Kwanini India imepitwa mbali kabisa na China kiuchumi wakati walikuwa mbele kuliko China?

Kwanini India imepitwa mbali kabisa na China kiuchumi wakati walikuwa mbele kuliko China?

Hadi mwaka 2000 China wasn't a member of World trade organization and hence hawakua na upana mkubwa wa wateja; wateja wao wengi ilikua ni population yao wenyewe plus nchi rafiki kama Tanzania. Mwaka 2000 ndio wakaingia rasmi WTO, Ben Mkapa alikua miongoni mwa waliosaidia sana hili, baada ya hapo bidhaa za China zilatapakaa everywhere in the world including European countries, nchi kama Spain viwanda vyake vya nguo vilitetereka kwasababu ya nguo from China, electronics devices as well zilisumbua hadi mataifa ya nje; kwa Africa ni kama wameua kabisa soko la Pikipiki za Honda, Suzuki from Japan, kila mtu anazungumzia China's made; simu zao zikaja kuua kabisa soko la radio, calculator, calender, diary nk. In short iko hivo plus mengine yaliotajwa na wenzangu huko ju
 
kuna kingine naona watu hawajagusa huko juu,

miaka ya 80, US alitumia nguvu kubwa sana kumwondoa China toka upande wa USSR, hivyo kuna incentives nyingi sana china alipata kupata deal hiyo, Lee K Y, yule PM wa Singapore aliplay role kubwa sana,

matokeo yake China akapata nafasi ya kusomesha vijana wake vyuo vya magharibi kupitia program mbalimbali walizokubaliana, hii ikampa china nafasi ya kupata teknolojia ya magharibi kwa njia nyepesi,

kile kizazi kilichosomeshwa vyuo vya magharibi, plus uongozi bora na mabadiliko ya sera zao za ndani ikawasaidia sana China kufumuka kuanzia miaka ya 2000,

ni kipindi hicho China alipewa status ya MFN na US (most favored nation), bidhaa zake hazikuwa na vizuizi vingi kuingia US......


...............

Currently China amekua mkubwa, kasi yake inawatisha magharibi (kinyago walichochonga wenyewe), ana teknolojia yake, ndio sasa wanagundua huyu ni mshindani sio mtoto tena!, wamechelewa!

jaribio kubwa kwa China sasa ni huu mgogoro wa Ukraine, west walimpa uchumi ila hawakumpa ulinzi, sasa amekua mkubwa anahitaji ulinzi, west hawapo tayari kumpa teknolojia yao, amerudi kumtegemea mrusi.........west wanamtishia kuharibu uchumi wake, yuko kwenye dilema!

...............

India uchumi wao haujawa advanced au tuseme haujawa saturated lakini ukuaji wake ni mdogo ukilinganisha na potential yake,

pana sababu nyingi, ila nadhani kubwa ni rushwa, ufisadi, 'demokrasia' iliyozaa viongozi wanaotekeleza matakwa ya kina Mukesh na Adani etc, lakini pia mifumo yake iko kimagharibi zaidi wakati watu wake hawana utamaduni huo wa magharibi......... wahindi na waafrika tofauti ndogo!
 
GDP lazima ihusishe population, China walidhibiti population yao huku wakijitahidi kuongeza uzalishaji wa bidhaa zao na kutafuta masoko mengi hasa Afrika ndicho kipindi ambacho waliwapiku India kwa uzalishaji na uuzaji wa bidhaa nje ya nchi.
India wanazaliana sana kuliko China kwa sasa. Mwaka 1987 China ndo ilikuwa na watu wengi kuliko China but kwa sasa India ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Hivyo, Per Capita lazima ishike kama uzalishaji hauta outpass matumizi

View: https://www.youtube.com/watch?v=JMHuVIE4Jk8

Population ya India imeizidi China juzi tuu (2023), wakati uchumi wa China ulishaupita wa India miaka 30 iliyopita.
Mengi yamesababisha maendeleo yao kama ilivyoelezwa hapo juu, nitaongezea miundombinu kama, uzalishaji wa umeme, steel na ujenzi wa reli. Mtandao wa reli za mwedo kasi China ni zaidi ya jumla ya reli zote duniani (Japan, Spain, Ujerumani, Uingereza na sisi Tanzania 😉).
 
Wahindi wengi wana mindset ya kusoma ili waajiriwa

Hata wahindi wafanya biashara ni makabila madogo, Gujirati na Marwari, hawa ndio wanaiheshimisha India

Kuna kiasi kikubwa sana cha ufisadi na rushwa.

Wahindi kwenye ubunifu hawawezi kuwafikia wachina, wamejazana huko marekani kwenye makampuni kama google kwa kuwekana lakini ubunifu wanategemea wazungu, wachina, wayahudi, n.k.

Wahindi wana matabaka ya kidini, kuna matabaka matano wanabaguana wazi wazi, ukizaliwa tabaka la mwisho unaonekana una haki ya kutumikishwa kazi kama mtumwa.
 
Wahindi wengi wana mindset ya kusoma ili waajiriwa

Hata wahindi wafanya biashara ni makabila madogo, Gujirati na Marwari, hawa ndio wanaiheshimisha India

Kuna kiasi kikubwa sana cha ufisadi na rushwa.

Wahindi kwenye ubunifu hawawezi kuwafikia wachina, wamejazana huko marekani kwenye makampuni kama google kwa kuwekana lakini ubunifu wanategemea wazungu, wachina, wayahudi, n.k.

Wahindi wana matabaka ya kidini, kuna matabaka matano wanabaguana wazi wazi, ukizaliwa tabaka la mwisho unaonekana una haki ya kutumikishwa kazi kama mtumwa.
Hivi Modi anatoka kabila la tabaka lipi?
 
Hadi mwaka 2000 China wasn't a member of World trade organization and hence hawakua na upana mkubwa wa wateja; wateja wao wengi ilikua ni population yao wenyewe plus nchi rafiki kama Tanzania. Mwaka 2000 ndio wakaingia rasmi WTO, Ben Mkapa alikua miongoni mwa waliosaidia sana hili, baada ya hapo bidhaa za China zilatapakaa everywhere in the world including European countries, nchi kama Spain viwanda vyake vya nguo vilitetereka kwasababu ya nguo from China, electronics devices as well zilisumbua hadi mataifa ya nje; kwa Africa ni kama wameua kabisa soko la Pikipiki za Honda, Suzuki from Japan, kila mtu anazungumzia China's made; simu zao zikaja kuua kabisa soko la radio, calculator, calender, diary nk. In short iko hivo plus mengine yaliotajwa na wenzangu huko ju
Sawa sawa
 
kuna kingine naona watu hawajagusa huko juu,

miaka ya 80, US alitumia nguvu kubwa sana kumwondoa China toka upande wa USSR, hivyo kuna incentives nyingi sana china alipata kupata deal hiyo, Lee K Y, yule PM wa Singapore aliplay role kubwa sana,

matokeo yake China akapata nafasi ya kusomesha vijana wake vyuo vya magharibi kupitia program mbalimbali walizokubaliana, hii ikampa china nafasi ya kupata teknolojia ya magharibi kwa njia nyepesi,

kile kizazi kilichosomeshwa vyuo vya magharibi, plus uongozi bora na mabadiliko ya sera zao za ndani ikawasaidia sana China kufumuka kuanzia miaka ya 2000,

ni kipindi hicho China alipewa status ya MFN na US (most favored nation), bidhaa zake hazikuwa na vizuizi vingi kuingia US......


...............

Currently China amekua mkubwa, kasi yake inawatisha magharibi (kinyago walichochonga wenyewe), ana teknolojia yake, ndio sasa wanagundua huyu ni mshindani sio mtoto tena!, wamechelewa!

jaribio kubwa kwa China sasa ni huu mgogoro wa Ukraine, west walimpa uchumi ila hawakumpa ulinzi, sasa amekua mkubwa anahitaji ulinzi, west hawapo tayari kumpa teknolojia yao, amerudi kumtegemea mrusi.........west wanamtishia kuharibu uchumi wake, yuko kwenye dilema!

...............

India uchumi wao haujawa advanced au tuseme haujawa saturated lakini ukuaji wake ni mdogo ukilinganisha na potential yake,

pana sababu nyingi, ila nadhani kubwa ni rushwa, ufisadi, 'demokrasia' iliyozaa viongozi wanaotekeleza matakwa ya kina Mukesh na Adani etc, lakini pia mifumo yake iko kimagharibi zaidi wakati watu wake hawana utamaduni huo wa magharibi......... wahindi na waafrika tofauti ndogo!
China yupo katika dilema gani ?
 
Mwaka 1987 India ilikuwa na ukuaji mkubwa kiuchumi kuliko China.

In 1987, China's GDP was $272.97 billion, while India's GDP was $279.03 billion:

China GDP
$272.97 billion

India GDP
$279.03 billion

Lakini 2024 China inakuaji mkubwa wa kiuchumi kuliko India.

China GDP
$18.2 T

India GDP
$3.8 T

In 1987, China's GDP per capita was $252, while India's was $342

China GDP per capita
$252
India GDP per capita
$342

Mwaka 2024 GDP per capita

India GDP per capita
2,698
China GDP per capita
12,970

Nini kiliwakuta India mpaka kupitwa mbali hivi na China ?
Sababu ni CCM.
 
India ni nchi ya kidemokrasia. Ni kazi sana nchi ya kidemokrasia kusonga mbele.
Africa zimejaa nchi za kidekteta/uimla kwa 90% lakini hazisongi mbele na Africa bado ni masikini sana.

Huko Asia Bangladesh, Korea Kaskazini, Pakistan, Asia na Myanmar ni nchi za kidekteta na masikini sana.
 
Kati ya watu waliotumia vizuri siasa za ujamaa na ukomunists ni wachina. Ingawa iliwagharimu sana..millions walikufa kipindi cha akina Mao. Rushwa, ubadhirifu, wizi, kuwa juu ya mamlaka - wamejitahidi kucontrol. Culture za bidii ya kazi, hakuna kubagua kazi - wachina kazi ndo kama dini kwao - hawana cha jumapili wala jumatatu - Wakina Mao sijui waliweka vitu gani kwenye vichwa vya hawa watu?.
Nenda kariakoo utawakuta wachina wako bizy..lkn huwezi ukamkuta mhindi yuko bizy anasukuma mkokoteni kariakoo.
Government Financing: Makampuni mengi makubwa ya kichina ni ya kiserikali - ufisadi uko chini kumbuka..thus faida zinarudi kwao.- wanatumia hizo faida kujenda miundombinu ya kutosha.

MSS - China Security Services and Secret police.
MSS ndo shirika la kijasusi lililo na reach kubwa kuliko mashirika mengine.Hawa watu wako ulimwenguni kote na inasemekana kila mchina unayemuona huku mataifa wanatoa taarifa either kwa kutokujua au kwa kujua kwenda MSS..wanachaka taarifa zote...WANAIBA technogia - wanacopy vumbuzi wanapeleka kwao. They are working for the central cause.
Wahindi umagharibi umewaaribu kidogo.Democrasia yao imeleta matabaka makubwa, Rushwa za kutisha n.k
Nchi ambayo inachukua mfano wa China na inaenda vizuri ni Vietnam..
Wahindi kuajiriwa sana wanapenda ni vile hawana namna.Hawa elimu yao ya kikoloni ya muingereza - pure employment oriented - ndo maana wengi wamejaa London kule..
Wachina elimu ni ya kwao...wana culture zao..so kila wanachofanya ni kwa faida yao..hawajawa polluted au influenced na watu wa nje kivile - misingi iko palepale.
Wachina wanapiga kazi asikwambie mtu, pamoja na ubunifu.
Wahindi kama waafrika tu - sema wao wengi na walipata exposure ya biashara mamia ya miaka kabla yetu.
 
India wanazaliana sana kuliko China kwa sasa. Mwaka 1987 China ndo ilikuwa na watu wengi kuliko China but kwa sasa India ndiyo nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Hivyo, Per Capita lazima ishike kama uzalishaji hauta outpass matumizi
Naunga mkono hoja...
 
Wahindi wengi wana mindset ya kusoma ili waajiriwa

Hata wahindi wafanya biashara ni makabila madogo, Gujirati na Marwari, hawa ndio wanaiheshimisha India

Kuna kiasi kikubwa sana cha ufisadi na rushwa.

Wahindi kwenye ubunifu hawawezi kuwafikia wachina, wamejazana huko marekani kwenye makampuni kama google kwa kuwekana lakini ubunifu wanategemea wazungu, wachina, wayahudi, n.k.

Wahindi wana matabaka ya kidini, kuna matabaka matano wanabaguana wazi wazi, ukizaliwa tabaka la mwisho unaonekana una haki ya kutumikishwa kazi kama mtumwa.
India wako vizuri, Ulaya dawa za binadamu India ndio Suplier mkubwa sana.

India wanakuja kwa kasi ya kutisha na huenda ndio nchi pekee Duniani ina ukuaji mkubwa sana wa Uchumi.
 
Back
Top Bottom