Huyo mungu wako mmemgeuza PAKA?
Kwa maana yako ina maana ile nafsi ya pili ILIPOKUFA KWA MUDA WA SIKU TATU huyo mungu wako aliishi na Nafsi moja km Paka Mwenye nafsi nyingi sio?
Na huyo yehova km ni Mungu kweli kwanini asubiri mpaka apigane na viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
Kwanini hao maadu8 asiwachomoe roho zao tu biashara ikamalizika?
Sasa km mungu yehova Anapigana na Wewe unapigana Tofauti yenu ni nini?
Hizi akili zenu ndio maana mpaka kesho Mtaabudu Picha ya Mzungu.
Hii ndio unaita akili?
Kweli makafiri mna laana.
View attachment 228706
View attachment 228707
View attachment 228708
Na hiki ndio kitoweo chenu kinakukonyeza!
View attachment 228709
View attachment 228710
msukule wewe unatafuta picha za wafuasi wa muhammad kuwa ndiyo rejea ya wakristo ?
rejea yetu ni injili ya Bwana Yesu na sio matendo ya misukule wenzako wanaoshindwa kufikiri matokeo yake wanakariri kuvaa misalaba wakidhani ndiyo Ukristo sqwa na msukule wewe unavyodhani
How about this one.
You call him MAN OF GOD.
View attachment 228782
Huyu mchungaji shoga akija hapo Tz wewe na Familia yako yote lzm mpige magoti muombe awasamehe madhambi yenu.
Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi ni Mungu/Yesu KRISTO. hakuna binadam mwenye uwezo wake mwenyewe wa kusamehe dhambi. huyo anaweza samehe da
dhambi kwa wafuasi wa Muhammad maana wao wanashare busara na yeye
leo unakana Mbele ya ummah kuwa Nyie WAKRISTO huwa Hamuungami Madhambi humo MAKANISANI?
Na Mnafanya hivyo ndani ya vile VIOSKI vilivyomo huko Makanisa tena Mbele ya Mchungaji au PADRI au kiongozi yyt aliyemo humo.
Mnamwambia Madhambi yenu halafu eti Msanii anawasamehe.
Nakuwekea Na picha Ya hivyo Vioski Mnavyoombeaga Misamaha.
Yaani Jitu zima na Akili yako Unaenda Kumuelezea kondoo mwenzako kuwa Umezini na mke wa jirani halafu eti anakwambia "Nimekusamehe mwanangu nenda kwa amani!"
Teh teh teh teh! Nyambaff!
Ungemnanihii mkewe angekusamehe?
Hivi ndio hivyo Vioski vyenu vya kuhungamia madhambi yenu ya ubakaji!
View attachment 228797
View attachment 228798
Na hapa mchungaji anamsamehe madhambi Kondoo upande wa pili
View attachment 228800
View attachment 228801
Nyie Kweli Kondoo.
Na uongo ni Ibada kwenu.
Sasa kataa kuwa hivyo Vioski vya Kuhungamia Havimo Makanisa wakuone mwehu!
sahihi!,waarabu ni undefined!
We mpaka leo 2015 unabumba kinyago cha mzungu halafu unakipiga busu na kukiomba kikusaidie.
Unanunua picha ya mzungu dukani ukaiweka Chumbani Ukaiabudu.
Na mpaka leo 2015 Ukishazini au Kuiba mali ya Ummah unakwenda kwenye vile vioski vyenu ndani ya makanisa halafu msanii anakuja unamueleza uzinifu wako halafu eti ANAKUSAMEHE!
Hio km ndio unaiita AKILI basi Mi sina haja nayo.
We unajifanya Hutambui kuwa Hata wachawi wanafanikiwa sana mambo yao hali ya kuwa hawana rafiki?
Israeli Wameandamwa na LAANA KUU.
Vijana wao asilimia 60 ni waliberali.
Taifa limejaa Mashoga kuliko matunda!
Leo hii Tel aviv imepewa Taji la Kuwa ni MJI MKUU WA MASHOGA DUNIANI.
Gonga hapa uone mashoga wa Taifa teule.
Money Changers in the Temple: Tel Aviv redefines itself as Gay Capital of the World - Europe - International - News - Catholic Online
Hapo Kuna kitu kimebaki?
Baada ya miaka michache tu ya mbele Lile taifa litafanya kila raia WAKE lzm awe SHOGA!
Hapo ndipo we mkwesa utkapopakwa Rangi za midomo bila hiari.