To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hakika Leo usingiz huna.Njoo PM nikupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Leo usingiz huna.Njoo PM nikupe
Wanatusoma sana, trust me. Lakini ndio hivyo wanasema kelele za mlango...Kama wanashindwa kupokea e mails na cm zilizoko mezani kwao je muda wa "kujisomea" na kutekeleza hiki tunachoandika watatoa wapi??
A new sheriff is in town 😆😆Huwa wanapokea.kipindi cha jpm niliwahi kuwapigia na kuwaandikia kupitia email walinijibu.Labda huwa wanaenda na upepo wa bosi
Kuna watu wanaamini kufanyakazi Ikulu ni kama wapo Mbinguni. Hivyo wanaamini katika MAAMUZI YAO.
PSU wanapaswa kufahamu kuwa Ikulu ni mali ya wananchi. Wamsaidie Rais kutimiza wajibu wake na wasimfanye Rais kuwa unreachable...
Mabadiliko ni tiba ya wakati
Ndo utakatifu wa Ikulu yetu ulivyo kwa sasa.wenzako wanaamini wapo pale kumtumikia tajiri aka Rais na sisi wengine ni vibwengo fulani tu, sidhani kama hata wanafahamu ni kodi zetu ndio zinawafanya waishi vizuri.
Wengine hata kazi zenyewe ni kamlete hakuna competency wala proffsionalism iliyowaweka pale zaidi ya mjomba/mama/baba/ shangazi nk..
Wapo, wengi tuu ila hutafanyia palehahahahaha mkuu umenichekesha sana
hivi ulishaona mwanafunzi akienda kufanya field/mazoezi kwa vitendo ikulu?
Unajuaje kama haijafika?Tanzania vitu vingi ni geresha sio namba tu hata barua ukiandika haitofika.
Watanzania tupo milioni 60+Kuna mdau kashauri nifunge safari hadi getini Ikulu.
Dunia hii ya kidijitali nisafiri toka Kamachumu hadi getini Chamwino kwa tatizo linalomalizwa kwa mtu kuinua tu mkono kupokea simu!
Kwanini huyo anayekaidi kupokea simu za wananchi asiwajibishwe na wakubwa wake kazini?
Nafahamu wanasoma haya tunayoandika, wabadilike.
Wanajua wasipo jibu utakutana nae kwenye mikutanoWatumishi wa Umma wengi Waporipori.
Mimi nimemwandikia barua Rais kupitia email ya Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi tangu mwezi mei mwaka huu,haijajibiwa.Ila wakati wa JPM walikuwa wanajibu.
Kapewa wasaidizi. Zile namba hazikuwekwa pale ili azijibu yeye. Awasukume hao wasaidizi wake kutimiza wajubu wao.Watanzania tupo milioni 60+
Chukulia wenye simu na shida kama yako wapo milioni 3 tuu, mheshimiwa ataweza kuwasikiliza wote hata akigawa muda kwa mwaka mzima HAIWEZEKANI
Tuma hata sms wahangaike nayo, potelea mbaliKwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?
Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.
Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.
Acha tu, dahHakika Leo usingiz huna.
Mwambie aanze kujifunza na lugha ya kitutsi maana pale getini wapo wale jamaa wa tolu au washarudi kwao?Kama hawapokei kwanini usiende kabisa mwenyewe pale getini? Ninaamini watakupokea na kukupa huduma nzuri kabisa, amini au usiamini
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?
Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani, hata taasisi kongwe na tajiri kuliko taasisi nyingine yoyote duniani, wenye makao yao makuu Vatican wanapokea simu.
Kuna kitu gani hasa kinachozuia simu za wananchi zisipokelewe Ikulu yetu? Ikulu ni ofisi ya umma, wahusika mlijue hilo.