Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

Katika nchi zaidi ya 180 za Dunia umelinganisha Iran na nchi mbili tu - zote 2 toka Afrika. Hapo kuna "bias".
Kuunda silaha za nyuklia sio maendeleo. Hizo ni silaha za maangamizi ( Weapons of Mass Destruction). Zinapingwa na dunia nzima, kuna Nuclear Non Prolification Treaty.
Je, nikilinganisha kiwango cha weledi kuhusu rushwa cha Iran 25 na Rwanda 51 (kwa msingi 100 ni bora zaidi) nitakuwa nimeitendea haki Iran bila kuchukuwa sampuli kubwa zaidi?
[Data za Transparency International za 2022]
Kuunda silaha za nyuklia zinaachaje kuwa maendeleo ikiwa ni matokea ya ukuaji wa Sayansi?

Mabomu ya nyuklia ni silaha, kama vile bunduki za AK-47 zilivyo silaha. Zote Zina uwezo wa kujua, ingawa zinatofautiana uwezo.

Kuweza kuunda silaha za nyuklia ni maendeleo ya kiteknolojia, ndiyo maana ni mataifa makubwa pekee ndiyo yamemudu kufanya hivyo.
 
Kwanini nisibeze? Yeye aendelee na kutengeneza katuni mambo ya technolojia awaachie wabobezi.
Ndio tatizo la watanzania mliowengi kutiana moyo hata mambo ya kipuuzi. Unafanya kitu cha kijinga kabisa katika karne hii halafu watu tukutie moyo!!! ebo!!

Ukimwona mwambie aache ujinga na asiingilie fani za watu.
acha dharau kipanya nimtu kama hao watu ila kinacho mshusha nikuzaliwa Afrika haswa Tz
 
Back
Top Bottom