Kwanini iitwe Kariakoo Derby wakati ni timu ya Simba SC pekee iliyo Kariakoo?

Kwanini iitwe Kariakoo Derby wakati ni timu ya Simba SC pekee iliyo Kariakoo?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua.

Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi makocha wanahoji pia.

Dunia nzima, derby inaitwa jina la sehemu ambapo timu mbili husika zipo eneo hilo. Sihitaji kukupa mifano, itafute au ulizia utaambiwa derby zote duniani.

Kuna hii derby inayohusisha vilabu vikongwe vya Simba na Yanga. Derby hii imebatizwa jina la Kariakoo Derby.

Ukiangalia katika muundo wa kiserikali na kiutawala, makao makuu ya Yanga pale Jangwani hayapo katika kata ya Kariakoo. Ni Simba pekee iliyo katika kata hiyo. Yanga ipo ama kata ya Jangwani au ya Mchafukoge.

Ushauri wangu, tubadili jina la hii derby ya Simba na Yanga iitwe Dar es Salaam Derby. Mbona jina zuri tu.

Kwa nini tuibrand Kariakoo, eneo ambalo pamoja na umuhimu wake kibiashara halina mvuto wowote kwa watalii. Tuibrand Dar es Salaam tutafaidika zaidi na pia tutaepuka upotoshaji wa maksudi.



Katika clip hii hapo juu ni mkazi wa Jangwani na Mchafukoge akiadabishwa baada ya kuleta ujuaji maeneo ya Kariakoo.
 
Jangwani ni Kariakoo ndugu acha ubishi
Majina Mara nyingi hayatawaliwi sana na mipaka ya kijiografia, utendaji wa kiserekali ndio unazingatia hayo mambo ataivyo Mara nyingine wajumbe wa nyumba kumi, huduma za ofisi za serikali ya mitaa uhudumia watu kulingana na upatikanaji wao
ndio maana ukipiga simu huduma kwa wateja mitandao ya simu japo wanaona unahudumiwa na mnara gani lazima wakuulize upo wapi Ili wajue exact location.
Kusema ukweli Uzi huu hsuusiani na mambo ya michezo.
Wazo lako ni JINSI MAJINA YA MAENEO YANAVYO ATHIRI UHALISIA WA ENEO HUSIKA LA TUKIO,
Mfano makabila mengine yalalamike kusema kwamba WACHAGA ni kabila la kaskazini au wamakonde wanatokea Lindi na Mtwara, japo yapo makabila mengi lakini hayo no wawakilishi.
Japo Mchezo wa soka unahitaji mahesabu lakini hesabu za kukadiria zinafaa zaidi.
Jina la kkoo dabi LISIBADILISHWE
 
Jangwani ni Kariakoo ndugu acha ubishi
Majina Mara nyingi hayatawaliwi sana na mipaka ya kijiografia, utendaji wa kiserekali ndio unazingatia hayo mambo ataivyo Mara nyingine wajumbe wa nyumba kumi, huduma za ofisi za serikali ya mitaa uhudumia watu kulingana na upatikanaji wao
ndio maana ukipiga simu huduma kwa wateja mitandao ya simu japo wanaona unahudumiwa na mnara gani lazima wakuulize upo wapi Ili wajue exact location.
Kusema ukweli Uzi huu hsuusiani na mambo ya michezo.
Wazo lako ni JINSI MAJINA YA MAENEO YANAVYO ATHIRI UHALISIA WA ENEO HUSIKA LA TUKIO,
Mfano makabila mengine yalalamike kusema kwamba WACHAGA ni kabila la kaskazini au wamakonde wanatokea Lindi na Mtwara, japo yapo makabila mengi lakini hayo no wawakilishi.
Japo Mchezo wa soka unahitaji mahesabu lakini hesabu za kukadiria zinafaa zaidi.
Jina la kkoo dabi LISIBADILISHWE
Hahahah. Hiko kinywaji unachopiga hapo baa hakitakuacha salama. Embu kipe break, nenda ukale kwanza.
 
Dar es salaam Derby ndio mzizima derby kama sijakosea,hii ni derby baina ya Makoro na Azam,ni sahihi tu Simba Vs Yanga kuitwa Kariakoo Derby,kijiografia Makao Makuu ya timu hizi yapo jirani sana,Simba wakiwa mitaa ya Msimbazi na Yanga wakiwa mitaa ya Twiga/Jangwani,kuhusu mipaka ya kijiografiaau kiutawala km ipo pia sioni sababu za derby hiyo kubadilishwa jina....
 
Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua.

Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi makocha wanahoji pia.

Dunia nzima, derby inaitwa jina la sehemu ambapo timu mbili husika zipo eneo hilo. Sihitaji kukupa mifano, itafute au ulizia utaambiwa derby zote duniani.

Kuna hii derby inayohusisha vilabu vikongwe vya Simba na Yanga. Derby hii imebatizwa jina la Kariakoo Derby.

Ukiangalia katika muundo wa kiserikali na kiutawala, makao makuu ya Yanga pale Jangwani hayapo katika kata ya Kariakoo. Ni Simba pekee iliyo katika kata hiyo. Yanga ipo ama kata ya Jangwani au ya Mchafukoge.

Ushauri wangu, tubadili jina la hii derby ya Simba na Yanga iitwe Dar es Salaam Derby. Mbona jina zuri tu.

Kwa nini tuibrand Kariakoo, eneo ambalo pamoja na umuhimu wake kibiashara halina mvuto wowote kwa watalii. Tuibrand Dar es Salaam tutafaidika zaidi na pia tutaepuka upotoshaji wa maksudi.


View attachment 3257664
Katika clip hii hapo juu ni mkazi wa Jangwani na Mchafukoge akiadabishwa baada ya kuleta ujuaji maeneo ya Kariakoo.
Mpwa unazingua kaushaa tumalize kazi kwanza tar 8 then MJE na kariakoo yakoo sisi YANGA tutapokea HATA ukiita mix by yas derby
 
Kwani KARIAKOO ni wapi mkuu?

Kama unaona Yanga ipo Jangwani hata Simba ipo mtaa wa Msimbazi
 
Kariakoo ni kata au mtaa?? Kama ni kata,mitaa ya Msimbazi na Jangwani inapaswa kuwa kata gani?? Kwa ujumla wake kariakoo inaundwa na mitaa kadhaa. Msimbazi na Jangwani ni sehemu ya Kariakoo.
 
Dar es salaam Derby ndio mzizima derby kama sijakosea,hii ni derby baina ya Makoro na Azam,ni sahihi tu Simba Vs Yanga kuitwa Kariakoo Derby,kijiografia Makao Makuu ya timu hizi yapo jirani sana,Simba wakiwa mitaa ya Msimbazi na Yanga wakiwa mitaa ya Twiga/Jangwani,kuhusu mipaka ya kijiografiaau kiutawala km ipo pia sioni sababu za derby hiyo kubadilishwa jina....

Mpwa unazingua kaushaa tumalize kazi kwanza tar 8 then MJE na kariakoo yakoo sisi YANGA tutapokea HATA ukiita mix by yas derby
Wakazi wa Mchafukoge mkija Kariakoo mkajifanya wajuaji, kitawatokea kama huyo kijana kwenye clip. Njooni Kariakoo kwa adabu.

Hoja ya kubadilisha jina la derby ipo pale pale. Tunawafundisha nini watoto wetu kwa udanganyifu wa namna hii?
 
Kwani KARIAKOO ni wapi mkuu?

Kama unaona Yanga ipo Jangwani hata Simba ipo mtaa wa Msimbazi

Kariakoo ni kata au mtaa?? Kama ni kata,mitaa ya Msimbazi na Jangwani inapaswa kuwa kata gani?? Kwa ujumla wake kariakoo inaundwa na mitaa kadhaa. Msimbazi na Jangwani ni sehemu ya Kariakoo.
Hata ukichagua uangalia Kariakoo kama kata au mtaa, bado Yanga haipo huko kote. Huo ndiyo UKWERIII. Mtaa wa Msimbazi upo kata ya Kariakoo.
 
Jamaa yuko mbele ya muda huyu si mwenzetu nadhani hata matokeo anayajua atuambie mapema .
 
Halafu mtaa wa Jangwani upo kata gani?? Upo DSM kwa kuzaliwa au kwa kuhamia??
Mitaa wa Twiga na Jangwani ipo katika Kata ya Jangwani.

Kata za Jangwani na Mchafukoge zinapakana na kata ya Kariakoo.
 
Mitaa wa Twiga na Jangwani ipo katika Kata ya Jangwani.

Kata za Jangwani na Mchafukoge zinapakana na kata ya Kariakoo.
hayo mambo ya Kata, Mitaa hutegemea na Taasisi fulani inavyoamua. Local Government wana mipaka yao kulingana na tratibu zao. leo hiyo inayoitwa kata ya Kariakoo inaweza kugawanywa zikawa kata tatu au nne, je hiyo itaondoa uhalisia kuwa Simba au Yanga iko Kariakoo?
1. polisi wana maeneo yao ya utawala pengine yasifanane na ya Local Government. Mkoa wa Kipolisi wa Tarime - Rorya. je Tarime na Rorya haziko mkoa wa Mara?
2. TRA wana mipaka yao, DAWASA na taasisi nyingine kibao
Tuwe tunawaza kwa kina kabla ya kutoa hoja
 
Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua.

Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi makocha wanahoji pia.

Dunia nzima, derby inaitwa jina la sehemu ambapo timu mbili husika zipo eneo hilo. Sihitaji kukupa mifano, itafute au ulizia utaambiwa derby zote duniani.

Kuna hii derby inayohusisha vilabu vikongwe vya Simba na Yanga. Derby hii imebatizwa jina la Kariakoo Derby.

Ukiangalia katika muundo wa kiserikali na kiutawala, makao makuu ya Yanga pale Jangwani hayapo katika kata ya Kariakoo. Ni Simba pekee iliyo katika kata hiyo. Yanga ipo ama kata ya Jangwani au ya Mchafukoge.

Ushauri wangu, tubadili jina la hii derby ya Simba na Yanga iitwe Dar es Salaam Derby. Mbona jina zuri tu.

Kwa nini tuibrand Kariakoo, eneo ambalo pamoja na umuhimu wake kibiashara halina mvuto wowote kwa watalii. Tuibrand Dar es Salaam tutafaidika zaidi na pia tutaepuka upotoshaji wa maksudi.


View attachment 3257664
Katika clip hii hapo juu ni mkazi wa Jangwani na Mchafukoge akiadabishwa baada ya kuleta ujuaji maeneo ya Kariakoo.
Upuuzi wako utaisha lini
 
Mada zangu zina kawaida ya kuwa mbele ya muda. Ukija kibishibishi muda utakuumbua.

Kuna siku nilihoji uhalali wa kusema ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora Africa, wengi wakanibishia bila chanzo cha kuaminika cha hiyo ranking. Matokeo yake sasa hivi, kila mtu, kuanzia mashabiki, wachambuzi hadi makocha wanahoji pia.

Dunia nzima, derby inaitwa jina la sehemu ambapo timu mbili husika zipo eneo hilo. Sihitaji kukupa mifano, itafute au ulizia utaambiwa derby zote duniani.

Kuna hii derby inayohusisha vilabu vikongwe vya Simba na Yanga. Derby hii imebatizwa jina la Kariakoo Derby.

Ukiangalia katika muundo wa kiserikali na kiutawala, makao makuu ya Yanga pale Jangwani hayapo katika kata ya Kariakoo. Ni Simba pekee iliyo katika kata hiyo. Yanga ipo ama kata ya Jangwani au ya Mchafukoge.

Ushauri wangu, tubadili jina la hii derby ya Simba na Yanga iitwe Dar es Salaam Derby. Mbona jina zuri tu.

Kwa nini tuibrand Kariakoo, eneo ambalo pamoja na umuhimu wake kibiashara halina mvuto wowote kwa watalii. Tuibrand Dar es Salaam tutafaidika zaidi na pia tutaepuka upotoshaji wa maksudi.


View attachment 3257664
Katika clip hii hapo juu ni mkazi wa Jangwani na Mchafukoge akiadabishwa baada ya kuleta ujuaji maeneo ya Kariakoo.
Hizo stick alizopiga Masai zimekaa poa sana, japo hajapiga kama inavyotakuwa kwa Morani.
 
Back
Top Bottom