Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

Ngumi za uso zinachakaza jamani.
Kila pambano unapata facial trauma inayoamb atana na kupona kwenye fibrosis kibao.
Lazima uso ukakamae.
Just fuatilia wapiganaji wote Kama utaona mwenye sura inayoendana na umri wake.

Achaneni na makovu ya ndani kwa ndani
 
Watanzania,watanzania, ....mtanzania mwenzenu akifanikiwa kidogo tu...umbea unaanza....!! kama unakubali mafanikio yake kubali tu hilo jina analotumia hivi sasa,...sifikirii kama wewe inakusaidia chochote kama anaitwa Halfan,au Mwakinyo!! hahaha ati naonekana ana miaka 30!! wewe ndio mama ake????😀😀
 
Hii hamu ya kuwekwa wazi imekuja baada ya kusikia jamaa kafanya vizuri huko mbele sio?
Sasa kaanza kuwa maarufu mnaanza kumchimba.
Hii haki uliyojipatia ya "Inabidi atuweke wazi" umeitoa wapi?

mchawi huyo

na ndio lugha zao...
 
Huu ndio uwezo wetu wabongo... Kutafuta madoa na negativity

Mavi ya kuku
 
Hassan Mwakinyo ni aka tu! Hilo limetokana na rafiki yake anaitwa Hashim Mwakinyo ambaye anapigana kick Boxing. so jamaa ni role model wake Ndio maana anatumia jina hilo!
Sio kweli bwanaa! Hassan ndio jina lake halisi na mwakinyo ndio jina LA mzee wake tunalolijua! Na Ana kaka ake anaitwa hamisi mwakinyo! Na wote ni mabondia! Japo kaka ake hakuwa maarufu km huyu mdogo MTU! Na hata mzee mwakinyo pia alikuwa anacheza ndondi!
Tuachege kutoa habar tusizozijua...ni kijana mdogo Sana anapenda kupigana sana
 
Yaani watu wengine sijui wakoje?? Wakiona mtu kaanza kufanikiwa tu hawaishi kuwanga...
 
Acha unafiki wewe yule dogo sio 30+ kwa maisha anayoishi angekuwa juu ya 30 mbona angeonekana?
Vitu vingine tusitafute kiki kupitia kwa wenzetu kama unaona wivi na ww ingia kwenye masumbwi tuone kama hata round moja utamaliza.
 
Labda ana multiple names,.. Mi pia jina nnalotumia ka stage name kwenye boxing (na ndo ambalo watu wengi wanalijua mitaa yote niliyoishi dar) ni lingine na jina langu la kiserikali (Nililosomea shule nikiwa mkoa) ni lingine na usipokua makini unaweza dhani ni watu wawili tofauti coz moja ni la Kiislam na lingine la Kikristo. Afu, hii mada yako haina tija yoyote, nyie ndo anaewaambia "muache kujifanya mnamjua sana".
 
Ameghushi ngumi😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…