Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Kwanini injili ya Barnabas iliteketezwa?

Yuda Iskariot aliwezaje andika kitabu wakati alikufa mapema zaidi baada ya Yesu kusulubiwa!?..
Of course hakuandika Yuda kama Yuda ila hao national geographic waliozigundua hizo nyaraka wanadai kimeandikwa na mtu aliyekuwa na access na Yuda ama alikuwa na access na memoir za Yuda kama ambavyo Musa hakuandika kitabu cha mwanzo ila nyaraka na Fasihi simulizi alizoacha ndio zikahamishiwa kwenye maandishi miaka zaidi ya 600 baada ya Yeye Kufa. Na kama hoja hii ikitumika ina maana nusu ya agano la kale itabidi liwe doubted mkuu.
 
Of course hakuandika Yuda kama Yuda ila hao national geographic waliozigundua hizo nyaraka wanadai kimeandikwa na mtu aliyekuwa na access na Yuda ama alikuwa na access na memoir za Yuda kama ambavyo Musa hakuandika kitabu cha mwanzo ila nyaraka na Fasihi simulizi alizoacha ndio zikahamishiwa kwenye maandishi miaka zaidi ya 600 baada ya Yeye Kufa. Na kama hoja hii ikitumika ina maana nusu ya agano la kale itabidi liwe doubted mkuu.
Kwani Musa kaandika vitabu vingapi Agano la kale!.
 
Injili ya barnaba haikuandikwa na yule barnaba mwanafunzi wa Yes Bali iliandikwa na mtu mmoja wa Morocco ilivyopitiwa ikaona imepotoshwa na ilivyoangaliwa kwenye Carbon 14 ikaonekana imeandikwa miaka mingi baada ya kristo hata baada ya Uislam,kwaio ile injili ilikua ya upotoshaji
SASA YA BARNABA MWENYEWE HALISI IKO WAPI
 
Injiri ya Barnaba Sio Injiri ya Kristo na haiendani na Theolojia ya Kristo hivyo haina mashiko kwa Wakristo.
Machache kati ya hayo ni kwamba.
-Mwandishi wake alikuwa na uelewa mdogo sana kuhusu jiografia ya Upalestina.
-Katika sura ya 99:21 mwandishi anaeleza alipanda kwa miguu kuelekea kijiji cha Kapernaumu, wakati kijiji hicho kipo zaidi ya mita 200 chini ya usawa wa bahari.
-katika sura ya 100 mwandishi anaeleza kuwa Yesu Kristo alienda Nazareti kwa mashua wakati kijiji hicho kipo mita 500 juu ya usawa wa bahari,
-Katika sura ya 151 anasema pia kuwa Yesu alienda Yerusalemu kwa mashua ukiangalia ramani inapingana na huo usemi.
-Barnaba ndiye pekee aliyeandika kuwa Mamajusi waliompelekea zawadi mtoto Yesu, walikuwa watu watatu tu, tofauti na Injiri ya Yesu ambayo haijataja idadi ya Mamajusi bali imetaja idadi ya zawadi tatu walizopeleka (uvumba, manemane na dhahabu)
-Katika sura 40:41 Barnaba analitaja jina la tunda la mti wa mema na mabaya kuwa ni tunda la Tofaa, lile alilokula Hawa ktk bustani ya Edeni, wakati kitabu cha mwanzo na Biblia kwa ujumla ambayo ndiyo chanzo pekee cha habari hii, haijataja popote jina la tunda la Tufaa ktk maelezo yake.
-Katika sura ya 54 Barnaba ameitaja Dinari kuwa ina Minuti 60, bila kujua kuwa Minuti ilikuwa fedha ya Uhispania iliyoanza kutumika mwaka 685 baada ya Kristo wakati wa utawala wa Khalifa Abdul Malaki. Enzi za Yesu hiyo fedha haikuwepo.
- Katika sura ya 150 Barnaba anaeleza kuwa Yesu Kristo alizaliwa wakati wa utawala wa Pontio Pilato akiwa kiongozi, wakati ukweli ni kwamba utawala wa Pilato ulianza mwaka 26 na 27 baada ya Kristo kuzaliwa.
-Katika sura ya 97 Barnaba anamtaja Mtume Muhammad kuwa ni Masihi na Yesu anamwita Kristo bila kujua kuwa neno Kristo ni kwa Kigiriki na Masihi ni kwa Kiebrania yakiwa na maana moja.
-Katika sura ya 222 Barnaba anaeleza kuwa Yesu Kristo hakusulubiwa, aliondolewa na Malaika, kisha Yuda alisulubiwa badala yake.
-Katika sura ya 44 Barnaba anaeleza kuwa Ibrahimu alimtoa Ishmaeli awe sadaka katika madhabahu, na anamwita Mungu wa Ibrahimu, Ishmaeli na Yakobo, tofauti kabisa na Mwanzo 22.
-Katika sura ya 192 Barnaba anasema Mwishmaeli ndiye aliyeiandika Torati.
-Barnaba anamweka mtume Muhammadi kama mbadala wa Yesu kristo, angalia sura ya 44, 45, 9, 112, 39 na nyinginezo ktk kitabu hicho.
{ hii ndiyo injili mnayoipigania iwekwe kwenye Biblia takatifu ? }
Katika ukweli huu mchache nadhani wasomaji mmeelewa mlengo wa Injiri ya Barnaba wala sina haja ya kuwaambia.
Injiri iliyowekwa katika biblia inaeleza wazo moja (maudhui yanafanana) ingawa inatofautiana maneno kutokana na mazingira ya kila mwandishi alivyofunuliwa na Yesu mwenyewe, tofauti na Injiri ya Barnaba.
[ Ndio maana kuna msemaji mmoja hapo juu nimemwambia, kama anaihitaji Injiri ya Barnaba, inapatikana madukani, akainunue na kuitumia ]

Hapo zamani za kale, kuna mtume mmoja alitokewa na kiumbe asichokijua, kwenye pango, na bila ya kujitambulisha kwamba kiumbe hicho ni kiumbe gani. Ghafla kikamkaba Koo na kumwambia " SOMA "

kwahiyo barnaba aliamua kupotosha au?
 
Kwani Musa kaandika vitabu vingapi Agano la kale!.
Musa hajaandika kitabu chochote kwenye agano la kale. Hili najua unafahamu sana tu ila sijafahamu kwanini umeuliza!! Au umeniandalia scard mkuu nikimbie mapema 😛😀
 
yesu hajaandika kitabu chochote

Alikaimisha Mamlaka yake kwaKanisa [emoji117]
IMG_20181011_171235_756.jpg
umenielewa?
 
hata quran haikuandikwa na muhamad maana alikua hajui kusoma wala kuandika,kwahiyo kuandikwa na watu wengine sio ishu
Injili iliyofichwa sio ya barinaba tu hata ya Yesu mwenyewe aliyo andika kwa mkono wake imefichwa haiwezekani Mungu ampe Yesu injili alafu iandikwe na wengine yeye mwenyewe asiandika
Kuna andiko moja Yesu anasema
TUBUNI NA KUIAMINI INJILI HII hivyo inaonyesha yake aliandika mwenyewe ila imefichwa ili kuwapoteza watu
 
Musa hajaandika kitabu chochote kwenye agano la kale. Hili najua unafahamu sana tu ila sijafahamu kwanini umeuliza!! Au umeniandalia scard mkuu nikimbie mapema 😛😀
[emoji23][emoji23][emoji23] Me napenda maelezo yako huwezi kutoa nusu/mkato siku zote!..
 
  1. Yesu hakuteuwa nani aandike, waandishi walikuwepo tuu, na walifunuliwa na roho wa MUNGU
  2. Barnabas ni moja kati ya wanafunzi wa Yesu, kuwepo na uhakika kama maandiko yake yaliteketezwa kwa lengo la kuficha kitu chochote, au kama yaliteketezwa
  3. Historia inaonesha, maandiko ya maisha juu ya yesu yalianza kuchambuliwa kugawanywa kwa yale, yanayomtakatifuza, mana inasemekana kuna walioandika yasiyomtakatifuza (Yapo-conspiracies)
 
Yuda Iskariot aliwezaje andika kitabu wakati alikufa mapema zaidi baada ya Yesu kusulubiwa!?..

Tofautisha yudas msaliti na Yuda Muinjili [emoji117]
IMG_20181011_181519_952.jpg
[emoji117]
IMG_20181011_181706_374.jpg
Ukristo una Wenyewe sio mnakuwa waongo na kudhania tu [emoji117]
IMG_20181011_182007_055.jpg
[emoji53] [emoji12]
 
Musa hajaandika kitabu chochote kwenye agano la kale. Hili najua unafahamu sana tu ila sijafahamu kwanini umeuliza!! Au umeniandalia scard mkuu nikimbie mapema 😛😀
Samahani mkuu,
hapa katika kitabu cha kutoka Mungu alimwambia Musa aandike andiko gani ?
Kama hajahusika kabisa na kuandika chochote kwenye Agano la Kale ?

Kutoka 34 : 27-28
27 BWANA akamwambia Musa, Andika maneno haya; kwa kuwa mimi nimefanya agano nawe, na pamoja na Israeli, kwa mujibu wa maneno haya.
28 Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.
29 Hata ikawa, Musa aliposhuka katika mlima Sinai, na zile mbao mbili za ushuhuda zilikuwa mkononi mwa Musa, hapo aliposhuka katika mlima, Musa hakujua ya kuwa ngozi ya uso wake iling’aa kwa sababu amesema naye.

Mimi kwa uelewa wangu nilifikiri hapo Musa hapo anambiwa na Mungu aandike kitu fulani kwenye Agano la Kale.
 
Injiri ya Barnaba ni tofauti kabisa na Injiri za kwanye biblia kwakuwa Injiri zote za kwenye biblia zinakubaliana kwa pamoja kuwa.
Yesu wa Nazaleti ndiye-
[emoji116]

-Pekee Kristo na Masihi.
-Bwana na Mwokozi wa watu wote wa ulimwenguni.
-Njia, Kweli na Uzima.
-Alitoka Mbinguni, akauvaa mwili wa binadamu, akaja duniani kupitia bikira maria, akahubiri, akateswa, akafa, akafufuka siku ya tatu, akapaa mbinguni, atakuja kuwahukumu wazima na wafu siku ya kiama.
-Ana mamlaka ya duniani na mbinguni.
Hajafa hadi leo na yupo anatawala mbinguni na duniani.
-Ni mwana wa Mungu.
-Anauweza wote, ni muumbaji wa vitu vyote.
-Ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.
-Amri alizotuagiza kuzifanya ndio za mwisho hakuna amri na maagizo mengine mapya.
-Alikuwepo kabla ya ulimwengu kuwapo.
-Injiri yoyote itakayoonekana ikipingana na Injiri yake basi ni feki na aliyeileta amelaaniwa.
-Atakuja kutufufua siku ya Mwisho na kutupeleka kwake mbinguni sisi tunaomwamini na kufuata maagizo yake kama agizo la UBATIZO.
-Mashetani, ma Ibilisi, ma Jini, Mapepo, na wafuasi wao ni jamii ya giza na yamelaaniwa yanasubiri kutupwa jehanam siku ya kiyama, hakuna JINI JEMA.
-Yesu Kristo Ndiye Masihi, Mungu Mkuu na Mwokozi wa watu wote.

[emoji115]
Hayo maelezo hapo juu ni baadhi ya maneno ambayo Injiri zote za kwenye biblia zinayasisitiza kwa uzito kubwa.
Tofauti ipo kwa,
Injiri ya kwenye kitabu cha Muhammadi (Qurani) na ya kitabu cha Barnaba, hayo mambo hayapo kabisa.
Injiri ya Qurani na Barnaba kwa pamoja zinasema
[emoji116]
-Muhammadi ndiye Nabii wa kumfuata kwa sasa.
-Yesu ni mtume tu kama Muhammadi.
-Yesu Kristo hakuwahi kuteswa, kusulubiwa wala kufa msalabani wala kufufuka.
-Yesu sio Mungu wala Mwana wa Mungu.
-Mungu hawezi kuwa na mwana kwakuwa hana mke.
-Uislamu ni Dini, na asiye mwislamu hawezi kufika mbinguni kwakuwa ni kafiri.
-Maagizo aliyo agiza mtume Muhammadi ndiyo ya msingi kufuatwa na watu wote.
-Mtume Muhamadi ndiye mtume wa mwisho, hakutatokea mtume mwingine mwenye kitabu na maagizo mengine.
[emoji115]
Hayo ni baadhi ya maagizo yanayosisitizwa sana, kwenye kitabu cha Qurani na kitabu cha Injiri ya Barnaba.
.....................................................

Hivyo msibishane hadi kutoana ngeu wewe Masudi Mshahala na wenzako.
Mjue kuwa,
Wakristo tuna Injiri yetu iliyopo kwenye Biblia.
Na ninyi Waislamu muna Injiri yenu iliyopo kwenye kitabu cha Qurani na kwenye kitabu cha Barnaba.

Tusilazimishane wala kuvutana kila mtu aifuate Injiri yake anayoiamini na mtume wake.

Tuonane siku ya KIYAMA.
Siku hiyo tutajua mbichi na mbivu .
Wasalaam.
Hoja yako ya msingi kuhusu makosa ya kijiografia umeikimbia sawa, kwasababu unajua makosa ni mengi kwenye biblia yako kwahiyo unaweza kataa maandiko mengi,twende unapotaka sasa kujificha kijana nataka uniambie hayo ulioyasema Yesu anakubaliana nayo? moja baada ya moja (andiko baada ya andiko) , kwasababu Yesu alishatangaza mjifunze kwake haya nifundishe kile Yesu alichokufunza kuhusu hicho ambacho unadai injili zote zinakubaliana( nielewe vizuri kile alichozungumza Yesu ,uniletee nyaraka za wagalatia ukaniambia kazungumza Yesu)
 
Tatizo akiandika mtu yeyote yule hata yesu kama akiandika vitu vya kutatanisha mfano kusafiri meli nchi kavu au tarehe tofauti kabisa za wakati wa kuishi mtu flani.

Hivi umesoma vizuri hoja za jamaa au unataka kubishana kama watu wa mitaani vijiwe vya kahawa?
Usianze kutoa malalamiko nimekuuliza , makosa akiandika barnaba ndio unakataa injili yake, vip tukikuonyesha makosa mengine ndani ya biblia utakataa pia kama ulivyoikataa injili ya barnaba? rahisi tu kipi ujanielewa
 
Binafsi ningependelea one time tuongelee manabii wetu wa huku Afrika.ni kosa sana kuaminishwa kua Waafrika hawakua na manabii ilihali historia hiyo hiyo ktk vitabu vya imani inaitamka kush mala kadhaa na Kush ni Ethiopia ya leo.si vibaya kujua habari hizo lakini wakati mwingine tuwachambue waliokua wakifanya makubwa huku kwetu ambao kwa imani tulizojengewa tunaaminishwa kua walikua wachawi wakati walitenda mambo kama kina YESU,DAUDI,SULEIMAN na kadharika.sisi huku USUKUMANI tulikua na mtume alikua anaitwa "Ngh'wanamalundi"

tunaweza anza kwa kusoma Injili kama ilivyoandikwa na mtume Ngh'wanamalundi kwa waMalampaka,habari ziwafikie wa Maswa na Simiyu ya kwamba MUNGU asema........!
 
Back
Top Bottom