimoja?.ππunachekesha jamani...baada ya hapo tukafungwa na nani?.hujui sbb kwanini mlibahatisha kutufunga mpk leo?
Aaaagh wapi Kolo ufike hata nusu fainali? SAHAUKwa sbb ww ndo hirizi ya mashindano au sio...
Tafuta jina lingine hilo halina vibe...halishtui...yani kiufupi limeshazoeleka πππuzi umejaa tayariMwakarobo Mwakatano
Utopolo hujui kama inategemea na goli limetoka kwa nani...Goli moja ndilo linalotengeneza mimba ujue Kolo
Lengo sio kukushtua ila jina linasadifu maana KoloTafuta jina lingine hilo halina vibe...halishtui...yani kiufupi limeshazoeleka πππuzi umejaa tayari
Ww ni dogo tuu hujui unachoongea...kila kitu tulishafika sema turudie...Aaaagh wapi Kolo ufike hata nusu fainali? SAHAU
Ww Chura kiziwi...hilo halitushtui nimesema...Lengo sio kukushtua ila jina linasadifu maana Kolo
Bao ni bao...kitu mimba....halafu lile moja linauma kuliko hata yale matano ujue π€£Utopolo hujui kama inategemea na goli limetoka kwa nani...
Yaap, Chura nnayejua kukojoa vitano na kuacha machozi kwa Makolo π€£Ww Chura kiziwi...hilo halitushtui nimesema...
Sio kila bao lina impact chura...uliza wakubwa wakwambie..Bao ni bao...kitu mimba....halafu lile moja linauma kuliko hata yale matano ujue π€£
OKW BOBAN SUNZU
Tano mlishafirimbwa...usijisahaulishe..tatizo lenu ni ulimbukeni...Yaap, Chura nnayejua kukojoa vitano na kuacha machozi kwa Makolo π€£