Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Utopolo Mali ya Diara
Makolo DRC ya Inonga
Ile ya wendawazimu ilishatoka
Makolo DRC ya Inonga
Ile ya wendawazimu ilishatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi hii mkuuya wendawazimu ilishatoka
HahahahahaIpi hii mkuu
Fanya kunihabarisha siijuiHahahahaha
ila ilishangaza zaidi mijamaa ya papa,makolo fc mali walipofungwa goli la pili ilishangilia utafikiri kafunga sammata au msuva...hata timu yao hawakuwahi kuishangilia vileNimeshangaa sana, mali walipopata goli mijamaa iliyokuwa imevaa madera yaliyoandikwa GSM ilinyanyuka na kushangilia kiutopolo.
Nikachunguza nikajua wako mali kwa ajili ya kipa wao.
Hizi akili manara alishatutahadharisha nazo.
Its like mashabiki wa Man U wawe mashabiki wa Cameroon kwa sababu ya kipa wao Onana
Nakwambia toka Afcon hii ianze hakuna mechi nilifurahi kama hiyo ya Mali dhidi ya Ivory Coast haswa hilo goli la pili ilikuwa ni furaha si mchezo inafuatia mechi ya 16 bora Congo DR Vs Egyptila ilishangaza zaidi mijamaa ya papa,makolo fc mali walipofungwa goli la pili ilishangilia utafikiri kafunga sammata au msuva...hata timu yao hawakuwahi kuishangilia vile
Lengo lako huwa ni kujaza server au make una post nyingi ila zimejaa uharo mtupuKlabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika mnastahili Sifa kwa kuwa na Mchezaji ( Henock Inonga ) ambaye ameisaidia Timu yake ya Taifa kufika hatua ya Semi Final katika AFCON huko nchini Ivorry Coast.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
na mimi nasubir majib hapa chini👇👇Vipi kwa huyu hapa chini kwa hiki Kiingereza chake Kibovu yeye siyo Special Mental Case?
View attachment 2894698
View attachment 2894699
Nasubiri majibu tafadhali.