Wanawake ni mabingwa wa kulibeba jambo kwa muda mrefu anaweza akawa amekusamehe lakini akalibeba,"utasikia sijawah muongelesha mwaka mzima"Hahhaha tunatofautisha vipi hivi vitu ?
Maana katika mahusiano wanawake ni hodari sana wa kukumbushia makosa ya nyuma,na wanaume pia ni hodari kukumbushia makosa ya nyuma.
So kwa mfumo huo tunajuaje ?
Aje hapa aseme kwanini hakunisamehe na kosa lilikuwa ni dogo tu [emoji1787][emoji1787]
Sasa unajuaje kama mwwnamke amekusamehe ?Wanawake ni mabingwa wa kulibeba jambo kwa muda mrefu anaweza akawa amekusamehe lakini akalibeba,"utasikia sijawah muongelesha mwaka mzima"
Mawasiliano ndio ishara ya kwanza kujua kama amekusamehe, mawasiliano baina yenu yanaimarika kama yalikuwa yanasua sua, lakini amani itarejea kati yenu yaani atakuwa na amani na wewe, hali ya utii kwako itarejea, kumbuka mwanamke akiwa na uchungu roho ya kiburi ,ukaidi na jeuri inamtawala kwahiyo kama amekusamehe hiyo hali inatoka na anaanza kukutiiSasa unajuaje kama mwwnamke amekusamehe ?
Sasa ule mfano uliotoa wa "simsemeshi mwaka mzima" unakujaje mkuuMawasiliano ndio ishara ya kwanza kujua kama amekusamehe, mawasiliano baina yenu yanaimarika kama yalikuwa yanasua sua, lakini amani itarejea kati yenu yaani atakuwa na amani na wewe, hali ya utii kwako itarejea, kumbuka mwanamke akiwa na uchungu roho ya kiburi ,ukaidi na jeuri inamtawala kwahiyo kama amekusamehe hiyo hali inatoka na anaanza kukutii
Mkuu hiyo Hali ya kutomsemesha Mwaka mzima inatokana na kuwa na uchungu na aliyekukosea hebu fikiria Hali unayokuwa nayo ukikutana na Mtu unayemdai Kwa muda mrefu na simu zako hapokei ndio namna Mtu anaweza akaenda na hiyo Hali ya mateso Mwaka mzimaSasa ule mfano uliotoa wa "simsemeshi mwaka mzima" unakujaje mkuu
Kuna wengine hata ukimwambia kosa anakuwa mkali atataka kujitetea au kujitoa kwenye kosa, ninavyoamini makosa tunyafahamu na mara nyingine huwa tunawakosea wenzi wetu huku tukijua, kwamfano ukimnyima mumeo/mkeo unyumba ni kumkosea Kwa sababu ni haki yake kupata, na msamaha sio Mpaka aliyekukosea akuombe Kwa sababu anayeumia ni wewe uliyekosewaShida ni aliyekosa haoni kama kosa lake ni issue
Ama aliyekosewa muda mwingine hasemi amekosewa vipi
Kikubwa mawasiliano make sure mwenzako anaelewa how you feel
Ajue kipi kwako kina uzito na kipi unapuuzia
Na yeye mhimize aseme vya upande wake
Pia, kutokusamehe ni kujifungia baraka/ mafanikio yako.Asante kwa bandiko na mimi naomba niomgeze yafuatayo.
1.hali ya kutosamehe inamuumiza yule ambaye hataki kutoa msamaha.
Ukiweka kinyongo juu ya mtu aliyekukosea basi wewe ndo unaumia kwa sababu unafeel lile kosa na wala yule aliyekukosea hatouhisi ule uchungu kama unaouhisi wewe.
So samehe unakuwa umejiepusha na mengi na kuweka huru nafsi.
Sio umerogwa bali una Pepo lililokuvaa linakuongoza, ulimwengu wa giza hakunaga msamaha ukikosea huko Kila kosa linaenda na adhabu lakin ulimwengu wa Nuru Kuna Rehema na mwanadamu ameumbiwa kuwa na Rehema kumhurumia mwingine.Kiburi na jeuri ndo vinanisumbua
Kwa kifupi hua sisamehi kabisa
Kwa hyo nimerogwa?
NajitahidiAchilia usikumbuke ya nyuma Ili Mungu naye afute yako ya nyuma
Ss unatoaje unyumba na mtu kakukera??Kuna wengine hata ukimwambia kosa anakuwa mkali atataka kujitetea au kujitoa kwenye kosa, ninavyoamini makosa tunyafahamu na mara nyingine huwa tunawakosea wenzi wetu huku tukijua, kwamfano ukimnyima mumeo/mkeo unyumba ni kumkosea Kwa sababu ni haki yake kupata, na msamaha sio Mpaka aliyekukosea akuombe Kwa sababu anayeumia ni wewe uliyekosewa