GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na East Africa unaomba vipi? Tujuze.Siyo kweli hata kidogo, Marekani hizo kazi unaaply mwenyewe.
Wanakua na vinasaba vya kubeba siri ndani yao,pia hujifunza toka kwa wanafamilia AMBAO wamewahi KUWEPO kitengo yaani maisha yao huwa somo kwao HIVYO ni rahisi na wao KUINGIA na kutekelezwa majukumu ya wenye nchi!!Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
Hizi nchi za kusadikika hata kazi ya bar maids wanaitana kimchongo.Na East Africa unaomba vipi? Tujuze.
Kadiri unavyokua na ndugu wa karibu au wazazi waliowahi kuhuduma katika idara nyeti serikalini inakuongezea credit (Security clearance) katika mchujo, Ila sio kigezo pekee japo kina nafasi kubwaSiyo kweli hata kidogo, Marekani hizo kazi unaaply mwenyewe.
Na Wenye Akili kuliko Ujuha unaoumiliki.Inashauriwa na nani mkuu.!?
Shukrani Mr.kipangaNa Wenye Akili kuliko Ujuha unaoumiliki.
Nimeshangaa na Kusikitika Dr Matola PhD utaratibu huu wa Kimfumo na ambao ndiyo umekuwa ukifanyika na Mataifa makubwa hasa kwa Watu wake wa Intelligence ameshindwa Kulijua.Wanakua na vinasaba vya kubeba siri ndani yao,pia hujifunza toka kwa wanafamilia AMBAO wamewahi KUWEPO kitengo yaani maisha yao huwa somo kwao HIVYO ni rahisi na wao KUINGIA na kutekelezwa majukumu ya wenye nchi!!
Kwani kiapo ni nini? Ina maana Rais hali kiapo? Wabunge hawali kiapo kiapo? Madiwani hawali kiapo? Wana ndoa hawali kiapo?Kila kazi ina changamoto zake, na kwa kuwa walishakula kiapo, inaonelea itakuwa rahisi zaidi kukisimamia kizazi chao.
Nb: Kama baba na mama wanakula nyama ya punda, ni rahisi pia watoto kula nyama ya punda.
Mbona kama vile kwa huu Mfano wako wa Kazi za JWTZ ni kama vile Umemlenga Classmate wangu SAUT Mwanza ( sasa ni Boss wa Timu ya JKT Tanzania ) ambaye ameingia huko kwa Mgongo wa Baba yake ( sasa ni Boss wa CCM Kiutendaji Dawati la Foreign ) muasisi wa hii Kauli ya Sadism is inevitable when the situation is alarming pale Mwandishi Mmoja wa Habari alipokurupuka na kusema Kifaru cha JWTZ Kimeibiwa?Hizi nchi za kusadikika hata kazi ya bar maids wanaitana kimchongo.
Zamani special branch ilikuwa inachukuwa yenyewe wanafunzi bright vyuoni, lakini tangu wameingia kizazi cha ubinafsi kitengo kimekuwa ni urithi wa familia.
Hata JWTZ ni hivyo hivyo kila Askari mwenye influence lazima aingize ndugu zake.
Unajuwa tatizo ni nini, ni nchi zilizokosa fursa nyingi za ajira.
Binafsi nilikataa kuingia Jeshi ni nilipewa nafasi za kupendelewa lakini kuishi kwa Amri na kunyenyekea ni kitu siwezi kufanya.
Wonderful. Najuta kutokuwa na Ndugu yoyote wa Familia huko kwani huenda angekuwepo nami ningekuwa huko.Kila kazi ina changamoto zake, na kwa kuwa walishakula kiapo, inaonelea itakuwa rahisi zaidi kukisimamia kizazi chao.
Nb: Kama baba na mama wanakula nyama ya punda, ni rahisi pia watoto kula nyama ya punda.
Precisely.Kadiri unavyokua na ndugu wa karibu au wazazi waliowahi kuhuduma katika idara nyeti serikalini inakuongezea credit (Security clearance) katika mchujo, Ila sio kigezo pekee japo kina nafasi kubwa
Wonderful. Najuta kutokuwa na Ndugu yoyote wa Familia huko kwani huenda angekuwepo nami ningekuwa huko.
Hongera zao Walioko huko kupitia Ndugu zao Waliotangulia kuwepo huko.
Adhabu ya kila kiapo inatofautiana 😀 , viapo vingine chagua nyeupe au nyeusiKwani kiapo ni nini? Ina maana Rais hali kiapo? Wabunge hawali kiapo kiapo? Madiwani hawali kiapo? Wana ndoa hawali kiapo?
Unadhani kina Kigogo, Mwamakula, Lisu, Dr Slaa wanapata wapi Top secret?