Kwanini Ikulu hawapokei simu zinazopigwa kwenye line walizotuwekea?

Kwanini Ikulu hawapokei simu zinazopigwa kwenye line walizotuwekea?

Gagnija

Platinum Member
Joined
Apr 28, 2006
Posts
12,620
Reaction score
12,109
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
 
Mheshimiwa Mwiguli akanisha alosema Mheshimiwa Mipango, nawaza alomwandalia Mpago speech alielewa taarifaa za uongoo zile?
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.

Sio ikulu tu, ni karibia taasisi zote za umma hawana tabia ya kupokea simu ama kujibu email!
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
hahahahaha mkuu umenichekesha sana
hivi ulishaona mwanafunzi akienda kufanya field/mazoezi kwa vitendo ikulu?
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
Wanajua nini unataka hawezi pokea asilani.....
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
Mfalme kaka juu ya kiti we nani?
 
hahahahaha mkuu umenichekesha sana
hivi ulishaona mwanafunzi akienda kufanya field/mazoezi kwa vitendo ikulu?
Monica Lewinsky alifanya mazoezi kwa vitendo Ikulu ya Marekani, uliwahi kulisikia hilo?

Post #1 nimeandika kuwa Ikulu ya Marekani wanapokea simu, kwanini hawa wakwetu hawawezi kupokea? Au Ikulu yetu ina unyeti zaidi ya White house!
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Monica Lewinsky alifanya mazoezi kwa vitendo Ikulu ya Marekani, uliwahi kulisikia hilo?

Post #1 nimeandika kuwa Ikulu ya Marekani wanapokea simu, kwanini hawa wakwetu hawawezi kupokea? Au Ikulu yetu ina unyeti zaidi ya White house!
Nyie watu nyie ha ha ha...
 
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?

Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.

Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
Kuna watu wanaamini kufanyakazi Ikulu ni kama wapo Mbinguni. Hivyo wanaamini katika MAAMUZI YAO.

PSU wanapaswa kufahamu kuwa Ikulu ni mali ya wananchi. Wamsaidie Rais kutimiza wajibu wake na wasimfanye Rais kuwa unreachable...

Mabadiliko ni tiba ya wakati
 
Back
Top Bottom