Huyo mzayuni anakula kipigo cha mbwa koko huko gaza. Usione anavunja majumba na kupiga raia. Mabwana zake wamagharibi wanekimbilia kumuokoa kenge huyo.
Ushujaa wa wapiganaji gaza utakuwa kwenye vitabu vya historia na itakua ni case study kwenye vyuo vya kijeshi duniani.
Lakini tatizo wakoloni waliwavuruga akili wengi hapa kwetu na kuwaacha na akili za kitumwa kiasi hawawezi kufahamu kuwa upande wa mpigania haki ndio sahihi.
Uzayuni hauna maisha marefu
Ushujaa wa wapiganaji gaza utakuwa kwenye vitabu vya historia na itakua ni case study kwenye vyuo vya kijeshi duniani.
Lakini tatizo wakoloni waliwavuruga akili wengi hapa kwetu na kuwaacha na akili za kitumwa kiasi hawawezi kufahamu kuwa upande wa mpigania haki ndio sahihi.
Uzayuni hauna maisha marefu