Kwanini Jaji Mkuu anatumia hii sehemu ambayo Rais ndo huwa anatumia wakati wa hotuba?

Kwanini Jaji Mkuu anatumia hii sehemu ambayo Rais ndo huwa anatumia wakati wa hotuba?

Wababa13

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
105
Reaction score
70
Habari za leo ndugu, jamaa na marafiki.

Leo nimewaza nimeona ni vema niwashirikishe na nyie.. hapo aliposimama Jaji Mkuu binafsi huwa namuonaga Rais wa nchi peke yake, hata Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Katibu Mkuu kiongozi kwa upande wangu sijawahi kuwaona hapo (sijui inaitajwe iyo sehemu).

Lakini cha kunishangaza namuona Jaji Mkuu akihutubia sehemu maalum ambayo ipo kwa ajili ya Rais wa nchi.
Naomba ufafanuzi katika hili

images.jpeg
 
Hiyo Nembo na yeye inamuhusu, "nimewaza tu kwa sauti"
 
iliandaliwa kwa ajiri yake au alilikuwepo rais eneo hilo???
 
Tuletee alichokizungumza akiwa hapo ndiyo tutaelewa umuhimu wa yeye kuongea akiwa hapo.
 
Habari za leo ndugu, jamaa na marafiki.

Leo nimewaza nimeona ni vema niwashirikishe na nyie.. hapo aliposimama Jaji Mkuu binafsi huwa namuonaga Rais wa nchi peke yake, hata Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Katibu Mkuu kiongozi kwa upande wangu sijawahi kuwaona hapo (sijui inaitajwe iyo sehemu).

Lakini cha kunishangaza namuona Jaji Mkuu akihutubia sehemu maalum ambayo ipo kwa ajili ya Rais wa nchi.
Naomba ufafanuzi katika hili

Hiyo ni nembo ya taifa siyo ya Rais
 
Rais akiwa kwenye tukio/ ziara, anaweza kuruhusu mtu mwingine akatumia hiyo sehem kuhutubia. ( Ni rais mwenyewe anaridhia) na si vinginevyo.
 
Inawezekana hapo Jaji mkuu aliombwa kuzungumza kwenye hafla iliyomuhusu RAIS!
 
Back
Top Bottom