GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
na kwanini ung'ang'ane na Yanga AFCON?Klabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Ulishaambiwa ukiwa Mshabiki wa Ngaya SC basi Wewe huna Akili sasa hapo huelewi nini Mkuu?Nimeshangaa sana, mali walipopata goli mijamaa iliyokuwa imevaa madera yaliyoandikwa GSM ilinyanyuka na kushangilia kiutopolo.
Nikachunguza nikajua wako mali kwa ajili ya kipa wao.
Hizi akili manara alishatutahadharisha nazo.
Its like mashabiki wa Man U wawe mashabiki wa Cameroon kwa sababu ya kipa wao Onana
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!na kwanini ung'ang'ane na Yanga AFCON?
kwako studio🐒
umesahau kuweka Angalizo maana uzi wako bila angalizo nayo inakua light sana 🐒Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
🎶Hakika jana mmekong'otwa🎵na kwanini ung'ang'ane na Yanga AFCON?
kwako studio🐒
ni kishujaa kama kawa kama dawa🎶Hakika jana mmekong'otwa🎵
🎵Kupona, hamponi ng'oooo🎶
Saaafini kishujaa kama kawa kama dawa
Kumbe na wewe uliwaona huko?Nimeshangaa sana, mali walipopata goli mijamaa iliyokuwa imevaa madera yaliyoandikwa GSM ilinyanyuka na kushangilia kiutopolo.
Nikachunguza nikajua wako mali kwa ajili ya kipa wao.
Hizi akili manara alishatutahadharisha nazo.
Its like mashabiki wa Man U wawe mashabiki wa Cameroon kwa sababu ya kipa wao Onana
special mental caseUlishaambiwa ukiwa Mshabiki wa Ngaya SC basi Wewe huna Akili sasa hapo huelewi nini Mkuu?
ni kweli lakini,hii sio fact pekee ambayo,inaamua kama hiyo timu ni bora au laaKlabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Vipi kwa huyu hapa chini kwa hiki Kiingereza chake Kibovu yeye siyo Special Mental Case?special mental case
Mayele ni shabiki wa As Vita si Yanga.Hata Sadio Kanuti amenuna je na yeye ni Yanga? Pia Mayele amefurahi DRC kuingia nusu lakini Mayele ni shabiki mkubw wa Yanga. Acheni ushamba
Walionuna ni mashabiki wa yanga jamani 🤠!
Ni kama ilivyo kwa Simba kufurahia mafanikio ya DRC. Sio kwamba wanaipenda DRC bali fahari yao ni Inonga. Wazungu wanasema" Don't argue the obvious " ikiwa na maana kwamba usihoji kitu ambao jibu lake linafahamika. Mfano uhoji mtu asipokula chakula kutatokea nini au mtu akinywa Pombe itakuaje au mtu akishika moto itakuaje.Klabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Msafala wa mamba,kenge hali kosekani.Klabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!