Kwanini Ikulu hawapokei simu zinazopigwa kwenye line walizotuwekea?

Kwanini Ikulu hawapokei simu zinazopigwa kwenye line walizotuwekea?

Niwekeeni hiyo namba hapa nijaribu kupiga. Otherwise mtakuwa mnadaganya. Serekali yetu ni sikivu acheni maneno yenu ya blah blah
 
Mimi nilikuwa nataka turuhusiwe kwenda kufanya utalii wa ndani kama wafanyavyo pale White House
Bila shaka ujenzi wa Ikulu Chamwino utakapokamilika mtaruhusiwa. Ndivyo tulivyoambiwa na Magufuli siku ya kuweka jiwe la msingi, labda waliopo waamue kubadili.

Hata jumba la mfalme wa Uingereza kuna sehemu utalii unaruhusiwa ndani ya jumba hilo.
 
Mi mwenyewe nilitaka kwenda kulala pale wakanikatalia.

Niliwashangaa sana wakati wanasema ile ni nyumba ya wananchi.

Siku nyingine nikawapigia simu JWTz nikiwataka waje kunilinda nao wakazengua wakati mimi ni mwananchi wa Tanzania na jeshi hilo ni la wananchi wa Tanzania.

Aisee hii nchi ngumu sana.
 
OFISI ZA UMMA ZA TANZANIA... HAWANA HAJA NA WEWE... WEWE NDIO UNA HAJA NA WAO...

HIZO NAMBA WANAWEKA GERESHA TU...
 
Watanzania tupo milioni 60+

Chukulia wenye simu na shida kama yako wapo milioni 3 tuu, mheshimiwa ataweza kuwasikiliza wote hata akigawa muda kwa mwaka mzima HAIWEZEKANI

Andika barua pepe, au barua ya kawaida hatakama hatajibu ujue ujumbe utamfikia na swala lako litatatuliwa kwa haraka KULIKO KUKATA SIMU NA KUPIGA TENA NA TENA
KWAHIYO HUO NDIO UTETEZI WAKO WA KUHALALISHA KUTOPOKEA SIMU?

NDIO KAZI YA KITENGO CHA MAWASILIANO AU CALL CENTRE... UNAPOKEA SIMU YOYOTE ILE... IWE ITALETA FAIDA AU HAITALETA FAIDA... POKEA SIKILIZA TOA MAELEZO PANAPOBIDI...

ILA KWA OFISI ZA SERIKALI ZA UMMA... NI KWAMBA THEY DON'T NEED CUSTOMERS... BUT YOU CUSTOMERS NEED THEM. KWAHIYO HAWANA HAJA NA WEWE... WEWE KWAO NI USUMBUFU...
 
Back
Top Bottom