Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Wajinga hao wanalilia marehemu ambaye hasikii kitu badala ya kufikiria future zao zitakuwaje, hao watu wanahitaji elimu na fikra mpya kichwani mwao
kwani wewe una future gani ya maana baada ya kushinda JF 😂😂,nikwambie tu huko insta kuna kina Juma Lokole wanatengeneza mpka laki tano per day upoo na hawaijui LinkedIn wala JF.
 
Unaweza kukuta siku nzima watu 20 mpaka 30 wanazunguka thread zile zile alafu wanakwambia wananchi wamesema hivi [emoji23][emoji23]
Believe me, hawafiki hata hamsini.

Same ID's with multiple ID's.

Kati ya hao hamsini, unaweza kuta ID halisi ni ishirini two.

Most likely ni ID za kimkakati zilizoandaliwa na serikali kwa malengo ya ku-shape fikra za watu.
 
kwani wewe una future gani ya maana baada ya kushinda JF [emoji23][emoji23],nikwambie tu huko insta kuna kina Juma Lokole wanatengeneza mpka laki tano per day upoo na hawaijui LinkedIn wala JF.
Na wewe mbona una shida humu jf, Yani future kwako unaitengenezaje kwa mifano au kuwa mchepuko na kulia mwezi mzima ndo future yenyewe.
Dah hafu usiwe unatoa mifano ya mashoga humu jf.
Wewe lia had usononeke jiwe harudi hata hufanyeje.
 
Sifuti huo ndo ukweli mitandao yenye watu smart hujulikana walioko fb, na Instagram ukiwauliza LinkedIn ni Nini hawajui kabisa

[emoji3][emoji3][emoji3] acha kujikweza,so wewe kuifahamu Linkedln ndiyo unajiona mjuaji sana kuliko wengine. Na ungeanza kutumia JF tangu ikiwa inaitwa Jambo Forum si tungekoma
 
Wengine ni akina Godbless lema humu wana multiple ID's ili kumtusi magufuli kwa sababu ya hasira zao binafsi.

Given the fact kwamba walibinywa mwaka jana kwenye uchaguzi mkuu, basi hasira zote zinaishia jamiiforums.

Vijitu vichache sana hivi vyenye issues personal na magufuli.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] acha kujikweza,so wewe kuifahaku Linkedln ndiyo unajiona mjuaji sana kuliko wengine. Na ungeanza kutumia JF tangu ikiwa inaitwa Jambo Forum si tungekoma
Sijajikweza huo ndo ukweli wenyewe huwezi linganisha Twitter na IG na Facebook. Hafu Jambo forum sijui whatever the case doesn't matter vitu vingi vimechange hyo Jambo ilikuwa enzi za wazee kabla mitandao haijawa mingi.
 
Usitumie nguvu nyingi nenda Facebook sasa hivi pitia comments kwenye page zisizo za vyama kama JF, mwananchi newspaper, millard ayo, swahili times nk zitakupa ukweli japo unaweza usiupende.
Nimeenda nimejionea jinsi wananchi wengi wanavyosikitika kwa ufujaji uliofanywa
Screenshot_20210410-102958_Facebook.jpg
Screenshot_20210410-103141_Facebook.jpg
Screenshot_20210410-102908_Facebook.jpg
Screenshot_20210410-102723_Facebook.jpg
 
Sio kweli... unajua humu hatufiki hata milioni moja kati ya watz milioni 60?
Halafu wenye akili humu wamebaki wachache sana,wanaweza kuwa 100 tu.
Shida sio kuwa wengi tunaangalia impacts ya mijadala kwa taifa, pia na Sheria za mitandao zilivo plus era iliyopita ilikuwa mwendo wa kusifu no questioning ka vile maandiko ya biblia huruhusiwi kukosoa.
 
Wengine ni akina Godbless lema humu wana multiple ID's ili kuntusi magufuli kwa sababu ya hasira zao binafsi.

Given the fact kwamba walibinywa mwaka jana kwenye uchaguzi mkuu, basi hasira zote zinaishia jamiiforums.

Vijitu vichache sana hivi vyenye issues personal na magufuli.

Watu wa ovyo kweli wanacreate ID zaidi ya kumi kwa mtu mmoja,wanajuwanga kujipa moyo,njoo sasa kwenye uhalisia wakati wa uchaguzi,unabaki unashangaa wale wajuaji wa JF wako wapi?
 
Sio kweli... unajua humu hatufiki hata milioni moja kati ya watz milioni 60?
Halafu wenye akili humu wamebaki wachache sana,wanaweza kuwa 100 tu.
Hahahaha...

Sasa hako kademu kanachoitwa cariha nako kanajifanya kamo miongoni mwa great thinkers wa JF.

Kajitu kadangaji nako kamo tu kujing'ang'aniza kwenye kundi la wenye akili.

Wtf!
 
Hahahaha...

Sasa hako kademu kanachoitwa cariha nako kanajifanya kamo miongoni mwa great thinkers wa JF.

Kajitu kadangaji nako kamo tu kujing'ang'aniza kwenye kundi la wenye akili.

Wtf!
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
 
Sijajikweza huo ndo ukweli wenyewe huwezi linganisha Twitter na IG na Facebook. Hafu Jambo forum sijui whatever the case doesn't matter vitu vingi vimechange hyo Jambo ilikuwa enzi za wazee kabla mitandao haijawa mingi.

Haya ngoja niishie hapa mjuaji wa Twitter,LinkedIn,JF na other Professional platforms zote Duniani [emoji2957][emoji2957] .Naenda zangu IG na Facebook [emoji23][emoji23]
 
Watu wa ovyo kweli wanacreate ID zaidi ya kumi kwa mtu mmoja,wanajuwanga kujipa moyo,njoo sasa kwenye uhalisia wakati wa uchaguzi,unabaki unashangaa wale wajuaji wa JF wako wapi?
Hawa ndio walikuwa wanajidanganya humu kwenye keyboards wakaishia kupata mbunge mmoja.

Siasa za kwenye keyboards ni siasa za kujifariji na kujidanganya. Hahahaa...

Maisha halisi yako mtaani.... huko ndiko kwenye watu halisi na sio humu kwenye fake accounts.
 
Haya ngoja niishie hapa mjuaji wa Twitter,LinkedIn,JF na other Professional platforms zote Duniani [emoji2957][emoji2957] .Naenda zangu IG na Facebook [emoji23][emoji23]
Tena hako kademu unaweza kuta kana account ya facebook inayoitwa "nauza cumer tamu".

Lakini kakija JF kanajifanya kajuzi chenye akili nyingi.

Jamani!
 
Back
Top Bottom