Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

Kwanini huyu bondia Mtanzania aliyeshinda Uingereza anajiita Hassan Mwakinyo?

Ni kawaida kwa wanamichezo kuwa na Majina ya PASSPORT na Majina ya Media. Arsenal waliwahi kuwa na mtu anaitwa GERVINHO lakini Passport yake ilisomeka: GERVAIS LOMBE YAO KOASSI, jamaa alifanana sana sura na K. R. Mulla wa TMK WANAUME!
Hiyo ni issue tofouti hizo ni Nickname hata ulaya na America wapo akina Harry,Nick,Bill,Garry,Ronadinho,Dave,Danny nk ila passport zao haziwezi kusoma hayo majina ila hakuna anayeitwa John Graham alafu passport ikasoma Daniel Beckham alafu isihojiwe
 
Kama katokea huku sishangai...maana wengi wa waliokwenda Nje kipindi kile walitumia majina...uraia...na maelezo feki.. .wakaonekana ni wakimbizi wakapokelewa!
Inawasumbua baadhi hii hali maana ukijulikana unarudishwa mkuu mkuku!
 
Ni kawaida kwa wanamichezo kuwa na Majina ya PASSPORT na Majina ya Media. Arsenal waliwahi kuwa na mtu anaitwa GERVINHO lakini Passport yake ilisomeka: GERVAIS LOMBE YAO KOASSI, jamaa alifanana sana sura na K. R. Mulla wa TMK WANAUME!
Gervinho ni mdogo wa K.R. Mulla.. Wanashea babu
 
Mnaouliza umri nahisi hamjielewi, kwahiyo bondia unataka umuangalie sura awe sawa ba celebrities au sio, fanyeni yenu huo ni aina nyingine ya uchawi.
 
Mbona baadhi ya watu,mna matatizo ya akili,mtu anapofanya jambo zuri tena kwa heshima ya nchi ndipowanajitokeza wapuuzi fulani kuchokonoa vitu vya ajabu ajabu.
Kazi kubwa wewe ukaona utafute background yake,ili uanze kuchallenge.
 
Baada ya Hapo ...

Maana hicho sio cheti mseme amegushi labda hapana ...

Yule kampa mtu vitasa ... Yaani ngumi tena za maana na nyie mmeona wenyewe kwa Macho yenu kwenye vyombo vya habari ...

Sasa je inawezekana mtu akagushi ngumi?

Jina sisi linatuhusu nini hapa ... afu ukisha lijua then what ... !!!!
Kusema ukweli mzungu alipewa vitasa vya maana, wanaita African jabs......km sio ushapu wa refa jamaa alikuwa amuue kabisa Sam Egginton.
 
Aiseee mtanzania mpe kichwa cha habari tu...sasa jina lake na ukoo wake vitakusaidia nini?
 
Wanandugu leo katika pita pita zangu nikasema ngoja niangalie boxing records za huyu ndugu yetu Hassan Mwakinyo lakini cha ajabu nikakuta anaitwa Halfan Hythan Hamza, sasa nimeshindwa kuelewa hilo jina la Hassan Mwakinyo amelitolea wapi? Au anatumia cheti cha mtu maana anadai ana miaka 23 lakini ukimuangalia sura inaonesha kabisa yupo kwenye 30+ huko.


Ila kingine ninachomkubali huyu ninja amewachana wale wote wanaojifanya wanamjua jua na kujifanya watu wake wa karibu wakati alipata shida hata namna kusafiri ili akapambane aliwekewa kila aina ya vigingi lakini Mungu akamsaidia akafanikisha safari na akaenda kufanya alichokifuata kule Uingereza.


Miongoni mwa watu waliojifanya wanamjua jua sana Mwakinyo ni pamoja na waziri Mwakyembe ambaye bila aibu anadai kuwa wanafahamiana siku nyingi jambo ambalo sio la kweli bali ni unafiki mtupu.

Hassan atapanda tena ulingoni mwezi october kupambana na Wanik Awdijan raia wa Ujerumani.



Swali linabaki pale pale jina la Hassan Mwakinyo limetoka wapi wakati jina lake ni Halfan Hamza , kama angekuwa na jina la kikristo kidogo isingekuwa kuwa tabu maana tungejua huenda amebadili dini na kuwa muislamu , sasa shida ni kwamba majina yote ni ya kiislamu, ambao mnamjua huyu bondia embu toleeni ufafanuzi kidogo suala hili.View attachment 866189View attachment 866190
Hasani mwakinyo ni jina alilokuwa anatumia braza wake wakati anacheza ngumi(hakuwa maarufu sana ila pale mkoani tanga alikuwa gwiji) , kwahiyo dogo akaamua alichukue ili iwe rahisi ata kuonyesha uwezo maana ataonekana katoka ukoo wa ngumi fursa za kingumi zinakuwa karibu.
 
Sasa je ... Bado wanataka jina la Nini sijui au wanataka kumroga nini wamzimishe Nyota aaaaa! Sio fair taratibuni jamani ...

Mazoezi yenyewe mmeona anafanya kwenye tairi la gari ...

Mwacheni bana jina halina nafasi kwenye professional zinazo hitaji performance katika eneo la tukio ...

Hayo Mambo wambie Bashite anaekula kiyoyozi ofisini hatuoni lolote zaidi ya makelele tu ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli labda wanataka kumshusha nyota
 
Bila shaka utakuwa mfuasi wa cdm.
Kila jambo jema au mafanikio lazima uyapinge.
Unajua miaka 30 kwenye masumbwi inamaanisha nini?
Inamaanisha uwezo we kupigana ngumi umeshuka, lakini wa huyu iko juu
 
Unakwenda kupambana na ufisadi au unakwenda kuu - enzi Ufisadi ...

Hivi katika Hali ya kawaida unawezaje kupambana na mtu aliekununua?

Kila la heri bro huko uendako kupambana na ufisadi ndani ya CCM hutoweza ...

Umeshanunuliwa kale maisha yako ila jua Mungu aliekupa kipawa Cha mpaka wao kukufuata na kukununua ili uwasaliti wenzako hatokuacha salama wewe na kizazi chako ...

Kwa Sasa huwezi kuona athari yake ila muda ukifika utalijua Hilo ...
 
Back
Top Bottom