Unajibu kwa hasira sana kaka hebu kunywa maji kwanza upoze kooHuyo mzayuni anakula kipigo cha mbwa koko huko gaza. Usione anavunja majumba na kupiga raia. Mabwana zake wamagharibi wanekimbilia kumuokoa kenge huyo.
Ushujaa wa wapiganaji gaza utakuwa kwenye vitabu vya historia na itakua ni case study kwenye vyuo vya kijeshi duniani.
Lakini tatizo wakoloni waliwavuruga akili wengi hapa kwetu na kuwaacha na akili za kitumwa kiasi hawawezi kufahamu kuwa upande wa mpigania haki ndio sahihi.
Uzayuni hauna maisha marefu
Porojo za redio mbao ya Manzese Kwa Mfuga Mbwa.UUsijidanganye Mzee Mashariki ya kati inawaka moto Iraq Anbar Kambi za US zimelipuliwa na Islamic resistance,Syria airbase ya USA imelipuliwa na Houthi karusha kombota Eilat .
Inamaanisha the escalation spreads. Vita inakua kubwa zaidi.
Labda umuue kwa kumpa papaMalaria naye Gaidi ila hata mie nikipewa huyu gaidi nammaliza kwa mikono yangu bila hata silaha, magaidi wa hamas ni wachuma tu bora hata angekuwa gaidi la ISIS
Yemen yenyewe inapigwa na Saudi Arabia.Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
PolePorojo za redio mbao ya Manzese Kwa Mfuga Mbwa.
ACHA UONGO WE JAMAA.Yemen yenyewe inapigwa na Saudi Arabia.
Saudi Arabia (waislam) wanapiga na kuua wa Yemen (waislam).
Ila hutasikia watoto wa mnyaazi wakilalamika wala kulaani kwa sababu hapo myahudi hahusiki.
Pia usitudanganye hapa nenda kaifuatilie vizuri vita kati ya Houthi na Saudi Arabia.Yemen yenyewe inapigwa na Saudi Arabia.
Saudi Arabia (waislam) wanapiga na kuua wa Yemen (waislam).
Ila hutasikia watoto wa mnyaazi wakilalamika wala kulaani kwa sababu hapo myahudi hahusiki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili jibu kibokooooHuwezi kuwalala wanawake wawili kwa wakati mmoja
Kwa kitendo cha kutekewa meli Yao ya mizigo wata react tu.Nimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Siku zote ukiona watu wenye kupenda kuonyesha silaha ujue hawana lolote ni mbwembwe tu.Pia usitudanganye hapa nenda kaifuatilie vizuri vita kati ya Houthi na Saudi Arabia.
Saudi Arabia ilipata hasara sana katika oil plant kwa kushambuliwa na Houthi.
Pia hata walivyofanya Ground invasion Yemeni Saudia walipewa kichapo na houthi wakabaki tu kurusha makombora kuharibu miundombinu ya Yemen.
View: https://youtu.be/_n19T6IS2GA?si=mIhNqneHaJBeNGtj
Tizama hizo silaha Houthi sio hamas
Na mbwembwe zao wamezionesha kwa kuiteka meli.Siku zote ukiona watu wenye kupenda kuonyesha silaha ujue hawana lolote ni mbwembwe tu.
Hawa irael Wana akili nyingiHamas na Hizbollah imemkamata pabaya.
Huwezi ukaipuuzia Houthi akati Leo imelipua Kambi ndani ya Eilat na kuharibu miundombinu ya kijeshi ya IDF na USA.
Na ndio maana IDF waliongeza meli vita kuweka usalama pale Mediterranean maana houthi akirusha kombora kwanza must lipite Mediterranean.
Hizbollah wakishapokea kipigo itakuwa zamu Yao bila shakaNimeona waasi kutoka Yemen wamekuwa wakileta chokochoko sana kwa kurusha makombola ndani ya Israel lakini sioni Israel iki react juu ya jambo hilo, je wameamua kupuuza au Hamas kawakamata vibaya?
Yemeni sasa hivi Haina vita migogoro imeisha.Yemeni ni kama Somali tuu