Kwanini Jakaya Kikwete atumie nguvu kubwa kuwatetea mawaziri waliotajwa na Chalamila?

Kwanini Jakaya Kikwete atumie nguvu kubwa kuwatetea mawaziri waliotajwa na Chalamila?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Bado Watanzania wengi tuko kwenye tafakari kubwa sana na Kauli ya Mstaafu Kikwete kuwakingia kifua mawaziri waliotajwa na Chalamila kuwa wanakwenda nje ya nchi kukopa kwa ajili ya kumngoa Rais Samia 2025.

Swali ambalo watanzania wengi wanajiuliza ni kwanini JK ameelekezea lawama nzito upande mmoja tu wa mtoa kauli Mh Albert Chalamila hadi kuagiza achukuliwe hatua na Chama na sio wale waliotajwa na RC Chalamila kuhusika na njama za kumhujumu Rais aliyeko madakarani.

Je, Mheshimiwa Mstaafu Jakaya Kikwete kwanini atumie nguvu kubwa kukanusha kuwepo kwa mawaziri wanao tafuta fedha na mikopo nje ya nchi kwa ajili ya kufanikisha uchaguzi wa mwaka 2025 na kumbwaga Rais aliyeko madarakani Mama yetu Samia Suluhu Hassan.
 
jk na makamba waliongea mahususi kumlinda January ambaye bila ubishi ndiyo mtajwa wa mpango huo wa kumvizia boss.
 
jk na makamba waliongea mahususi kumlinda January ambaye bila ubishi ndiyo mtajwa wa mpango huo wa kumvizia boss.
Kama ndivyo kwanini Mkutano Mkuu wenye wajumbe 1915 walimpa kura za ndio ni 452 tu huku wajumbe 1,463 wakimkataa. na ukumbuke mkutano mkuu huo huo ndio unaoipitisha jina la mgombea wa urais wa CCM.
 
Kama ndivyo kwanini Mkutano Mkuu wenye wajumbe 1915 walimpa kura za ndio ni 452 tu huku wajumbe 1,463 wakimkataa. na ukumbuke mkutano mkuu huo huo ndio unaoipitisha jina la mgombea wa urais wa CCM.
Inshort wajumbe walio wengi hawamtaki kipara ngoto, na baba yake angeongea kabla ya kupiga kura ni wazi wajumbe wangempa kura 09 kama simbachawene.
 
Kama ndivyo kwanini Mkutano Mkuu wenye wajumbe 1915 walimpa kura za ndio ni 452 tu huku wajumbe 1,463 wakimkataa. na ukumbuke mkutano mkuu huo huo ndio unaoipitisha jina la mgombea wa urais wa CCM.
Kumbe hali ilikuwa hivyo
 
Nadhani

Matokeo ya NEC yalimpa mshituko hivyo akajaribu kuwatetea vijana wake wasije wakapotea kwenye siasa!
`1. Mahenda Leonard 845

2. Bashungwa Innocent 720

3. Wasira Steven 680

4. Msome Jackson William 591

5. Kasheku Msukuma 587

6. Kasesela Richard 574

7. Wambura Chacha Mwita 545

8. Bashe Hussein 510

9. Nnauye Nape Mosses 508

10. Gwajima Josephat 497

11. January Makamba 452

12. Mwigulu Nchemba 450

13. Macha 435

14. Msengi Ibrahimu 428``
 
Back
Top Bottom