Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama tu walivochelewa kuwajbu hamas.usjar utayaona majbu hv karibun tuNimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Wamejua hizo ni mbinu za adui kutaka kudhoofisha malengo yake.Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Teh teh tehHuwezi kuwalala wanawake wawili kwa wakati mmoja
Eti kaipuza? Kweli wewe kafiri unasikiliza CNN nini?Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Gaidi anamuita mwingine kafiri.Eti kaipuza? Kweli wewe kafiri unasikiliza CNN nini?
Hamas na Hizbollah imemkamata pabaya.Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
UUsijidanganye Mzee Mashariki ya kati inawaka moto Iraq Anbar Kambi za US zimelipuliwa na Islamic resistance,Syria airbase ya USA imelipuliwa na Houthi karusha kombota Eilat .Focus on your goals, Yemen ni kama mbu tu anakuzuia usilale
Malaria naye Gaidi ila hata mie nikipewa huyu gaidi nammaliza kwa mikono yangu bila hata silaha, magaidi wa hamas ni wachuma tu bora hata angekuwa gaidi la ISISGaidi anamuita mwingine kafiri.
Rekebisha andiko lako mrembo [emoji41][emoji41][emoji41]Malaria naye Gaidi ila hata mie nikipewa huyu gaidi nammaliza kwa mikono yangu bila hata silaha, magaidi wa hamas ni wachuma tu bora hata angekuwa gaidi la ISIS
Mfano uko geto unamkanda pisi kali uliyoizoea ghafra anatokea demu jirani Yako anagonga mlango hajuhi kama unamkanda mwenzie ndani je utamkaribisha ndani naye umkande au utampotezea umalizane na huyu wa kwanza Kisha baadae umtafute huyo mwingine?Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Israel kenda ishtaki Yemen eti UN 😄 hawezi kupigana na Yemen sababu wala mirungi wana silaha hatari sana we huoni hata Saud Arabia kaomba poa nao.
Afu Yemen hajawahi ingia vita akashindwa
Uchokozi wanaanza wao wakijibiwa kelele nyingi