Kwanini Israel haiwekewi vikwazo kama Urusi?

Kwanini Israel haiwekewi vikwazo kama Urusi?

Wapi Ukraine alienda Russia kuua na kubaka wanawake na watoto kama walivyofanya hamas?
Crimea imeshatekwa na Russia ila Ukraine walitaka kuirudisha wakalipua mpaka daraja na kuua raia wasio na hatia. Ila hilo shambulia hawakuita ugaidi ila wakaita la kikomandoo. Kumbuka Ukraine pia ililipua bomba gesi la Nord stream na kusababisha gesi kuvujia majini na ku affect upatikanaji wa nishati hiyo ujerumani

Hayo hayaitwi ugaidi ila wakifanya palestina wangeitwa magaidi. Huu unafiki ndio tunaopinga
 
Yani Israeli ishambuliwe na magaidi halafu tena iwekewe vikwazo?!
Ilishambuliwa au ilikua inalipiziwa kisasi kwa kuikalia kimabavu palestina. Ni sawa na Ukraine kuvamia crimea ilihali imetekwa na urusi hamjaita ugaidi ila ukombizi ila wakifanya palestina wanaitwa magaidi.

It's so weird and undumilakuwili
 
Hicho kizungu umekielewa?
Yeah I understood ila nakuelewesha Hamas ni chama cha siasa na kina wabunge kabisa.... wale wanaovaa kininja na kupigana na Israel wanaitwa Al Qassam Brigade ni military wing ya Hamas na inapatikana Gaza tu.

Check your facts kabla hujacomment.
 
Ilishambuliwa au ilikua inalipiziwa kisasi kwa kuikalia kimabavu palestina. Ni sawa na Ukraine kuvamia crimea ilihali imetekwa na urusi hamjaita ugaidi ila ukombizi ila wakifanya palestina wanaitwa magaidi.

It's so weird and undumilakuwili
Ukraine ilivamia urusi na kuua raia wake pamoja na kubaka na kuchoma moto wanawake na watoto
 
Ilishambuliwa au ilikua inalipiziwa kisasi kwa kuikalia kimabavu palestina. Ni sawa na Ukraine kuvamia crimea ilihali imetekwa na urusi hamjaita ugaidi ila ukombizi ila wakifanya palestina wanaitwa magaidi.

It's so weird and undumilakuwili
Ilishambuliwa ikatumia haki yake kujilinda kama taifa huru.
Mwaka 1978 Amin akishirikiana na hao wapalestina walivamia BUKOBA na kuua raia tulimpiga na kumfukuza na kwenda kupindua serikali yake, sasa kwanini iwe nongwa kwa Israeli
 
Kuwa chama cha siasa haimaanishi hawana ugaidi. Wale ni magaidi tu
Yeah I understood ila nakuelewesha Hamas ni chama cha siasa na kina wabunge kabisa.... wale wanaovaa kininja na kupigana na Israel wanaitwa Al Qassam Brigade ni military wing ya Hamas na inapatikana Gaza tu.

Check your facts kabla hujacomment.
 
Ilishambuliwa ikatumia haki yake kujilinda kama taifa huru.
Mwaka 1978 Amin akishirikiana na hao wapalestina walivamia BUKOBA na kuua raia tulimpiga na kumfukuza na kwenda kupindua serikali yake, sasa kwanini iwe nongwa kwa Israeli
Naona hauelewi Amin alivamia kagera kama Ambavyo Israel imevamia Palestina kwa miaka 75 sasa.... sasa anachofanya hamas ndio alichofanya Nyerere kwa Idd Amin.... kumfukuza mvamizi.

Lile eneo la concert ni eneo halali la Palestina ila lilikaliwa na wayahudi kimabavu wakifanya mambo machafu kama miziki na ushoga ulitaka wafanyaje ardhi yao imeporwa na kunajisiwa?
 
Kuwa chama cha siasa haimaanishi hawana ugaidi. Wale ni magaidi tu
Nimeshakuambia hao wanaopigana ni Al Qassam Brigade ila Hamas ni chama kabisa cha siasa ni kama tu M23 political wing ilikua chini ya Jean Marie Runiga ila military wing ilikua chini ya Sultan makenga. Na hilo lipo hata chadema wana Red Brigade, CCM kuna green guards etc tatizo hamfuatilii siasa za kimataifa ila mnajikuta wajuaji.

Al qassam haipo West Bank ila bado kipondo ni kila siku wapalestina wanatekwa na kuuwawa kule, kwahiyo msijifichie kwenye Al qassam wakati maeneo mengine ambapo wapalestina ni "wastaarabu" bado mnawatesa vilevile tu
 
Naona hauelewi Amin alivamia kagera kama Ambavyo Israel imevamia Palestina kwa miaka 75 sasa.... sasa anachofanya hamas ndio alichofanya Nyerere kwa Idd Amin.... kumfukuza mvamizi.

Lile eneo la concert ni eneo halali la Palestina ila lilikaliwa na wayahudi kimabavu wakifanya mambo machafu kama miziki na ushoga ulitaka wafanyaje ardhi yao imeporwa na kunajisiwa?
Hakujawahi kuwa na taifa la Palestine
 
Hivi unaongea utumbo gani? Unajua maana ya Jewish Settlers? Yaani baada ya marital yote hayo kuisha na mikataba ya amani na palestina kuporwa ardhi yote kimabavu kuisha bado kila mwaka walowezi/jewish settlers wanajitwalia maeneo kwenye ardhi ya palestina na kufukuza wenyeji.

Sasa mpaka leo wameshafika Jews laki 5 wanaishi maeneo ya palestina kinyume na sheria. Sasa mfano huko westbank hakuna cha Hamas wala ugaidi ila hao settlers wameshapora zaidi ya 50% ya westbank.

Nadhani wengi hamuelewi chanzo cha mgogoro wa October 7 mnadhani Israel anachokozwa.
kwann waliporwa ardhi , ilikuaje ? mnapenda kuhadithia mambo nusu nusu sana ili muubebe upande mmoja , una eneo lako nina eneo langu unakuwa unarusha mawe kwangu muda wote halaf unataka nkuache ukae krb yangu?
 
Kujibu kivipi? Walowezi wamekalia kilazima vijiji vya palestina kma Amin alivyokalia kagera kwa lazima. Sasa Hamas wakaenda shambulia hao walowezi, ni sawa na nyerere alivyoenda shambulia walowezi wa Uganda huko kagera.

So hapo Idd Amin ndio Israel not viceversa
kwann walikaloa hayo maeneo kimabavu ? ilikuaje
 
Exactly palestina walishakubali kuporwa ardhi yao baada ya vita za 1948, 1967, 1973 n.k cha ajabu Israel imeendelea kujitanua kila mwaka na recently umeona wametimua watu Gaza ili waje kuipora pia. Same to Ukraine kwamba wamejibu mapigo kama Hamas ilivyojibu mapigo.

Cha ajabu mgogoro wa Ukraine unauchambua kabla ya 2022 ila mgogoro wa Israel unachambua mwisho October ili tu kuonyesha kwamba Israel imejibu mapigo na sio miaka 75 iliyopita kuonyesha how palestina imedhulumiwa ardhi yao?

Double standards ni kwa faida ya nani
kwann israel ilipora hayo maeneo ?
 

View: https://youtu.be/MBtNxOUuhNs?si=6qccDs-5bh7YYvyE


Waisrael walisha wazidi akili wakristo wakawambia wacheni tumuwe Yesu ambaye ni Mungu wa wakristo kama wanavyo dai, afu Yesu alibariki taifa la watu walimuwa Yesu 😄

Paulo sijui aliwarogo hawa wakristo mpaa akawambia Israel taifa teule, wakati anawambia aliwaroga wakashindwa hata muliza wapi hilo taifa lipo ili awaonyeshe 😄

America karibu watachoka kumsaidia Israel sababu Billion 51 kwa siku 47 si mchez0 na hakuna walicho weza kipata zaidi ya kuwauwa wanawake na watoto na majumba, kwenye mambo ya kiaskari wametoka tupu, Hamasi ndio kashinda
 
Back
Top Bottom