Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwa upeo Wangu mdogo hawa watu wenye vinasaba vya uyahudi wana akili sn...IQ yao ipo juu mno ndio mana marekani hataumuambie nn hawezi acha kuwalinda hawa viumbe...nihatari sn Kwa kila kitu

Hakuna cha AKILI wala nini. Wangekuwa na Uchumi mkubwa basi kuliko mtu nchi yoyote. But wanaongoza kupokea mpunga WA msaada kutoka huko USA kila MWAKA.

USA na UK wanawakumbatia sababu wao ndio waliowatungia Hilo Jina LA Israel na kuwaweka hapo baada ya kukataliwa UGANDA.

Na waliwaweka hapo kwa ajili ya mambo Yao binafsi.....they want to control middle east so wameweka hapo kwa story za uongo ili kupata justification za kuendelea kuwaweka.

But eti upuuzi WA kwamba ni majiniasi no story tu za kupikwa tulizolishwa WAafrika hasa wakristo basi na sisi sababu ni mang'ombe tunaamini
 
Kwa upeo Wangu mdogo hawa watu wenye vinasaba vya uyahudi wana akili sn...IQ yao ipo juu mno ndio mana marekani hataumuambie nn hawezi acha kuwalinda hawa viumbe...nihatari sn Kwa kila kitu
Siyo kweli kwamba Wana akili Sana,Bali walikua wafanyabiashara tangu kabla ya wengine kuamka,so Wana hela,hivyo hufanya lobbying kwa maseneta,wawakilishi wa mabunge ya marekani na wagombea urais,pia hufadhili kampeni zao.

Ndiyo unaona unayoina, lakini pia Hilo taifa lilianzishwa ili kuwavuruga waarabu wasitangamane,hebu fikiria Israel isingekuwepo mashariki ya kati pangekuaje, so Israel ni moja ya mikono ya mabeberu kuvuruga waarabu
 
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the kanye west saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.
Katika jamii iliyopata misukosuko kwa miaka 4000 basi ni wayahudi. Walianza kupata tabu hata utumwa wa Mwafrika haujafikiriwa.

Sasa wamebaki takriban milioni 15 tuu duniani sawa na jiji moja kubwa, ila wana influemce kubwa kutokana na kushika sehemu nyingi za fedha na utawala Marekani na Ulaya
 
Nimeelewa lakini turudi kwenye mada yangu kwanini wapewe kinga kuliko watu weusi ilhali watu weusi ndio jamii inayochukiwa zaidi duniani na ipo hatarini kupotea kwa miaka 100 ijayo.
Fisi ndiyo mnyama anayechukiwa zaidi zaidi lakini halindwi Kama wantama wengine mfano Tembo kwanini? Hana maajabu akitoweka Tembo tutapoteza vingi but fisi hata wakiisha no body cares. Umeelewa mkuu?
 
Katika jamii iliyopata misukosuko kwa miaka 4000 basi ni wayahudi. Walianza kupata tabu hata utumwa wa Mwafrika haujafikiriwa.

Sasa wamebaki takriban milioni 15 tuu duniani sawa na jiji moja kubwa, ila wana influemce kubwa kutokana na kushika sehemu nyingi za fedha na utawala Marekani na Ulaya
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Nani alikwambia
 
Hao wazungu waashkenazi siyo wayahudi original.Wapo wayahudi halisi,nenda Ethiopia utawakuta wengi Sana.
Wayahudi walitawanyika Ulaya na Marekani na baadaye wengine kurejea Israel mwaka 1948.

Waliyokuwa Ethiopia walikuwa ni Falashians na walisharejeshwa Israel lkn wayahudi wengine wengi bado wako nje ya Israel kwa mujibu wa Biblia na watakaporejea Israel ndio itakuwa mwisho wa dahari.
 
Wayahudi walitawanyika Ulaya na Marekani na baadaye wengine kurejea Israel mwaka 1948.

Waliyokuwa Ethiopia walikuwa ni Falashians na walisharejeshwa Israel lkn wayahudi wengine wengi bado wako nje ya Israel kwa mujibu wa Biblia na watakaporejea Israel ndio itakuwa mwisho wa dahari.
Nipe kifungu. And why walitawanyika?
 
Wayahudi walitawanyika Ulaya na Marekani na baadaye wengine kurejea Israel mwaka 1948.

Waliyokuwa Ethiopia walikuwa ni Falashians na walisharejeshwa Israel lkn wayahudi wengine wengi bado wako nje ya Israel kwa mujibu wa Biblia na watakaporejea Israel ndio itakuwa mwisho wa dahari.
Unajua why wale pale israel 98% wanaitwa Ashkenazi na 2% sapharic jews?
 
Ndio Jamii yenye mfumo mzuri mzuri wa malezi. Mwanamke wa kiyahudi ndie mama mlezi bora kwa watoto duniani. Thus watoto wao huwa na akili hata wakiwa watu wazima.
Wazazi wa kiafrica hawajui malezi, wanaua ndoto za watoto, wanawajengea watoto wao hali ya kutojiamini, kujihisi duni, kushindwa hio hali ukua nayo hadi ukubwani.
 
Nipe kifungu. And why walitawanyika?

Nipe kifungu. And why walitawanyika?
"Ancient Israel was scattered throughout the earth because the people rejected God's covenant. It was prophesied that Israel would be scattered among the nations of the earth because of the people's wickedness (see Leviticus 26:33; Deuteronomy 4:23–27; 28:25, 37, 64; 1 Nephi 10:12–13; 21:1; 22:3–4)".
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] We ndio umeharibu kabisa. Hivi unajua why waibrania wenzake Musaa hawakumjua kama ni mwenzao kama alikuwa mzungu?
Ushajiuliza why watoto 11 WA Jacob walishindwa kumtambua ndugu Yao Yusuph walipoenda misri na shida zao??
.... Jibu ni kuwa wamisri na waisrael WA kipindi hiko walifanana kwa rangi. Yaani Musaa akae kwa farao miaka 40 halafu farao asijue mussa ni muisael ilihali ni mzungu. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
... Kingine jaribu kufikiria Mzungu gani atahimili joto LA MISRI na kazi ngumu za kitumwa??? Hakuna wangekufa wote ndani ya miezi 4 tu kwa kansa ya ngozi.
Unajua why South Africa, Israel na Australia ndio nchi Zina kansa za ngozi sana...??? Sababu Kuna watu wanaishia maeneo sio Yao.
..... Unakumbuka Yesu alipowaambia waisrael mkiona mji umezingirwa mkimbilie MILIMANI..... unajua huko MILIMANI.???? Kaa chini tena umiza ubongo wako vizuri
Nani alikwambia Musa alikuwa hajulikani kama ni muebrania?binti Farao alipomchukua Musa tu,alimtafuta mwanamke wa Kiebrania kwa ajili ya kumnyonyesha Musa..ila mke wa Musa ndiye alikuwa mweusi
7
 
Mbona jibu la hili swali rahisi tu.Watu weusi kuna wapumbavu karibu asilimia 99.99 na wayahudi kuna wenye akili kubwa kama asilimia 99.99. Mchango wa mtu mweusi kwenye hii dunia ni ZERO.
 
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the Kanye West saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za Adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.
wayahudi kwa asili walikuwa wa2 weusi walipokuwa wakiishi misri...wazungu walipogundua siri ya baraka wa israil wakzaa nao kwa fujo,,,,,,,,,,so weusi 2nawapenda wayahudi kwa sababu 2najua ni ndugu ze2,,,ukisoma q'ran tukufu MUNGU anasema"na tulichukua udongo mweusi,uliovunda ambao ukikauka ukigongwa unalia na 2kamuaamba ADAM SAW.................wazungu wanajipendekeza tu
 
Umerudi palepale nikakokukatalia. Weusi hatuchukiwi kwa vile ni weusi, huwa tunabaguliwa kwa upuuzi na ujinga wetu mwingi. Wayahudi mara nyingi wanachukiwa ila hawabaguliwi.

Ukiwa maskini una uwezo wa kumchukia tajiri au mwenye nguvu ila huna uwezo wa kumbagua kwa vile anamiliki vingi utakavyohitaji siku fulani. Unaishi nae kwa kulalamika, hapo tutofautishe kuchukiwa na kubaguliwa.

Ukimbagua mtu humdhuru bali unamnyima baadhi ya ofa na haki na humpi kipaumbele. Ila ukimchukia mtu hata kumdhuru unaweza. Waafrika tungekuwa tunachukiwa na hatupendwi dunia hii tungeisha maana sisi ni vilaza kupindukia, hatuna uwezo wa kujitetea kwa lolote. Unaona mfano pale Cameroon yule Paul Biya ni Rais tangu 1982, ana miaka 90 anaweza kaa nje ya nchi miezi 9 akitibiwa, nchi ni maskini wa kutupwa. Hata tusiende mbali, unadhani kuna nchi ya Ulaya inaweza tumia helikopta kutangaza matokeo ya sensa? Au wapi uliwahi ona kuna sherehe za uzinduzi wa matokeo ya sensa kwenye nchi ya Ulaya? Umbebe Rais wa Finland, France au Lithuania umpeleke stadium na msafara wa watu kibao ili tu asome tarakimu milioni 61 point something?

Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3View attachment 2407371
Mwafrika asingetakiwa duniani hana la kujitetea kazi kuombaomba tu uko, bora Red Indies wa Marekani walipigana vita na walishindwa kwa teknolojia ila sio sisi

Kama nakuelewa vile
 
Back
Top Bottom