Kwanini Jakaya Kikwete atumie nguvu kubwa kuwatetea mawaziri waliotajwa na Chalamila?

Katika top ten kanda ile wapo nane Yaani nimemtoa Bashe!

Yaani aiseh!!!
 
Na mama katepeta hashtuki wala hajiongezi ni sawa na mbuzi amfuata chatu hajui kuwa ni hatari.
Emanueli misalaba ameandika hivi : Samia+January +Mwigulu = JK , sasa hapo inakuwaje ??
 

Kumbe chalamila alifungulia bomba la maji taka
 
Inafikirisha pia,

Bt wewe Saidoo, unaamini MATOKEO hayo?

Mbona waliomkataa mkt wananongona ni zaidi ya mmoja???
Wajumbe wako mbioni kueleza kila kitu kilichotokea kwa kina Makamba na Nape muda utaongea
 
Wajumbe wako mbioni kueleza kila kitu kilichotokea kwa kina Makamba na Nape muda utaongea
Yawezakuwa Plan ilikuwa ni kumkataa mkt sie tulio nje tujuzwe.

Yajayo nanafurahisha, kama tu ni Kwa Maslahi mapana ya nchi.

Aamen
 
Samia naamini ana akili kujua hilo na nadhani Ile kauli ya hawa kijani wenzio ndio uwaogope ishatimia kitambo sana, tatizo Rais kuwa mzanzibari na mwenye upembapemba na pro waarabu sana ndio shida hapa, angalia deni la taifa linapaa Kwa hio hofu ni kubwa sana
 
Hujaelewa nini, maana yake ule ulikuwa uzushi. Wewe unawajua hao mawaziri? Acha kushikia kidedea uzushi.
 
Hivi nani alimkata mkia mtoto pendwa R. Mchengewa?

Wajumbe zamu hii walijipanga!!!
Mi mwenyewe nilishangaa Sana!jamaa ali peform Sana kwenye ile wizara!

Halafu ghafla tu akapotea hadi akaundiwa wizara mpya!

LABDA aliingizwa mkenge ishu ya DJ government ikachafuka KWA Court !!!nasikia ukiwa kwenye ile wizara pia unakuwa Bos wa TISS pia Yaani hata Yule mpare Anakuwa chini yake sasa SIJUI nini kilitokea!

Mkwe kichwa kililiwa!!
 
Anayejua mbinu zote za kuweka na kuwang'oa marais peacefully or the other way round ni yeye, Chalamila asibezwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…