Kwanini iwe Watanzania vs Wakenya na si vinginevyo?

Kwanini iwe Watanzania vs Wakenya na si vinginevyo?

Humu jukwaani, kunapotokea ubishi wenye mwelekeo wa "Kimataifa", utaukuta ni baina ya Mkenya na Mtanzania.

Lakini inafahamika kuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ina nchi kadhaa zaidi ya Kenya na Tanzania. Kwa nini ubishani wa kiutani uwe ni kati ya Mkenya na Mtanzania na siyo na Mtanzania na raia wa nchi zingine za East Africa?

Je! Inaweza ikawa,

1. Watanzania wanawahusudu Wakenya?

2. Wakenya wanawahusudu Watanzania?

3. Kwa sababu lugha kuu inayotumika humu jukwaani ni Kiswahili, lugha inayoongelewa zaidi Tanzania na Kenya?

4. Watanzania wanawaamini zaidi Wakenya kuliko wana Afrika Mashariki wengine?

5. Watanzania na Wakenya wana uasili wa karibu zaidi kuliko wengine?

Kwa nini imekuwa hivyo?

Sababu ni kua Kenya na tanzania tunaelekeana vitu vingi

Lugha kiswahili
Uchumi una karibiana
Ukubwa wa ardhi

Hapa hatuwezi kujiringanisha na mikoa kama rwanda na burundi ??? wenye GDP ya single digit
au na failed state kama somalia??

Uganda ndio atleast inaweza ingia kwenye hii game! ila ndo inajiona nyonge

kwanza imeji isolate
Hawajui kiswahili
Masikini
Na hawana tumaini la kuipiku nchi hata moja kat ya hizo mbili



Lakini mwisho ni democrasia
Uganda na rwanda ni nchi za kidikteta wataongea nini hapa nchi zimemilikiwa na koo au mtu mmoja itakua ni humiliation
 
Hili li inchi bado sana,
Acheni kujidanganya..
Maduka yote yamejaa bidhaa za Kenya....
Na haitotokea kamwe bidhaa za Bongo ziuzwe madukani Kenya, kwanza wanaziona ni low quality...
Wakati sisi huku unaomba kabisa kwa Mangi , "nipe ile panadol ya Kenya"..
View attachment 2833412

mkuu nadhani huelewi maana ya fedha kuwa na thamani zaidi ya nyingine

Paund na Euro zina thaman zaidi ya Yuan ya china lakini China ndio Nchi yenye uchumi na kila kitu kikubwa zaidi ya Britain au nchi yyte ya ulaya

Uchumi haulinganishwi hivo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha utoto hizo value zinaweza kuwa regulated kutokana na ambition za nchi husika
 
mkuu nadhani huelewi maana ya fedha kuwa na thamani zaidi ya nyingine

Paund na Euro zina thaman zaidi ya Yuan ya china lakini China ndio Nchi yenye uchumi na kila kitu kikubwa zaidi ya Britain au nchi yyte ya ulaya

Uchumi haulinganishwi hivo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha utoto hizo value zinaweza kuwa regulated kutokana na ambition za nchi husika
Mwambie aelewi uyo
 
mkuu nadhani huelewi maana ya fedha kuwa na thamani zaidi ya nyingine

Paund na Euro zina thaman zaidi ya Yuan ya china lakini China ndio Nchi yenye uchumi na kila kitu kikubwa zaidi ya Britain au nchi yyte ya ulaya

Uchumi haulinganishwi hivo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha utoto hizo value zinaweza kuwa regulated kutokana na ambition za nchi husika
Halafu muongezee KSh na Japanese Yen ni almost zipo sawa je utajiri wa Kenya ni sawa na Japan
 
mkuu nadhani huelewi maana ya fedha kuwa na thamani zaidi ya nyingine

Paund na Euro zina thaman zaidi ya Yuan ya china lakini China ndio Nchi yenye uchumi na kila kitu kikubwa zaidi ya Britain au nchi yyte ya ulaya

Uchumi haulinganishwi hivo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha utoto hizo value zinaweza kuwa regulated kutokana na ambition za nchi husika
Tukisema hii nchi imejaa vilaza, ni kuanzia chini mitaani mpaka juu huko serikalini
Yaani unakuja na mfano wa vijiweni, eti china ina uchumi wa kushinda nchi za ulaya, china ni karakana ya nchi za ulaya, kwa hiyo hiyo yuan lazima iwe chini ili kurahisisha hali bora ya maisha ya watu ulaya.

1701872863957.png



Turudi kuhusu Kenya, hivi huwa mnajtoa akili na kujizima data kabisa, duh!
Hivyo hivyo na nyinyi hela yenu lazima iwe chini kuwarahisishia Kenya kununua bidhaa za Tanzania kwa bei ya bure na Kenya kuwauzia zao kwa bei kubwa.....
1701872689778.png

1701872600630.png
 
Hili li inchi bado sana,
Acheni kujidanganya..
Maduka yote yamejaa bidhaa za Kenya....
Na haitotokea kamwe bidhaa za Bongo ziuzwe madukani Kenya, kwanza wanaziona ni low quality...
Wakati sisi huku unaomba kabisa kwa Mangi , "nipe ile panadol ya Kenya"..
View attachment 2833412
Screenshot_20231206-164302_Chrome.jpg

Master tumia akili kidogo,kama utofauti wa value ya pesa ndio tofauti ya maisha basi kenya na japan life lao 1 maana pesa zao zina value sawa
 
Tukisema hii nchi imejaa vilaza, ni kuanzia chini mitaani mpaka juu huko serikalini
Yaani unakuja na mfano wa vijiweni, eti china ina uchumi wa kushinda nchi za ulaya, china ni karakana ya nchi za ulaya, kwa hiyo hiyo yuan lazima iwe chini ili kurahisisha hali bora ya maisha ya watu ulaya.

View attachment 2834799


Turudi kuhusu Kenya, hivi huwa mnajtoa akili na kujizima data kabisa, duh!
Hivyo hivyo na nyinyi hela yenu lazima iwe chini kuwarahisishia Kenya kununua bidhaa za Tanzania kwa bei ya bure na Kenya kuwauzia zao kwa bei kubwa.....
View attachment 2834798
View attachment 2834796
Top 10 ya nchi za kiafrika zenye pesa yenye thamani kenya haipo,shida iliyopo TZ kuanzia uko kwenye uongozi aujitangazi na wala kutangaza ukubwa wetu,hata hiyo gdp ya kenya na yetu ukiangalia miradi kama ya sgr na bwawa la nyerere TZ tushawapita kenya kwa gdp au tuko sawa,viongozi wamelala sana wanashindwa kujitangaza
 
Tunajifariji,
sababu wakenya wametupita mbali, kwahiyo masikini tunapenda kujua habari za tajiri....
Pambafu sanaa
Wewe ni mtumwa wa akili
Naona mnamshambulia member huyu teknocrat, ukweli ni kwamba hoja yake ina mashiko kwa kiasi fulani.. Ni ukweli usiopingika kwamba Kenya iko mbali sana kimaendeleo kuliko Tz na hata nchi zingine zote za ukanda huu wa Afrika ya Mashariki na Kati.
Ukweli mchungu huwa una kawaida ya kuchoma roho sana.
 
Back
Top Bottom