Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh! ina come come kwa mbali hivi.kwa upekee alionao mama Samia kuwa Rais wa kwanza mwanamke east Africa."mama",ikapita moja kwa moja.
umeona hee🙏mh! ina come come kwa mbali hiviiiiiiii.......
Of courseJina lake Samia; kwanini aitwe mama Samia, badala ya kuitwa Rais Samia?
Maana ukisema mama inasimama badala ya mama yake, au mume wake angeitwa Samia (Mrs).
Tfsiri ya mama ni mtu mwenye heshima automatically hauwezi ukamtukana mama yako hauwezi ukajibizana na mama yako wala hauwezi kubishana na mamayako ndio maana Mama Samia amepewa hashima hiyo kubwa ya kuwa mama wa watanzania wote anaefanya maendeleo muda wote kwa ajili ya watoto wake We are so proud of herJina lake Samia; kwanini aitwe mama Samia, badala ya kuitwa Rais Samia?
Maana ukisema mama inasimama badala ya mama yake, au mume wake angeitwa Samia (Mrs).
Sasa wewe unaonyesha ni kiasi gani ulivyo na chuki Mama ni jina la heshima zaidi duniani kote na ndio maana limekubalika kwa Rais Samia SuluhuHii kitu nilidhani inanikwaza na kunikera pekee yangu. Aiseee hakuna kitu huwa kinanichanya nizime redio, au kubadilisha channel ya tv au kuacha kumsikiliza mtu anayeongea mara tu nikianza kusikia katika matamshi yake anamrefer MHESHIMIWA RAIS kama Mama.
Hapo hapo huwa naingia ukakasi.
Mama sio cheo cha kisheria au kiserikali ni hadhi ya kijamii. Kitendo cha watendaji wa serikali wote kuanzia waziri mkuu kumwita MHESHIMIWA RAIS kwa jina MAMA ni kinyume na katika ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Hakuna sehemu imesema tutampigia kura BABA au MAMA ashike mamlaka ya kuongoza inchi. Bali imeweka bayana tutampigia kura mgombea wa uraisi ambaye atakuja kuwa MHESHIMIWA RAIS.
Sasa majitu mazima mengine ni mazee yamekaza Mama mama mama mama. Huu ni upumbavu na ukiukwaji wa katiba kwa kumtaja kiongozi wa inchi kwa jina ambalo si la kisheria au kikatiba.
Kwahiyo kesho na kesho kutwa tutaanza kuitana waziri mkuu Baba mkubwa, waziri wa mambo ya ndani Mama mdogo, waziri wa kilimo Mjomba, waziri wa tamisemi na naibu wake Wifi na Shemeji. Huu ni Upumbavu. Tuukemee.
Kwahiyo kikatiba yule samia ni mama au RAIS?Sasa wewe unaonyesha ni kiasi gani ulivyo na chuki Mama ni jina la heshima zaidi duniani kote na ndio maana limekubalika kwa Rais Samia Suluhu
Ni kutokana na kujikomba na ujinsia. Pia, wanaomtukuza. hawajui kuwa wanamzeesha bureJina lake Samia; kwanini aitwe mama Samia, badala ya kuitwa Rais Samia?
Maana ukisema mama inasimama badala ya mama yake, au mume wake angeitwa Samia (Mrs).