Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?
Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.
Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.
Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.