Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Na ndio maana wakitaka kukuzima ni dkk hata uwe bilionea kiasi gani sababu wanamiliki media etc. Hata Jay z na Beyonce kesho wakiamka waseme yake aliyosema Kanye watawapulula siku mbili tu
Ushawahi kumwangalia Benjamin netanyau vizuri ni mzungu pure kabisa na wala hawafanani na waarabu. Kiufupi hao jews waliopo hapo ni mamluki wa kizungu kwenye mwamvuli wa kiyaudi ili kuvuruga amani huko uarabuni na kuzuia dini ya kiislama isikue zaidi.
 
Someone anionyeshe kwenye Bibble Yesu kama anafanana na wale wahuni WA kizungu pale Jerusalem. Na mimi nitakuonyesha jinsi Yesu anafanana na watu wenye ngozi inayohimili joto LA MISRI.
Wazungu kuhusu issues za dini wametu brainwash sana , zile picha zote za jesus zilizojaa makanisani na kwenye vitabu naskia na naamini ni uongo yesu akuwa mweupe na kangaa vile😀😀naskia jesus was black , na africa tumefichwa vingi na vingi vilitolewa kwenye bible, nchi kama egypt, na ethiopia kuna koo za kina jesus ila hauwezi kusikia mzungu akisema, Africa na waafrica hatutokuja kujitambua na kuendelea ata sikumoja maana tumevurugiwa sana vitu vyetu kuanzia dini, tamaduni ,na foundation ya maendeleo yetu maana nchi yoyote/ bara ili liendelee lazima liwe na dini zao za asili, tamaduni na teknolojia lazima ianzie chini na watu wa iyo kisha ikue na sio kupokea ya watu wengine, tumebaki tu kutangatanga hatujui cha kufanya tupo tupo tu kama hatuna akili, tuna resources zote ila hatuzitumii tunasubiri wazungu wazitumie na si tumegeuka omba omba
 
Wazungu kuhusu issues za dini wametu brainwash sana , zile picha zote za jesus zilizojaa makanisani na kwenye vitabu naskia na naamini ni uongo yesu akuwa mweupe na kangaa vile😀😀naskia jesus was black , na africa tumefichwa vingi na vingi vilitolewa kwenye bible, nchi kama egypt, na ethiopia kuna koo za kina jesus ila hauwezi kusikia mzungu akisema, Africa na waafrica hatutokuja kujitambua na kuendelea ata sikumoja maana tumevurugiwa sana vitu vyetu kuanzia dini, tamaduni ,na foundation ya maendeleo yetu maana nchi yoyote/ bara ili liendelee lazima liwe na dini zao za asili, tamaduni na teknolojia lazima ianzie chini na watu wa iyo kisha ikue na sio kupokea ya watu wengine, tumebaki tu kutangatanga hatujui cha kufanya tupo tupo tu kama hatuna akili, tuna resources zote ila hatuzitumii tunasubiri wazungu wazitumie na si tumegeuka omba omba
Sasa mbona yesu aliishi huko Roman empire?
 
Sasa mbona yesu aliishi huko Roman empire?
Aliishi Israel na MISRI tu...... Wapi walikwambia Aliishi nje ya hapo. Na ukumbuke Israel ni Northern East Africa. Kabla Wazungu hawachimba Suez canal ili kuitenganisha
 
Aliishi Israel na MISRI tu...... Wapi walikwambia Aliishi nje ya hapo. Na ukumbuke Israel ni Northern East Africa. Kabla Wazungu hawachimba Suez canal ili kuitenganisha
Kwahilo sidhani maana mto eufrate ukwapi? Na ndiko huko alibatiziwa!
 
Kwahilo sidhani maana mto eufrate ukwapi? Na ndiko huko alibatiziwa!
Sasa si isome bibble kazaliwa wapi.... Bethlehem then akiwa na miaka 5 anaenda misri kukimbia kuuwawa na herode then alivyo rudi akawa anaeneza Habari njema. Hapo Israel mpk anakuja kusulubiwa jerusalem.
 
Acha kuaminisha watu uongo bana, ukwel ni kwamba tangu mwanzo mtu mweusi ndiye aliyeteswa na kunyanyaswa kulko race yoyote hapa dunian, fuatilia historia kabla hata ya ujio wa propaganda za wayahud feki.

Hiv unajua utumwa pekee uliangamiza maisha ya waafrika kiasi gani? Hiyo idadi yao ni zaid ya Watu wa East afrika wote, nikimaanisha hakuna jamii yoyote dunian iliyoteswa kama mtu mweusi.

Jaribu kufikir mtu mweusi kuwa utumwan zaid ya miaka400 ya mateso, mauwaji, udhalilishaji, ubakaji, njaa na kazi ngumu, huku watoto wa watumwa wakifanywa kama wanyama wa maonyesho ma wanawake kama mnyama wa majaribio ya kisayansi na tafiti zao, bado wanaume walio hasiwa bila ganzi, na bado mamilion waliofanywa kama mateka wa kivita kupambana ktk vita za wazungu walizoita vita za dunia 1&2.

Hapo bado madhara ambayo mtu mweusi ameendelea kuyapata baada ya utumwa, ambayo ni unyonyaji wa rasilimali zake nchini mwake, kupangiwa jinsi ya kuishi na sheria ngumu za kimataifa(wazungu wa UN), kusainishwa mikataba ya kishenzi, kubaguliwa kila mahala dunia, kufanywa kama sehem ya majaribio ya tiba za kisayansi na aina za magonjwa, haya yote wanayafanya kwa mtu mweusi, je unawezaje kufananisha na hao wayahudi wako wa uongo ambao hata huyo hitra akuuwa watu mil6 zaid ya propaganda za kumchafua,

Kuna msemo unasema mti wenye nyoka ndio hupigwa mawe, na pia mti wenye matunda kwa wakati mwingine pia hupigwa mawe je wajua ni upi mti wenye nyoka na upi wenye matunda kati ya mtu mweusi na hao fake jews?

Jibu unalipata ni hao wayahudi wenu wa uongo ambao wamefanya maovu mengi dunian pia wao ndio walioratibu mipango ya vita za kizungu za 1&2 ili kuhalalisha mambo fulani kupitia uchonganishi wa mataifa,
je wajua madhara yake? Madhara yake ndio haya kuiba mali za mataifa ya watu weusi, kuiba historia ya mtu mweusi, pia kuiba ardhi ya wapalestina ambao ile ardhi ndio wamiliki, japo kiuhalali nayo ile ardhi ni miliki ya mtu mweusi maana aliishi hapo kabla ya ujio wa hao waarabu na wayahudi feki.

Hao wayahudi feki ndio wanaomiliki uchumi wa dunia karibia %kubwa kupitia makampuni yao na mabenki bila kusahau vituo vya habari na kusambaza propaganda wao ndio vinala.

Achen kulishwa uongo, huwezi kupata ukweli kwa kuegemea kwenye vyanzo vya habari walizotunga hao mabwana zenu mnaowaabudu.

Amkeni mtu mweusi ndiye aliekuwa myahudi wa kweli kabla ya ujio wa hao mashetani waliowapa dini na elimu ya uongo.
Most of the time neno propaganda ni la watu waliokosa hoja, usipotaka kujibu hoja unazizima na neno moja kama uongo, si kweli, propaganda, n.k. Ukileta sources zako za taarifa huwezi ona wapi zimeandaliwa na Mwafrika, sanasana utakuta kuna mkono wa Myahudi kwenye sources zako hizohizo. Waafrika hata historia yetu hatuijui, kila kitu tumefundishwa, hata ziwa kama Victoria nalo tunaliita jina la Malkia wa Uingereza. Hatuna historia tulivyoandika unayoweza kuitumia kusimama nayo hapa.

Na hizo hoja zako kuhusu sisi 50% ni upuuzi wetu. Eti tunasainishwa mikataba ya ulaghai, tunaibiwa rasilimali, tunapewa misaada na UN. Huo upumbavu nani anataka si ni sisi? Kwani kuna nchi inalazimishwa kupokea misaada au mikopo, ukikataa chanjo zao za Polio na Pepopunda ukajifia wana hasara gani, ukikataa ARVs zao ukajifia na UKIMWI unahisi wataumia sana ama kitu gani?

Ujinga wa Waafrika ni kulalamika kila kitu kwa wengine, uko nchi kama Tanzania kila siku asubuhi tunajadili mipira tena ya Ulaya, wenzetu kule wanajadili teknolojia na uchumi sasa utamlaumu nani hapo. Nchi kadhaa za Asia ziligundua kujiliza na kulalamikia historia hakuna tija na leo hii wako mbali, sisi hapa mikataba ya madini na mafuta usaini wewe kwa kiherehere na bado ulalamike. Marais wa Afrika wanatembeza mabakuli duniani kote kisha unadai tunabaguliwa. Waafrika si wanafia Mediterranean sea wakienda Ulaya? Kiherehere cha nini si wakae kwao wajenge nchi zao.

Myahudi kahamishwa hadi nchi akapotezwa kabisa eneo lake, unakuja mlinganisha na Mwafrika anayelimishwa kwake. Kabla ya 1948 nitajie Wayahudi walikuwa na nchi gani wanayoita nyumbani?
Hapa Afrika hatujawahi hamishwa bara kabisa, Wanandi wanajua kwao ni Zimbabwe, Nama na Herero kwao ni Namibia na haijawahi badilika labda wahamie nchi za nje. Wayahudi kabla ya kuanzisha taifa lao kwa mbinde hawakuwa na nchi, sasa unataka kusema walijiondokea tu woote wakaisha kwenye ardhi yao!

Mbona vitu vingine ni common sense tu. Na upumbavu mwingine wa mtu mweusi ni kujikataa, siku ukijichanganya ukamuita Mchina kwamba ni Mjapani au Mkorea atakasirika kwa nini unashindwa kumtambua unamchanganya. Ukimchanganya Mpakistani kuwa ni Mhindi hapendi kabisa, Muirani wale Persians ukimuita Muarabu hataki hata kusikia. Na hizo jamii zote zinafanania ndio maana kuchanganya, sasa njoo kwa miafrika tulivyo mijinga. Unakutana na Kokushumbusha wa Butainamwa uko ndani ndani unamfananisha na mzungu anakenua kweli kwa furaha, unakutana na Mudi kutoka Mchambawima unamfananisha na Muarabu anatoa meno nje.

Sisi wenyewe tunajikataa, nani atukubali sasa? Huu uzi kuna watu kama watatu nimeona wanajiita Wayahudi, hao ndio hujichubua. Yani mnalalamika kubaguliwa na mnajibagua wenyewe?
 
Wapi wameandika amebatizwa euphrate river...... Na sio mto yordani
Sasa kama alibatiziwa mto Jordan na hiyo Jordan ni eneo la Israel huoni kwakifupi yesu alikuwa mzungu na aliishi kweli Israel?
 
Hao wazungu waashkenazi siyo wayahudi original.Wapo wayahudi halisi,nenda Ethiopia utawakuta wengi Sana.
Ukisema Wayahudi halisi wako Ethiopia maana yake unawabagua Wayahudi wa sehemu zingine. Halafu unaloloma weusi wanabaguliwa wakati wewe ni mbaguzi! PUMBAVU!!!
 
Most of the time neno propaganda ni la watu waliokosa hoja, usipotaka kujibu hoja unazizima na neno moja kama uongo, si kweli, propaganda, n.k. Ukileta sources zako za taarifa huwezi ona wapi zimeandaliwa na Mwafrika, sanasana utakuta kuna mkono wa Myahudi kwenye sources zako hizohizo. Waafrika hata historia yetu hatuijui, kila kitu tumefundishwa, hata ziwa kama Victoria nalo tunaliita jina la Malkia wa Uingereza. Hatuna historia tulivyoandika unayoweza kuitumia kusimama nayo hapa.

Na hizo hoja zako kuhusu sisi 50% ni upuuzi wetu. Eti tunasainishwa mikataba ya ulaghai, tunaibiwa rasilimali, tunapewa misaada na UN. Huo upumbavu nani anataka si ni sisi? Kwani kuna nchi inalazimishwa kupokea misaada au mikopo, ukikataa chanjo zao za Polio na Pepopunda ukajifia wana hasara gani, ukikataa ARVs zao ukajifia na UKIMWI unahisi wataumia sana ama kitu gani?

Ujinga wa Waafrika ni kulalamika kila kitu kwa wengine, uko nchi kama Tanzania kila siku asubuhi tunajadili mipira tena ya Ulaya, wenzetu kule wanajadili teknolojia na uchumi sasa utamlaumu nani hapo. Nchi kadhaa za Asia ziligundua kujiliza na kulalamikia historia hakuna tija na leo hii wako mbali, sisi hapa mikataba ya madini na mafuta usaini wewe kwa kiherehere na bado ulalamike. Marais wa Afrika wanatembeza mabakuli duniani kote kisha unadai tunabaguliwa. Waafrika si wanafia Mediterranean sea wakienda Ulaya? Kiherehere cha nini si wakae kwao wajenge nchi zao.

Myahudi kahamishwa hadi nchi akapotezwa kabisa eneo lake, unakuja mlinganisha na Mwafrika anayelimishwa kwake. Kabla ya 1948 nitajie Wayahudi walikuwa na nchi gani wanayoita nyumbani?
Hapa Afrika hatujawahi hamishwa bara kabisa, Wanandi wanajua kwao ni Zimbabwe, Nama na Herero kwao ni Namibia na haijawahi badilika labda wahamie nchi za nje. Wayahudi kabla ya kuanzisha taifa lao kwa mbinde hawakuwa na nchi, sasa unataka kusema walijiondokea tu woote wakaisha kwenye ardhi yao!

Mbona vitu vingine ni common sense tu. Na upumbavu mwingine wa mtu mweusi ni kujikataa, siku ukijichanganya ukamuita Mchina kwamba ni Mjapani au Mkorea atakasirika kwa nini unashindwa kumtambua unamchanganya. Ukimchanganya Mpakistani kuwa ni Mhindi hapendi kabisa, Muirani wale Persians ukimuita Muarabu hataki hata kusikia. Na hizo jamii zote zinafanania ndio maana kuchanganya, sasa njoo kwa miafrika tulivyo mijinga. Unakutana na Kokushumbusha wa Butainamwa uko ndani ndani unamfananisha na mzungu anakenua kweli kwa furaha, unakutana na Mudi kutoka Mchambawima unamfananisha na Muarabu anatoa meno nje.

Sisi wenyewe tunajikataa, nani atukubali sasa? Huu uzi kuna watu kama watatu nimeona wanajiita Wayahudi, hao ndio hujichubua. Yani mnalalamika kubaguliwa na mnajibagua wenyewe?
Mtu kujiita myahudi sio kwamba anajichubua....... Wanaojichubua ni wadada wenye uwezo mdogo WA AKILI.
Na kuhusu Hao jamaa zako unaosema walinyang'anywa nchi Waka potezwa kabisa unatumia sources gani kutuaminisha Hilo au mawazo yako binafsi au maneno Yao kutoka mdomoni mwao au unatumia maandishi ya UN na Uingereza kuwa weka hapo.
Na hata Hao UN na UK waliowaweka hapo walitumia biblia but bila andiko linalowatambulisha rasmi Bali tu walisema tu kuwa ilikuwa nchi Yao na imetabiriwa kuwa watarudi...... But utabiri uko Kinyume kabisa na wanavyosema.
Na Hakuna aliyesema WAafrika wote ni waisrael.... Africans walikuwepo Na wapo.... Na black Israel walikuwepo pamoja nao na ndo waliwauza utumwani. Hakuna mwafrika aliyekuwa anauza ndugu yake/mdogo utumwani hizo ni story za uongo....
Sema umekaa kwenye uongo maisha yako yote mpk Kwako umekuwa ni ukweli ndo maana Inakuwa ngumu kuamini.
 
Sasa kama alibatiziwa mto Jordan na hiyo Jordan ni eneo la Israel huoni kwakifupi yesu alikuwa mzungu na aliishi kweli Israel?
Kwanini awe mzungu. Kuna mzungu anahimili jangwa bila kupaka yake maskin lotion Yao. Yaani wewe tangu mwanzo unapewa darasa hata hujaelewa chochote elewa hivi.
1. Waisrael WA kipindi cha Yesu hawakuwa wazungu
2. Wamisri WA kipindi cha Yesu na hata before hawakuwa Wazungu.
3. Hawa Wazungu unao waona Sasa hapo 98% wametoka ujerumani na 2% sapharic jews wametoka Spain.
4. Nimekuwekea hapo andiko LA ufunuo bado huamini?
5. Mussa kama alikuwa mzungu kwanini Farao hakuweza kumtambua akihisi ni mmsiri na kwanini ndugu zake pia hawakumjua??
6. Common sense... Wakati Roma anatawala Israel kipindi cha Yesu alikuwa pia anatawala karibu kaskazini yote maana Roma ndio ilikuwa DOLA kubwa... So Yesu alipoondoka Wayahudi/waisrael WA kipindi hiko wakaanzisha vita na roma wakitaka waondoke..... But wakapokea kichapo heavy ndio wakakimbia hapo Israel Sasa nakupa homework kafanye angalia Ramani ya Africa kabla hawajachimba Suez canal je walivyo pigwa na waroma Je walikimbilia Kusini aka Africa au walikimbilia kaskazini ambako ndio adui yupo...... Common sense tu hapo.
 
Hizo source ziko wapi...?? Na Hakuna mtu Anayejifananisha na mzungu. Halafu unaosema Hakuna mtu aliyehamishwa Africa.... Seriously wale watu weusi America Wamefikaje pale.? Au utumwa uliotokea africa na watu weusi kutawanywa Dunia nzima utumwani ni Uongo??
 
Mtu kujiita myahudi sio kwamba anajichubua....... Wanaojichubua ni wadada wenye uwezo mdogo WA AKILI.
Na kuhusu Hao jamaa zako unaosema walinyang'anywa nchi Waka potezwa kabisa unatumia sources gani kutuaminisha Hilo au mawazo yako binafsi au maneno Yao kutoka mdomoni mwao au unatumia maandishi ya UN na Uingereza kuwa weka hapo.
Na hata Hao UN na UK waliowaweka hapo walitumia biblia but bila andiko linalowatambulisha rasmi Bali tu walisema tu kuwa ilikuwa nchi Yao na imetabiriwa kuwa watarudi...... But utabiri uko Kinyume kabisa na wanavyosema.
Na Hakuna aliyesema WAafrika wote ni waisrael.... Africans walikuwepo Na wapo.... Na black Israel walikuwepo pamoja nao na ndo waliwauza utumwani. Hakuna mwafrika aliyekuwa anauza ndugu yake/mdogo utumwani hizo ni story za uongo....
Sema umekaa kwenye uongo maisha yako yote mpk Kwako umekuwa ni ukweli ndo maana Inakuwa ngumu kuamini.
As if we mwenyewe kuna source ya aina yoyote unatoa. Sasa yanini utake nitoe source, haya hiyo hapo nimekupa sample ya kitabuenilichonacho karibu hapa utakuja useme ni ya UN na Uingereza. Nami niletee hiyo source ya Democratic Republic of Congo na kutoka kina ECOWAS na SADC
IMG_20221106_111353.jpg
 
Hizo source ziko wapi...?? Na Hakuna mtu Anayejifananisha na mzungu. Halafu unaosema Hakuna mtu aliyehamishwa Africa.... Seriously wale watu weusi America Wamefikaje pale.? Au utumwa uliotokea africa na watu weusi kutawanywa Dunia nzima utumwani ni Uongo??
Bado unaruka point muhimu. Nimekuuliza kabla ya mwaka 1948 halijaanzishwa taifa la Israel ya sasa Wayahudi nchi yao ilikuwa ni nchi gani?
Najua huna jibu ndio maana unarukaruka, na kama hawakuwa na nchi kabla ya hiyo 1948 ina maana walifyatuka mbinguni wakazagaa nchi tofauti duniani. Tukija kwa Waafrika Wangoni tunajiuliza kabla ya 1800s nchi yao ilikuwa ni ipi na tunajua ni South Africa, leo hii 2000s tunawakuta Tanzania na nchi za Kusini mwake. Tukiuliza kwanini Wangoni watoke South Africa kuja Namtumbo tunajibu ni Zulu expansion (walinyanyaswa, walipigwa, walifukuzwa). Sababu zipo!
Sasa sababu ya Wayahudi kutoweka kwenye ardhi yao ni nini?

Kwa Waafrika, nimekwambia Mwafrika hajawahi hamishwa nyumbani completely. Yani hakuna point katika historia ya dunia ambapo Waafrika walikosa pa kuita homeland, hakuna mwaka bara la Afrika lilijaa wazungu tu au Asians na Waafrika wakawa wamehamishiwa kwingine. Hiyo ndio point unayokwepesha badala yake unanitajia hao waliobebwa na kuuzwa utumwani.
 
Back
Top Bottom