MUMU THE DON
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 148
- 183
Katika muda huu wa Israel kupata maadui wengi duniani maana amefanya mauaji Gaza lakini haijatosha kuvunja mahusiano mema kati ya nchi hizo mbili India na israel
Katika social media post za Israel zimekuwa zikipata upingamizi kwa mataifa mengi ila India wao wameomesha bado mahaba na Jews katika hii conflict ya Iran wengi Dunian walesupport Iran na kuitaka Iran kuchakaza Israel kwa kile kinachoonekana ni chuki iliokithiri kwa wayahudi. Ila kwa hawa Wahindi wamekuja tofaut kabisa wakionesha kupenda na kuitaka ipiganie promised land yake kikubwa wanaonesha Imani kubwa nao tofauti na sisi weusi wa kwa Mtogore tunajikuta wa Persian from Iran kindaki ndaki😂😂😂😂
Katika social media post za Israel zimekuwa zikipata upingamizi kwa mataifa mengi ila India wao wameomesha bado mahaba na Jews katika hii conflict ya Iran wengi Dunian walesupport Iran na kuitaka Iran kuchakaza Israel kwa kile kinachoonekana ni chuki iliokithiri kwa wayahudi. Ila kwa hawa Wahindi wamekuja tofaut kabisa wakionesha kupenda na kuitaka ipiganie promised land yake kikubwa wanaonesha Imani kubwa nao tofauti na sisi weusi wa kwa Mtogore tunajikuta wa Persian from Iran kindaki ndaki😂😂😂😂