Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Baada ya ishu ya CAG nikasema niingie mitandaoni nione reaction ya wananchi juu ya serikali ya JPM.

Twitter na JF kama kawaida ni matusi tu na kejeli kwa mwendazake, ila awa ni wachache na tumeshawazoea hawanaga madhala.

Nikasema niingie kwa majority ya wananchi huko Facebook na Instagram penye watumiaji 90% wa social media wa Tanzania.

Nikakuta vilio na kukata tamaa kwa wananchi baada ya kuona kipenzi chao JPM anazushiwa uongo na mema yake yanapondwa.

Wananchi imani yao kwa Magufuli ni kubwa sana, waite wajinga awajaelimika ila kuna namna JPM aligusa maisha yao na akatengeneza connection nao. Hakuna kitu mtafanya sasa hivi kufuta hii love ya raia kwa JPM.

Nawashauri CCM na wapinzani mnaoendeleza vita na JPM wasibeze hivi vilio maana awa wananchi watawaadhibu siku moja. Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.

Msije sema hamkuambiwa.
tmp-cam-5303577426601580184.jpg
tmp-cam-1171187575670864955.jpg
tmp-cam-2085750233860499623.jpg
tmp-cam-2210357987301428893.jpg
tmp-cam-2268024609641709378.jpg
tmp-cam-7904442828008041156.jpg
 
wana imani na Magufuli yupi tena wakati ni mfu tayari? wana imani na mfu ? utaweza kufanya nini huo mfu?

Na Magufuli kazushiwa kipi haswa? CAG huyu si ndio yeye alimchagua baada ya kumuondoa Assad kimagumashi?
Yaani CCM hihii iliyompenda Magufuli hadi kutaka Katiba ifutwe aongoze atakavyo leo wamekuwa watu wa kumzushia uongo kumchafua?
 
wana imani na Magufuli yupi tena wakati ni mfu tayari? wana imani na mfu ? utaweza kufanya nini huo mfu?

Na Magufuli kazushiwa kipi haswa? CAG huyu si ndio yeye alimchagua baada ya kumuondoa Assad kimagumashi?
Sawa endeleeni na matusi yenu nyinyi si mnajua kuongea sana. Ila mjue wananchi sio wajinga wanamjua mbaya kwao na mzuri kwao. Magufuli kawafanyia mengi mazuri haya matusi ya kumuita fisadi yatawahukumu siku moja.
 
Ni kweli, tabaka kubwa la wapiga kura wa nchi hii ni huko Instagram na Facebook ambako pia ndipo linapopatikana tabaka kubwa pia la wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri.
Bado tuna safari ndefu kama nchi.
Wapiga kura na majority ya watanzania wapo huko. Hizi ID ambazo hazifiki hata 100 zinazoshnda JF kupiga spana ni kama tone la mchanga kwenye bahari.
 
Baada ya ishu ya CAG nikasema niingie mitandaoni nione reaction ya wananchi juu ya serikali ya JPM.

Twitter na JF kama kawaida ni matusi tu na kejeli kwa mwendazake, ila awa ni wachache na tumeshawazoea hawanaga madhala.

Nikasema niingie kwa majority ya wananchi huko Facebook na Instagram penye watumiaji 90% wa social media wa Tanzania.

Nikakuta vilio na kukata tamaa kwa wananchi baada ya kuona kipenzi chao JPM anazushiwa uongo na mema yake yanapondwa.

Wananchi imani yao kwa Magufuli ni kubwa sana, waite wajinga awajaelimika ila kuna namna JPM aligusa maisha yao na akatengeneza connection nao. Hakuna kitu mtafanya sasa hivi kufuta hii love ya raia kwa JPM.

Nawashauri CCM na wapinzani mnaoendeleza vita na JPM wasibeze hivi vilio maana awa wananchi watawaadhibu siku moja. Kumpuuza Magufuli ni kuwapuuza majority ya watanzania 93%.

Msije sema hamkuambiwa.
View attachment 1748149View attachment 1748150View attachment 1748151View attachment 1748152View attachment 1748153View attachment 1748154
Kwan hujui Facebook na Instagram ndio mitandao ambayo asilimia kubwa waliomo humo ni vilaza? Kwanza mm msichana akiniambia nina account Facebook nam delete kabisa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, tabaka kubwa la wapiga kura wa nchi hii ni huko Instagram na Facebook ambako pia ndipo linapopatikana tabaka kubwa pia la wananchi wenye upeo mdogo sana wa kufikiri.
Bado tuna safari ndefu kama nchi.
Ni kweli tena MTU na akili zako kweli unashinda Facebook kutafuta nini labda, insta kumejaa umbea tu hakuna cha maana huko
 
Back
Top Bottom