Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Kwanini Instagram na Facebook bado wanamlilia Magufuli?

Wamezaliwa na nani hao nyumbus? Kwa faida ya nani na ya nini? Lakini “never underestimate the power of f**ls”
Si underestimate hujui lugha ya picha au hukusoma fasihi wewe shuleni?
 
Unaishi kwa ku cremisha jf sio beauty pageant useme sura ndo zinazokuwa great thinker, hafu joketi kwako ka ni mrembo utakuwa na shida umetoka huko usukumani na roli la ng'ombe Basi na akili yako iko king'ombe ng'ombe tu
Ndiyo umfikii kwa uzuri,cheo hata ugreti thinker we baki na ugretithinker wako wa milambo.
 
Ndiyo umfikii kwa uzuri,cheo hata ugreti thinker we baki na ugretithinker wako wa milambo.
Kubwa jinga ngoja nikuweke ignore list kupoteza mda na akili ndogo za fb Sina huo MDA. Hata huyo JoJo labda kanizidi dhambi na umaarufu vingine hanikuti kuanzia elimu eeeh
 
wamejaa mahausigeli na mashamba boy, maignorants na illiterate karibia wote wapo huko yan tuyasikilize majitu ya porini huko ? Kambo moja la msingi ni kuwa mtu pori mwenda zake kazimika, Tulisema apa atatuacha mjini , kitu cha msingi kabisa mtu pori haji kukanyaga daslama tena mwenda zake alituvuruga sana
Uko JF ndiyo unajiona umewin. Mjinga sana wewe
 
Kubwa jinga ngoja nikuweke ignore list kupoteza mda na akili ndogo za fb Sina huo MDA. Hata huyo JoJo labda kanizidi dhambi na umaarufu vingine hanikuti kuanzia elimu eeeh
Kwa elimu gani uliyonayo wewe??. Kama ni hiyo master's mbona watu tunazo na tunaheshimu kila mtu aliye facebook na aliyepo jamii forum
 
Kwa elimu gani uliyonayo wewe??. Kama ni hiyo master's mbona watu tunazo na tunaheshimu kila mtu aliye facebook na aliyepo jamii forum
Una hasira Sana kunywa maji Mimi elimu yangu la saba, hafu I wonder multiple I'd kunishambulia tu, jibuni hoja yangu wewe ka unaona fb akili kubwa ni opinions zako na heshimu.
 
Kubwa jinga ngoja nikuweke ignore list kupoteza mda na akili ndogo za fb Sina huo MDA. Hata huyo JoJo labda kanizidi dhambi na umaarufu vingine hanikuti kuanzia elimu eeeh
Kubwa jinga la kike linatutambia elimu kwa ID feki.Niweke kwenye ignore list,eti great thinker your fuckn CUNT.
 
Kubwa jinga la kike linatutambia elimu kwa ID feki.Niweke kwenye ignore list,eti great thinker your fuckn CUNT.
Kwahyo unatumia I'd tofauti kutukana, Mimi ni la saba d.[emoji3][emoji3][emoji3] punguza hasira
 
Watu wa Facebook naona mnaumana tu humu ndani mitusi ya dola zote inashuka, kama wanaomboleza kifo cha mwendazake wakamfukue tuwazike na wao, maana naona maneno ya shombo tu yamejaa badala ya hoja, kila MTU ana Uhuru wa kutoa maoni yake kama kitu hakimbariki mi Facebook siipendi niliacha kuitumia toka mwaka 2010 nategemea zaidi telegram, insta, wasap na kidogo jamii forum hasa majukwaa yenye maana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] greatthinker,hujaelewa hata nimeandika nini ? Ulikua unasahihisha nini sasa? [emoji8]
Yani Mimi niwe naandika kilicho kichwani kwako huo si ukichaa, Mimi sio Yesu kujua unachowaza Mimi?
Hafu hujui hata great thinker wewe unawaza ubashiri mhhh
 
Kwan hujui Facebook na Instagram ndio mitandao ambayo asilimia kubwa waliomo humo ni vilaza? Kwanza mm msichana akiniambia nina account Facebook nam delete kabisa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio kilaza ukitaka kujua kitu gani eidha kinapendwa au kinavumaa nenda mitandao hiyo fb na insta sikuzote kwenye wengi ndio kuna mambo mengi na ukiona utitili wa watu wote wanafanana mambo ujue kuna tatizo, hata ukitaka kupata habari zilizobamba nenda mitandao hii yenye wengi kama hujui wewe, na habari nyingi zinapatikana kwenye wengi
 
Back
Top Bottom