Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Ukriato hadi raha kila mtu na injili yke ilimradi tu auze kitabu
 
Viwango viwango KUZINGATIWA alicho andika Barnabas fake ni sawa na baba yake fatuma [emoji53]
Ukisema alichoandika barnaba ni fake inawezekana lakini hakikisha unakuwa na original ISIYOPINGANA , hivyo basi thibitisha hilo
 
Umeandika pumba gani [emoji12]
Ukisema injili ya barnaba ni fake , maana yake kuna ORIGINAL , sasa basi onyesha huo mstari fake wa barnaba halafu onyesha huo mstari ORIGINAL USIOPINGANA na vyanzo vingine humo unaposomaga , hicho kinachokuaminisha kuwa injili ya barnaba ni fake nakunywa maji taratibu wewe jitoe akili
 
Daaa Mkuu umewaza nn mpaka ukagundua kuwa waraka wa barnaba uliteketezwa
 

wewe kipimo chako kujua hii fake na hii original nini? Nimekuwekea mistari KUTHIBITISHA UFUASI WA YESU UNA TBS sirudii Tena [emoji53] sirudii, sirudii tena [emoji12] kukataa dawa kwa mgonjwa ni Dalili ya kifo [emoji15] [emoji12]
 
Barna
Barnaba halisi hajawahi kumwona yesu kwa sura ila alihubiriwa na Petro alafu isitoshe huyu barnaba mwarabu hajui chochote juu ya injili na historian + jografia ya Israeli .yaani aya ya kwanza tyu kakosea tena kaenda kinyume na bibilia + Quran pale anaposema Marian ni wa ukoo wa Daudi , aya ya pili wanasema yesu kazaliwa zamani za pontio pilato ilihali hilo sio pilato alitawala miaka 26 baada ya yesu kuzaliwa ,mwandishi wanasema yesu alienda na mashua kutoka yerusalem hadi nazareti ilihali hilo silo
 
mkuu ni karatasi mbili tu ndizo zilizobaki pekee sasa wewe hizo sura zote umetoa kwenye injili ya barnaba ipi??
 
Daaa Mkuu umewaza nn mpaka ukagundua kuwa waraka wa barnaba uliteketezwa
gospel of barnaba iliteketezwa mkuu so nilikua na maswali mengi kwanini iteketezwe na karatasi mbili pekee ndizo zilizosalia moja kwa lugha ya kitaliano na moja ikiwa kwa lugha ya kispanish sasa mimi nashangaa baadhi ya watu wanakuja na misura kibao wakidai kua ndio injili ya barnaba wakati imethibitishwa ni karatasi 2 ndio zimesalia
 
mkuu ni karatasi mbili tu ndizo zilizobaki pekee sasa wewe hizo sura zote umetoa kwenye injili ya barnaba ipi??
Nan kakuambia imeteketezwa ? Ipo ila ndio ina pumba nyingi kwanza inaonekana barnaba anaongea na yesu ilihali hawajawahi kutuna
 
wewe kipimo chako kujua hii fake na hii original nini? Nimekuwekea mistari KUTHIBITISHA UFUASI WA YESU UNA TBS sirudii Tena [emoji53] sirudii, sirudii tena [emoji12] kukataa dawa kwa mgonjwa ni Dalili ya kifo [emoji15] [emoji12]
Hii sio njia ya kukwepa maswali , lazima utoe majibu kwa ulicho ulizwa kijana, Yesu hakuandika hizo injili kabisa ni watu wengine kabisa walioandika, hivyo basi ukisema ya barnaba ni fake ni lazima uwe na ORIGINAL , ambayo wewe na wenzako mtaileta hapa kupinga kile alichokiandika barnaba(Kwa lugha laini namaanisha nukuu kwa nukuu) , mbona ni rahisi tu unakimbia kimbia kitu gani ?
 
Lete vifungo vya barnaba ambavyo wewe unaona sio sahihi , halafu lete vifungu ambavyo wewe unaona ni sahihi (kifungu kinapingwa kwa kifungu ) , karibu sana
 
Injiri ya Barnabas haijateketezwa na ipo mitaani inauzwa na wala haijapigwa marufuku na taasisi yoyote, kama kitabu cha Aya za Shetani.
Kama unaihitaji unaweza kuinunua na ukaisoma na kuifuata bila bigudha yoyote ile kama unaipenda.
Wewe unayo?
 

Hicho Kitabu choote hakuna mlingano na Vitabu vingine [emoji12] huyo alikuwa anasimulia isa aliye zaliwa chini ya mtende na Tangazo lake la kuzaliwa lilitoka chini KUZIMU [emoji117] kinyume Kabisa na Waandishi wengine wa Biblia Takatifu [emoji15] [emoji12]
 

Nani kaiteketeza!? Wapi!? Kabla au baada ya Baba yake fatuma?!

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tupe hiyo mistari mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…