hatari sana.Jipitishe pitishe uko wilayani, wakuu wa mashule, wakufunzi n.k unaweza kubahatisha 😀😀, ila uhuru ni muhimu zaidi kuliko kazi; sasa hivi unaweza kubishana na boss wako, ila kwingine huna huo ubavu ni kutumika as a tool
Mfano shirika la kijasusi la Israel la MOSSAD MOJA kati ya shirika la kuaminiwa ZAIDI duniani hili,tunatarajia wenye nasaba za kiisrael wanaweza kua maafisa usalama wazuri ZAIDI kuliko HATA wale AMBAO hawana historian ya Wana ukoo wenye kufanya KAZI hiyo!!!Nimeshangaa na Kusikitika Dr Matola PhD utaratibu huu wa Kimfumo na ambao ndiyo umekuwa ukifanyika na Mataifa makubwa hasa kwa Watu wake wa Intelligence ameshindwa Kulijua.
Mkuu ulichokielezea ni sahihi kwa 95%
Hapa sifa ni uwe mwana CCM mwaminifuNa East Africa unaomba vipi? Tujuze.
NCHI ya ajabu sana sehemu za Duniani hii sekta ni mhimu ila kwetu Haina msaada ni sehemu ya machawa wa chama tawalaHizi nchi za kusadikika hata kazi ya bar maids wanaitana kimchongo.
Zamani special branch ilikuwa inachukuwa yenyewe wanafunzi bright vyuoni, lakini tangu wameingia kizazi cha ubinafsi kitengo kimekuwa ni urithi wa familia.
Hata JWTZ ni hivyo hivyo kila Askari mwenye influence lazima aingize ndugu zake.
Unajuwa tatizo ni nini, ni nchi zilizokosa fursa nyingi za ajira.
Binafsi nilikataa kuingia Jeshi ni nilipewa nafasi za kupendelewa lakini kuishi kwa Amri na kunyenyekea ni kitu siwezi kufanya.
SahihiSiyo kweli hata kidogo, Marekani hizo kazi unaaply mwenyewe.
Sahihi kabisaHizi nchi za kusadikika hata kazi ya bar maids wanaitana kimchongo.
Zamani special branch ilikuwa inachukuwa yenyewe wanafunzi bright vyuoni, lakini tangu wameingia kizazi cha ubinafsi kitengo kimekuwa ni urithi wa familia.
Hata JWTZ ni hivyo hivyo kila Askari mwenye influence lazima aingize ndugu zake.
Unajuwa tatizo ni nini, ni nchi zilizokosa fursa nyingi za ajira.
Binafsi nilikataa kuingia Jeshi ni nilipewa nafasi za kupendelewa lakini kuishi kwa Amri na kunyenyekea ni kitu siwezi kufanya.
acha uongo ww hivi mwanzoni si walikuwepo adam na eva peke yao sasa kama ndo ivo wanausalama walitoka kwenye historia ipi ebu tafakar hapo anza kurud nyuma toka kizazi hiki utaona hoja yako haina logic.....hata kama ukiwa hauamini kama MUNGU yupo unaamin ktk theory nyingne ya evolution utaona ni uongo familia zitarud na kuungana kwa mtu 1Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
Ungekua soldier sasa ivi ungekua unatembelea makalio na rangeHizi nchi za kusadikika hata kazi ya bar maids wanaitana kimchongo.
Zamani special branch ilikuwa inachukuwa yenyewe wanafunzi bright vyuoni, lakini tangu wameingia kizazi cha ubinafsi kitengo kimekuwa ni urithi wa familia.
Hata JWTZ ni hivyo hivyo kila Askari mwenye influence lazima aingize ndugu zake.
Unajuwa tatizo ni nini, ni nchi zilizokosa fursa nyingi za ajira.
Binafsi nilikataa kuingia Jeshi ni nilipewa nafasi za kupendelewa lakini kuishi kwa Amri na kunyenyekea ni kitu siwezi kufanya.
Huna akili, Range ndio nini? Nimetumia gari za UK mwaka 2003 Discovery.Ungekua soldier sasa ivi ungekua unatembelea makalio na range
Hivi sakata la Lugumi liliishia wapi?Kama wanakidhi vigezo wapewe nafasi. Charles Kitwanga alikuwa mfanyakazi mwandamizi BOT na bintiye kwa sasa ni afisa mkubwa BOT ila yule binti alistahili kwa sababu kitaaluma form four One ya 7 na form six PCM one ya 3. Chuo pia kakichafua haswa. Mtu kama huyu anazuiwaje kuingia BOT?
"WORKING FOR KILLERS IS A SURE WAY OF BOOKING A PLACE IN HELL"Leo GENTAMYCINE Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu ili Nielimike zaidi nikiamini kuwa hapa JamiiForums kuna Wabobezi na Wazoefu wa Fani hii inayoitwa ya Wenye Nchi.
Ni vyema ufurahie hapo ulipo kuliko huko unakokutamani.Wonderful. Najuta kutokuwa na Ndugu yoyote wa Familia huko kwani huenda angekuwepo nami ningekuwa huko.
Hongera zao Walioko huko kupitia Ndugu zao Waliotangulia kuwepo huko.
Ukiwa UVCCM tu unapata bila kujali sifa zingine pale kwa Nyerere.Na East Africa unaomba vipi? Tujuze.
Kuna vijana wengi wa wenyekiti wa wilaya wako huko, unasemaje hapo?Kadiri unavyokua na ndugu wa karibu au wazazi waliowahi kuhuduma katika idara nyeti serikalini inakuongezea credit (Security clearance) katika mchujo, Ila sio kigezo pekee japo kina nafasi kubwa
Awamu ya Yule mhuni mambo yalibadilikaSidhani kama ni LAZIMA uwe na vinasaba vya maafisa ili kuajiriwa
Sijui Kama ni coincides, nimeangalia kama movies 4 hivi zina vitu kama hivyo
Na series kadhaa pia
Kuna documentary nili wahi kuiona M16 walikua wana recruit kuanzia shule za secondary wanakwenda nao hadi university
Hako wanachagua wale wenye vipaji na akili za hali ya juu
Silizungumzii mkuuKuna vijana wengi wa wenyekiti wa wilaya wako huko, unasemaje hapo?
Yule msukuma aliwainguza wanajeshi wengi huko? Moemba kawatoa, unalizungumzua je hili?
Mkuu unamzungumzia yule Jamaa ambaye alikuwa mwembamba lakini sasa hivi ni mnene?Mbona kama vile kwa huu Mfano wako wa Kazi za JWTZ ni kama vile Umemlenga Classmate wangu SAUT Mwanza ( sasa ni Boss wa Timu ya JKT Tanzania ) ambaye ameingia huko kwa Mgongo wa Baba yake ( sasa ni Boss wa CCM Kiutendaji Dawati la Foreign ) muasisi wa hii Kauli ya Sadism is inevitable when the situation is alarming pale Mwandishi Mmoja wa Habari alipokurupuka na kusema Kifaru cha JWTZ Kimeibiwa?