Kwanini inakuwa ngumu kusamehe katika mahusiano?

Kwanini inakuwa ngumu kusamehe katika mahusiano?

Ss unatoaje unyumba na mtu kakukera??
Yani ukosee afu udai unyumba kimabavu😅then uje kusema umekosewa wkt we ndo ulimtoa mood mwenzako?.
Rekebisha kwanzaa🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
Hahahaha, usipompa unyumba Maana yake umemlipiza, principle ya kusamehe inaanza na aliyekosewa, Mungu mwenyewe anasema anafuta makosa yetu Kwa ajili yake mwenyewe, Kuna wengine ni jeuri unaweza sema sikupi unyumba akatafuta sehemu nyingine akapata, hoja sio unyumba hoja hapa ni maumivu ya kutendewa isivyo halali yaani kuumizwa atayebaki anaumi hapa ni yule aliyekosewa, sasa ukiachilia na unyumba ukampa atajirudi na hata asipojirudi wewe unakuwa umeponywa moyo na nafsi yako
 
Umsamehe mtu anayakukosea Kwa makusudi?

Ambaye umekuwa ukimuonya juu ya kosa hilo hilo na akaendelea kukukosea kwa mara nyingi ?
Unamsamehe pia, kwasababu unajuaje kurudia rudia mara nyingi kumedhamiria kukuharibia wewe? Hivi mkuu unajua kuwa Ili ufanikiwe unahitaji amani ya moyo?? Huwezi ukapata maendeleo kama una stress na uchungu ndani yako, na shetani Ili akukwamishe anaanza kuvuruga amani yako kwanza so unaweza Mtu anakukwaza mara Kwa mara kumbe Yuko kwenye mission ya kukuangusha ama Kwa yeye kujua ama kutojua, dawa ni kuachilia msamaha
 
Kumsamehe mtu ni jambo moja lakini kuridhia kumpa nafasi kwa mara nyingine moyoni ni swala lingine.

Na hapo inahitajika neema ya tofauti.
Ukimsamehe na ukashindwa kumpa nafasi moyoni mwako hapoo Bado haujasamehe mkuu, kumbuka upendo hauhesabu mabaya
 
Poleni sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Hahahaha, usipompa unyumba Maana yake umemlipiza, principle ya kusamehe inaanza na aliyekosewa, Mungu mwenyewe anasema anafuta makosa yetu Kwa ajili yake mwenyewe, Kuna wengine ni jeuri unaweza sema sikupi unyumba akatafuta sehemu nyingine akapata, hoja sio unyumba hoja hapa ni maumivu ya kutendewa isivyo halali yaani kuumizwa atayebaki anaumi hapa ni yule aliyekosewa, sasa ukiachilia na unyumba ukampa atajirudi na hata asipojirudi wewe unakuwa umeponywa moyo na nafsi yako
Weee revenge ndio inaponya moyo

Msamaha sio mwepesi unless mtu kaomba msamaha kwa kumaanisha
 
Ukimsamehe na ukashindwa kumpa nafasi moyoni mwako hapoo Bado haujasamehe mkuu, kumbuka upendo hauhesabu mabaya



Imeandikwa;

Mpende Bwana Mungu wako kwa AKILI yako yote.

Mungu anapenda tutumie akili katika kumpenda na siyo ujinga na upumbavu!

Kuna namna mkosa anapaswa kuonesha kubadilika kwa vitendo kimwenendo ili kuweza kusamehewa.
 
Nikupe mifano 2 ;

1. Mwizi kaiba bomba la kijiji mara ya kwanza akaomba msamaha akasamehewa,

Akarudia tena mara ya 2 na ya 3 kisha anakuja kuomba msamaha,

Mara 4 akaiba tena,

Je mtaendelea kumsamehe nyie wanakijiji mtu wa hivyo?

Au mtamchukulia hatua ya kumpeleka Polisi kisha mahakamani?

Au sana sana mkimhurumia mtamwambia akachukue bomba letu ulikoliuza tupate maji ndipo tutakusamahe?
 
Mfano mwingine ni huu ;

Kuna mwanamke amekuwa akimstukia mumewe na mchepuko fulani kwa miaka kadhaa ,

Mwanaume akistukiwa anaomba msamaha Kwa mkewe mke anamsaheme maisha yanaendelea,

Sasa baada ya miaka labda 10 ya ndoa mke anakuja kujua mumewe amezaa na Yule mchepuko,

Mume anakubali kuwa ni kweli.

Na mchepuko ni jobless na mjini anawekwa na huyo mume!

Je mke anaweza kumsamehe mume wa aina hiyo ?

Na akimsamehe maana yake akubali kuishi maisha ya uke wenza ?

Yani aji-risky kuishi maisha ya ukewenza wakati mchepuko ni mchawi na mshirikina ?
 
Kwa kifupi humu Duniani tunaendelea kujifunza kila kila leo.

Kuna watu wana maishu mazito @ Mpendwa!

Ukipata neema wakafunguka kukuhadithia utachoka mwenyewe!

Na ukilazimisha msamaha unakuwa fake na Pengine mwingine anatafuta nafasi ya kufanya kisasi cha mwili!
 
Weee revenge ndio inaponya moyo

Msamaha sio mwepesi unless mtu kaomba msamaha kwa kumaanisha

Weee revenge ndio inaponya moyo

Msamaha sio mwepesi unless mtu kaomba msamaha kwa kumaanisha
Mkuu revenge haijawah ponya moyo fuatilia utagundua revenge ni mbaya kuliko unavyofikiria maana revenge huambatana na hasira unaweza jikuta unafanya jambo baya ukaumiza wengi zaidi ya uliyemkusudia fuatilia utagundua hilo
 
Imeandikwa;

Mpende Bwana Mungu wako kwa AKILI yako yote.

Mungu anapenda tutumie akili katika kumpenda na siyo ujinga na upumbavu!

Kuna namna mkosa anapaswa kuonesha kubadilika kwa vitendo kimwenendo ili kuweza kusamehewa.
Amesema mpende Bwana MUNGU wako Kwa moyo, akili, nguvu na Roho yako yote, Mungu anahitaji vyote, lakini suala la msaha linahusisha moyo mkuu, ukitaka kuponya moyo wako basi msamaha ni dawa
 
Mfano mwingine ni huu ;

Kuna mwanamke amekuwa akimstukia mumewe na mchepuko fulani kwa miaka kadhaa ,

Mwanaume akistukiwa anaomba msamaha Kwa mkewe mke anamsaheme maisha yanaendelea,

Sasa baada ya miaka labda 10 ya ndoa mke anakuja kujua mumewe amezaa na Yule mchepuko,

Mume anakubali kuwa ni kweli.

Na mchepuko ni jobless na mjini anawekwa na huyo mume!

Je mke anaweza kumsamehe mume wa aina hiyo ?

Na akimsamehe maana yake akubali kuishi maisha ya uke wenza ?

Yani aji-risky kuishi maisha ya ukewenza wakati mchepuko ni mchawi na mshirikina ?
Kusamehe hapo inamaanisha kutokuwa na kinyongo na huyo mume wake, suala la kuendelea kuishi naye hilo utashi wake na kama atakubali kuishi naye maana yake amekubali kulea na huyo Mtoto, ama la akiona hawezi kuishi naye anamwambia wazi tu kuwa ninekusamehe ila siwezi kuendelea kuishi na wewe Kwa ustawi wa afya yangu
 
Mkuu revenge haijawah ponya moyo fuatilia utagundua revenge ni mbaya kuliko unavyofikiria maana revenge huambatana na hasira unaweza jikuta unafanya jambo baya ukaumiza wengi zaidi ya uliyemkusudia fuatilia utagundua hilo
Revenge ndogo ndogo ni tiba i tell u

Ukiwa mwepesi kusamehe people walk on u wanajua utasamehe tu

Haiwezekani ukosewe na usinune
 
Kwa kifupi humu Duniani tunaendelea kujifunza kila kila leo.

Kuna watu wana maishu mazito @ Mpendwa!

Ukipata neema wakafunguka kukuhadithia utachoka mwenyewe!

Na ukilazimisha msamaha unakuwa fake na Pengine mwingine anatafuta nafasi ya kufanya kisasi cha mwili!
Msamaha haulazimishwi kwasababu unahusu Maisha ya Mtu, hivyoo Mtu anatakiwa aeleweshwe kwanini anahitaji kuachilia?? Kwanini asamehe??.. Kuna Bwana mmoja ameweka malalamiko ya Kwamba Mke wake anataka kula nyama nyingi kuliko yeye, hapo Mke anatakiwa kumsamehe mumewe kwakuwa sio kosa lake na akishasamehe Ili Maisha yaendelee anatakiwa kuchukuliana na Hali ilivyo bila kuwa na kinyongo ataishi Kwa amani
 
Revenge ndogo ndogo ni tiba i tell u

Ukiwa mwepesi kusamehe people walk on u wanajua utasamehe tu

Haiwezekani ukosewe na usinune
Hahahaha, mkuu tutaendelea kesho nitakueleza kwanini revenge haijawah kufanya kazi, na Nini matokeo yake Kwa mhusika naomba nikuache ulale, nikutakie usiku mwema
 
Hahahaha, mkuu tutaendelea kesho nitakueleza kwanini revenge haijawah kufanya kazi, na Nini matokeo yake Kwa mhusika naomba nikuache ulale, nikutakie usiku mwema
Revenge kubw kwa kwl ni chaos tu
But vidogodogo hv havina madhara kbs..
Sanasana mtaombana msamaha vizuri tu badae

Mfano unamuuliza mtu kitu flani kiko wapi anakujibu usiniwangishe kichwa asbh hii
Unawaza heee yamekua hayo
Unauchunaa na wewe
anajisahau anaanza kukuongeleshea sijui kitu gani..hapo ushanuna na wewe unakua bubuu anajiongelesha mwenyewee hadi akili imkae sawa
Akiona mnuno umezidi anaanza kuleta comedy ili tu ucheke

Mi mtu ukinikera revenge lazimaa ndo roho yangu isuuzike..
Msamaha tutataja muda wa maombi huku ni revenge tu
 
Mfano mwingine ni huu ;

Kuna mwanamke amekuwa akimstukia mumewe na mchepuko fulani kwa miaka kadhaa ,

Mwanaume akistukiwa anaomba msamaha Kwa mkewe mke anamsaheme maisha yanaendelea,

Sasa baada ya miaka labda 10 ya ndoa mke anakuja kujua mumewe amezaa na Yule mchepuko,

Mume anakubali kuwa ni kweli.

Na mchepuko ni jobless na mjini anawekwa na huyo mume!

Je mke anaweza kumsamehe mume wa aina hiyo ?

Na akimsamehe maana yake akubali kuishi maisha ya uke wenza ?

Yani aji-risky kuishi maisha ya ukewenza wakati mchepuko ni mchawi na mshirikina ?
Thank you
Hivi unawasamehe vipi watu km hawa?

Revenge muhimuu...
Ntatafta katukio niwagombanishe wapigane kabisaa akili zao zikae sawa..siliachi kizembe
 
Kwa kifupi humu Duniani tunaendelea kujifunza kila kila leo.

Kuna watu wana maishu mazito @ Mpendwa!

Ukipata neema wakafunguka kukuhadithia utachoka mwenyewe!

Na ukilazimisha msamaha unakuwa fake na Pengine mwingine anatafuta nafasi ya kufanya kisasi cha mwili!
Tiba ya hayo yote mkuu unatakiwa uyaseme kwa mwenza wako,usijifanye umesamehe wakati moyoni unaumia.

Kwa sababu kuna watu wa mbali kukukosea hawa unaweza kuwasamehe hata bila wao kuomba msamaha.

Ila sasa hawa wtu wa karibu ndio ishu kusamehe maana kila muda upo nao.

Kuna kanuni yangu moja inaniambia "kuwa mbali na aliyekukera kunapunguza hasira"

Sasa mtu mumekerana kama mke na mupo karibu hasira zinazidi sana na ndio maana ni rahisi sana watu wa karibu kuvunja ukaribu wao kuliko watu wa mbali kuvunja umbali wao.
 
Back
Top Bottom