Kwanini ikifika saa 7 mchana wanyama wanatulia sana

Kwanini ikifika saa 7 mchana wanyama wanatulia sana

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa watu wa Dar maeneo ya Posta Kariakoo na Mbagala hiki kitu hamuwezi kuki experience Ila huku mikoani hata kama hamna jua ila mida hiyo yaani mwili unachoka tu unatulia hata kuku wanatafuta sehemu wanakaa wanatulia mno na ndo maana hata playlists kwenye radio nyingi utakuta nyimbo zaidi za slow slow ukikaa vibaya unasinzia nimechunguza sababu sio njaa wala jua ipo tu naturally.
 
Kwa watu wa dar maeneo ya posta kariakoo na mbagala hiki kitu hamuwezi kuki experience Ila huku mikoani hata kama hamna jua ila mida hiyo yaani mwili unachoka tu unatulia hata kuku wanatafuta sehemu wanakaa wanatulia mno na ndo maana hata playlists kwenye radio nyingi utakuta nyimbo zaidi za slow slow ukikaa vibaya unasinzia nimechunguza sababu sio njaa wala jua ipo tu naturally.
Ngoja sisi wa mbagala chamazi tusome comment 😊
 
Wewe acha zako... Mitaa hii ulikua unaenda wap wewe😂😂😂😂
Kaka nilitoka kigamboni kulikuwa na party ya msanii mmoja Hivi nili alikwa na meneja wa mikumi palee aisee pale ile mitaaa full balaaa yaani 😂😁 Kuna bonge kimoja hivi limejazia sana nililimwagia sana mapesa palee 😂😁😁
 
Kaka nilitoka kigamboni kulikuwa na party ya msanii mmoja Hivi nili alikwa na meneja wa mikumi palee aisee pale ile mitaaa full balaaa yaani 😂😁 Kuna bonge kimoja hivi limejazia sana nililimwagia sana mapesa palee 😂😁😁
Basi kaka ile ndo mitaa yetu...
Yaaani ile chamazi yote ndo sisi ma kontawa mkuu kuanzia majimatitu kule
 
Back
Top Bottom