Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 839
Hata Iran Tayari Ana Silaha Za Nyuklia Ila Ni Kwa Siri Sana Hajitangazi Km Hao Vichaa Wa Kiyahudi Katulia 2 Kimya Yeye C Mjinga Akae Bila Nuclear Weaponx Ilhali Anatishiwa Kushambuliwa Na Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea kiswahili.
Sema Waungwana wako jirani Na ADUI MKUBWA SANA wa Binaadamu. Nae ni ISRAELI.
Wewe ktk Historia ya Dunia hii wapi ulishaona Taifa HALINA rafiki HATTA MMOJA DUNIANI?
Israel ni Taifa pekee Duniani Lisilo na rafiki wa kweli.
Hao wanajiita marafiki wa Israel Wote wanasema hivyo kwa maslahi tu. Na hayo wanayasema Wazi kabisa.
Hii nchi inatakiwa Ipanguswe kabisa duniani. israeli NI Saratani ya Dunia.
Israel ni Taifa lenye nguvu zaidi duniani.
Lipo katikati ya maadui zake na hakuna anayeweza kupambana nalo
Haya ndio matatizo ya Gongo za be8 poa.
Bas8 hapo na wewe unajiona km Shemeji yake na netanyahu japo kuwa we ni Mkerewe!
Teh teh teh teh!
Matusi na kejeli ni kuishiwa hoja.
Nini hiki ulichoandika, na wewe utajiita GT?
HAKUNA matusi yyt hapo juu bali ni namna unavyojibu wewe!
Vipi ulete habari za Kahawa hapa halafu watu wakae kimya.?
Umekosea kiswahili.
Sema Waungwana wako jirani Na ADUI MKUBWA SANA wa Binaadamu. Nae ni ISRAELI.
Wewe ktk Historia ya Dunia hii wapi ulishaona Taifa HALINA rafiki HATTA MMOJA DUNIANI?
Israel ni Taifa pekee Duniani Lisilo na rafiki wa kweli.
Hao wanajiita marafiki wa Israel Wote wanasema hivyo kwa maslahi tu. Na hayo wanayasema Wazi kabisa.
Hii nchi inatakiwa Ipanguswe kabisa duniani. israeli NI Saratani ya Dunia.
Usilazmishe kujitoa ufaham, kila siku mnalialia kuhusu Taifa kubwa Israel.
Narudia kukwambia, hakuna nchi yoyote dunian inayoweza kupambana na Israel kijeshi.
Hili limethibitishwa kwenye Neno la Mungu na hata kivitendo.
Hata Iran Tayari Ana Silaha Za Nyuklia Ila Ni Kwa Siri Sana Hajitangazi Km Hao Vichaa Wa Kiyahudi Katulia 2 Kimya Yeye C Mjinga Akae Bila Nuclear Weaponx Ilhali Anatishiwa Kushambuliwa Na Israel
Sasa si ndio nikasema huko nyuma kuwa Gongo ya bei ndogo mbaya¿
We huna habari huyo mungu wako unaemuengelea hapa Pia Aliuawa na hao hao waisraeli?
Sasa kweli imaingia akilini mungu awasifu na kuwachagua watu walio mtundika msalabani?
Au wakati analichagua hilo taifa alikuwa hajui kuwa iko siku watamgeuzia Kibao Wamuue?
Tafakari Nje ya Box! Unajiita Warrior bila kuwa na Sifa zake?
Unabeba mazima tu ka Punda anavyo bebeshwa Mizigo?
UkiShirikisha Ubongo Mkuu utauona huu wote ni USANII TU.
Aliyekufanyeni misukule kafa! kama halina rafiki iweje lipige ganzi UN na kukuwekeni pabaya ninyi mnaopendwa na kila taifa ?
Nilikua sijagundua najibizana na kichaa, huna hoja, unahamahama kama gari bovu.
Hizi dini zenu za kigaidi zmeshawaharibu.
Najuta na sitarudia kujadiliana na mwendawazimu.
Israel will stand. Waarabu mtashindana ila hamtashinda.your allah and muhammad failed and so you. #israelforever
Israel imezungukwa na maadui pande zote hivyo ni vizuri ikawa na silaha za nyuklia za kujilinda! Hata hivyo sina uhakika kama Israel ni signatory wa Nuclear Non-Proliferation Treaty!
We unajifanya Hutambui kuwa Hata wachawi wanafanikiwa sana mambo yao hali ya kuwa hawana rafiki?
Israeli Wameandamwa na LAANA KUU.
Vijana wao asilimia 60 ni waliberali.
Taifa limejaa Mashoga kuliko matunda!
Leo hii Tel aviv imepewa Taji la Kuwa ni MJI MKUU WA MASHOGA DUNIANI.
Gonga hapa uone mashoga wa Taifa teule.
http://www.catholic.org/news/international/europe/story.php?id=51339
Hapo Kuna kitu kimebaki?
Baada ya miaka michache tu ya mbele Lile taifa litafanya kila raia WAKE lzm awe SHOGA!
Hapo ndipo we mkwesa utkapopakwa Rangi za midomo bila hiari.

Israel will stand. Waarabu mtashindana ila hamtashinda.your allah and muhammad failed and so you. #israelforever
View attachment 228420
Mkuu Bill Cosby apakwe rangi vipi wakati athari zake hizo hapo tunaziona kwenye madhabahu?
Teh teh teh waLiberali waKIHA tabu tupu mkuu.