Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu wanaoshambuliwa ni waislam. Siku wakishambuliwa wakiristo watawawekea vikwazoKwa nini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine ?
Hata Ukrain kaichokoza Urusi. Sema Palestina ni waislamKwa sababu magaidi ndio wachokozi
Fafanua kidogo tafadhali huo uchokozi wa Ukraine dhidi ya RussiaHata Ukrain kaichokoza Urusi. Sema Palestina ni waislam
Muulize Putin atakwambia vizuri
Same reasons Marekani haiwekewi vikwazo wakati wenyewe ndio mashetani no 1.Kwa nini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine ?
Hata Ukrain kaichokoza Urusi. Sema Palestina ni waislam
Kumbe? Kweli wewe akili fupiIsrael haijapigana na Palestine bali imewachapa hamas hapo gaza pekee na sio Palestine nzima
Israel haijapigana na Palestine bali imewachapa hamas hapo gaza pekee na sio Palestine nzima
Siku hizi kupigania uhuru dhidi ya udhalimu imekua ugaidi? Mandela aliitwa gaidi Kenyatta gaidi unaamini hiloKwa sababu magaidi ndio wachokozi
Ukraine kaichokozaje Urusi?Hata Ukrain kaichokoza Urusi. Sema Palestina ni waislam
Na wewe muulize Netanyahu kuhusu uchokozi wa HamasMuulize Putin atakwambia vizuri
We acha upuuzi, tarehe 7-10-2023 Magaidi wa kiislamu HAMAS si ndio waliomvamia Israel , magaidi hao wamefunzwana URSU na Iran, ndani ya dakika 20 wakaua waisraeli 1200 pamoja na Mtanzania mwenzako a;lafu aliyeuliwa ndiye awekewe vikwazo?Kwanini nchi ya Israel na viongozi wake hawawekewi vikwazo kama ambavyo Russia amekewa kwa sababu ya Ukraine?