Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Dah mitaaa yenu mizuri sana yaani kaka usiku kama muchana yaaniBasi kaka ile ndo mitaa yetu...
Yaaani ile chamazi yote ndo sisi ma kontawa mkuu kuanzia majimatitu kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mitaaa yenu mizuri sana yaani kaka usiku kama muchana yaaniBasi kaka ile ndo mitaa yetu...
Yaaani ile chamazi yote ndo sisi ma kontawa mkuu kuanzia majimatitu kule
Ahahahaha kigamboni now mbna kupo poa mkuu...Dah mitaaa yenu mizuri sana yaani kaka usiku kama muchana yaani
Trafiki hovyo kabisa mida hiyo wanabadilishana shift wanawaza maokoto na kubambika makosa Kisha kurusha kwenye TMS.Hata police traffic mida hio wanakua wapole sana unakuta wametulia kwenye vibanda vyao
Huku kupo kimyaaa sana kakaAhahahaha kigamboni now mbna kupo poa mkuu...
Kigambon ya wap mkuu geza ulole au mikadi au..?Huku kupo kimyaaa sana kaka
Huku Dodoma kuna vi-mawingu mawingu vya uzushi toka juzi....bora mvua inyeshe tu na huvi jioni kuna baridi, inyeshe tukumbatiane.Kwa watu wa dar maeneo ya posta kariakoo na mbagala hiki kitu hamuwezi kuki experience...
Vipi na huku Dodoma ? 🙌🙌🙌🙌
Mana kwa jua hili lazima mtulie tuu hata miti inapoa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Natoka chama huku madam, Naingia Dom kule....Huku Dodoma kuna vi-mawingu mawingu vya uzushi toka juzi....bora mvua inyeshe tu na huvi jioni kuna baridi, inyeshe tukumbatiane.
Niko hapa Waswano Pub nakula muwa ili nipate stimu ya 'kukazana'
Huku tunapeta tu mazee.😂😂😂😂😂 Natoka chama huku madam, Naingia Dom kule....
Ila huku chama si kwa jua hili aiseeee
Wee madam kweli ndo wakunikaribisha dom kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huku tunapeta tu mazee.
Karibu sana Dodoma arifu.
Huku hali ya hewa ni tulivu kiasi
NdioWee madam kweli ndo wakunikaribisha dom kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
cheka huku kakaKigambon ya wap mkuu geza ulole au mikadi au..?
Nasbr sku ukiwa mitaa ya square nije hapo aiseeee 😂😂😂👊👊Ndio
Na kila kitu juu yangu😄😄😄
Usiogope bhana
Haya😄😄😄Nasbr sku ukiwa mitaa ya square nije hapo aiseeee 😂😂😂👊👊
Ooooh kaka pande zetu hizocheka huku kaka
Ufanye kweli madam ... Ila pia iwe Weeknd.....Haya😄😄😄