Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Wengi hawajui wamejazwa ujinga na mzungu kwa kupewa Picha ya cezar borjia basi ubongo ukala hapo
Watu hawajiulizi kwanini Yesu alikimbizwa Misri kujificha ili Herode asimuue? Na kama Yesu na wazazi wake walikuwa wazungu ingewezekana vipi wakimbilie Misri wakati wamisri walikuwa weusi? kwao si engekuwa ni rahisi kujulikana?
Kuna siri kubwa sana kuhusu mtu mweusi ndiyo maana zinatumika garama kubwa kulinda siri hii.
 
They will never live in peace!!!
 

Attachments

  • Screenshot_20221105-212536.jpg
    Screenshot_20221105-212536.jpg
    100.7 KB · Views: 10
Watu hawajiulizi kwanini Yesu alikimbizwa Misri kujificha ili Herode asimuue? Na kama Yesu na wazazi wake walikuwa wazungu ingewezekana vipi wakimbilie Misri wakati wamisri walikuwa weusi? kwao si engekuwa ni rahisi kujulikana?
Kuna siri kubwa sana kuhusu mtu mweusi ndiyo maana zinatumika garama kubwa kulinda siri hii.
Ubongo wao umelala pale walipoambiwa. Mmelaaniwa na majina yenu yamelaaniwa basi wakaacha kufikiria.....mpk Leo wako busy wakuwaombea wale Wazungu lakini Africa ndo Bara linaongoza kwa matatizo. Si wamesema ukiibariki Israel na wewe unabarikiwa then why Africa shida kibao na kila. Siku mnatembea na vibendera vya Israel....... Jibu ni kuwa mnaombea waisrael HEWA
 
Mzee wa bandari naona unatema nondo tu.
Ubongo wao umelala pale walipoambiwa. Mmelaaniwa na majina yenu yamelaaniwa basi wakaacha kufikiria.....mpk Leo wako busy wakuwaombea wale Wazungu lakini Africa ndo Bara linaongoza kwa matatizo. Si wamesema ukiibariki Israel na wewe unabarikiwa then why Africa shida kibao na kila. Siku mnatembea na vibendera vya Israel....... Jibu ni kuwa mnaombea waisrael HEWA
 
Watu hawajiulizi kwanini Yesu alikimbizwa Misri kujificha ili Herode asimuue? Na kama Yesu na wazazi wake walikuwa wazungu ingewezekana vipi wakimbilie Misri wakati wamisri walikuwa weusi? kwao si engekuwa ni rahisi kujulikana?
Kuna siri kubwa sana kuhusu mtu mweusi ndiyo maana zinatumika garama kubwa kulinda siri hii.
Na mimi huwa nina amini wamisri asilia walikuwa watu weusi. Hoja yangu yakuamini hivo nikwasababu wakati wa musa kipindi wana wa Israel walikuwa wanauwawa na musa aliokotwa na mwana mfalme, yule mwana mfalme akasema kitoto kizuri kinang'aa cheupee. Hivo watu weusi ni watoto wa farao na watu weupe ni watoto wa Israel. Period
 
Na mimi huwa nina amini wamisri asilia walikuwa watu weusi. Hoja yangu yakuamini hivo nikwasababu wakati wa musa kipindi wana wa Israel walikuwa wanauwawa na musa aliokotwa na mwana mfalme, yule mwana mfalme akasema kitoto kizuri kinang'aa cheupee. Hivo watu weusi ni watoto wa farao na watu weupe ni watoto wa Israel. Period
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] We ndio umeharibu kabisa. Hivi unajua why waibrania wenzake Musaa hawakumjua kama ni mwenzao kama alikuwa mzungu?
Ushajiuliza why watoto 11 WA Jacob walishindwa kumtambua ndugu Yao Yusuph walipoenda misri na shida zao??
.... Jibu ni kuwa wamisri na waisrael WA kipindi hiko walifanana kwa rangi. Yaani Musaa akae kwa farao miaka 40 halafu farao asijue mussa ni muisael ilihali ni mzungu. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
... Kingine jaribu kufikiria Mzungu gani atahimili joto LA MISRI na kazi ngumu za kitumwa??? Hakuna wangekufa wote ndani ya miezi 4 tu kwa kansa ya ngozi.
Unajua why South Africa, Israel na Australia ndio nchi Zina kansa za ngozi sana...??? Sababu Kuna watu wanaishia maeneo sio Yao.
..... Unakumbuka Yesu alipowaambia waisrael mkiona mji umezingirwa mkimbilie MILIMANI..... unajua huko MILIMANI.???? Kaa chini tena umiza ubongo wako vizuri
 
Achana na hiyo story ya kizungu. Wapi walisema Hao khazaris walinyanganywa Jerusalem. Hizo ni kamba za Wazungu tu. Hata bibble haisapoti hiyo story Yao.
It seems hujui hata timeline ya unachoongea. Tafuta kujua hiyo biblia ni ya mwaka gani na hao Wayahudi waliondoka Jerusalem mwaka gani. Hiyo nadharia yako unayotumia ni ya Wahindi au Wachina, au unataka kuniambia ni ya Waafrika watu ambao hata nchi zetu wenyewe tulitungiwa majina mostly na hao wazungu
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] We ndio umeharibu kabisa. Hivi unajua why waibrania wenzake Musaa hawakumjua kama ni mwenzao kama alikuwa mzungu?
Ushajiuliza why watoto 11 WA Jacob walishindwa kumtambua ndugu Yao Yusuph walipoenda misri na shida zao??
.... Jibu ni kuwa wamisri na waisrael WA kipindi hiko walifanana kwa rangi. Yaani Musaa akae kwa farao miaka 40 halafu farao asijue mussa ni muisael ilihali ni mzungu. [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
... Kingine jaribu kufikiria Mzungu gani atahimili joto LA MISRI na kazi ngumu za kitumwa??? Hakuna wangekufa wote ndani ya miezi 4 tu kwa kansa ya ngozi.
Unajua why South Africa, Israel na Australia ndio nchi Zina kansa za ngozi sana...??? Sababu Kuna watu wanaishia maeneo sio Yao.
..... Unakumbuka Yesu alipowaambia waisrael mkiona mji umezingirwa mkimbilie MILIMANI..... unajua huko MILIMANI.???? Kaa chini tena umiza ubongo wako vizuri
Duh! Kumbe Yusuf hakutambulika na ndugu zake. Kwa mantiki hiyo basi walikuwa ni rangi moja. Ila swali langu ni wamisri waliwezaje wajua hawa ni waisrael kama walikuwa na rangi moja? Na kama wote walikuwa weusi ilikuwaje watu weupe walitokea wapi mpaka kuja kuwa na akili hivo duniani?
 
Duh! Kumbe Yusuf hakutambulika na ndugu zake. Kwa mantiki hiyo basi walikuwa ni rangi moja. Ila swali langu ni wamisri waliwezaje wajua hawa ni waisrael kama walikuwa na rangi moja? Na kama wote walikuwa weusi ilikuwaje watu weupe walitokea wapi mpaka kuja kuwa na akili hivo duniani?
Swali LA pili ni kuwa sisi tuna AKILI sawa na Wazungu tena Tunaweza kuwazidi pia. Sema walituwahi wao mapema sana Na kutuaminisha kuwa sisi ni mapechelolo na wao ndio wamebarikiwa . A tukaamini so imekaa kichwani kwetu hivyo. Huoni jinsi ambavyo hatutaki majina yetu
 
It seems hujui hata timeline ya unachoongea. Tafuta kujua hiyo biblia ni ya mwaka gani na hao Wayahudi waliondoka Jerusalem mwaka gani. Hiyo nadharia yako unayotumia ni ya Wahindi au Wachina, au unataka kuniambia ni ya Waafrika watu ambao hata nchi zetu wenyewe tulitungiwa majina mostly na hao wazungu
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Wewe unayejua time-line niambie Kati ya agano LA Kale linaandikwa walikuwa WA rangi gani.?? Hakuna cha wachina WAla wahindi. MI natumia biblia ambayo imeandikwa historia ya tangu Abraham.... Wewe nipe kithibitisho cha maandishi kuwa waisrael WA kipindi Ch Yesu walikuwa Wazungu...
 
Hata mimi naona hivo wayahudi ni propaganda zza wazungu kuwavuruga waarabu ili kudidimiza dini ya uislamu. Na kwa ninacho kiona kama wote chimbuko letu ni adamu na hawa basi kila mtu ni myahudi. Ila kuwepo kwa jamii moja ambayo inaitwa wayahudi ni uongo na ndicho kanye west alichokuwa anazungumzia.
Kanye west alifanya na kusema nini?

Mbona anapitia wakati mgumu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Duh! Kumbe Yusuf hakutambulika na ndugu zake. Kwa mantiki hiyo basi walikuwa ni rangi moja. Ila swali langu ni wamisri waliwezaje wajua hawa ni waisrael kama walikuwa na rangi moja? Na kama wote walikuwa weusi ilikuwaje watu weupe walitokea wapi mpaka kuja kuwa na akili hivo duniani?
Wamisri waliwajua kama ambayo sisi tunajuana Sasa kwa makabila na lugha.... But kwa rangi mtu WA nje hawezi kututofautisha labda akukutanishe wewe na msudani kusini kidogo ndo utaona tofauti maana wale weusi sana Na warefu sana.
Na ndio Maana Mzungu na mwarabu walipo shuka chini huku kipindi cha utumwa kuwa beba Hao waisrael wawapeleke utumwani kama ilivyotabiriwa kwenye kumbukumbu LA torati ilibidi wapate msaada kutoka kwa machief WA kiafrika
 
Swali LA pili ni kuwa sisi tuna AKILI sawa na Wazungu tena Tunaweza kuwazidi pia. Sema walituwahi wao mapema sana Na kutuaminisha kuwa sisi ni mapechelolo na wao ndio wamebarikiwa . A tukaamini so imekaa kichwani kwetu hivyo. Huoni jinsi ambavyo hatutaki majina yetu
Kama kweli tunaakili kwanini sasa hatuvumbui vitu kama wazungu?
 
Kanye west alifanya na kusema nini?

Mbona anapitia wakati mgumu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kanye kasema wao black American ndio waebrania aka jews WA ukweli. Sasa Wazungu aka Jewish WA uongo wamekasirika kwamba why atoe siri wakati watu weusi wamelala usingizi pono. Kwanini anawaamsha.
 
Tuanzie kwenye World War 2, Nazi Germany iliua Wayahudi zaidi ya milioni 6 ndani ya miaka mitano tu. Walikuwa na kambi za maangamizi kama Auschwitz-Birkenau, Sobibor na Trebrinka. Hii picha ilipigwa na Allied Forces pale Evensee baada ya kuikomboa kambi hiyo kutoka mikononi mwa NaziView attachment 2407223

Huwezi sema Waafrika walinyanyaswa kuliko Wayahudi wakati Wayahudi hadi walihamishwa nchi kabisa. Kuanzia miaka ya 300s walipopigwa na kunyang'anywa Jerusalem walikuwa wanaishi wapi hadi 1948 walipoanzisha Jewish state pale Israel.

Watu weusi hawapendwi, ila hawana hata chembe ya kufikia level ya Wayahudi walivyochukiwa. Weusi walikuwa wanauzwa utumwani wakafanye kazi, walitumikishwa kwenye ardhi yao na kuibiwa rasilimali. Ukiachana na kufanywa watumwa hayo mengine wamefanyiwa Asians na Japanese ingawa haikudumu kwa muda mrefu. Wajapani walifanya Nanjing massacre, Japan ilifanya mass murder kwa Koreans, Chinese, Indonesians, Filipinos na Asians kibao na kuua more than 3 to 7 million people ndani ya miaka 15 tu. So kusema Waafrika walinyanyaswa zaidi ni kutojua historia ya races nyingine.

Waafrika tumezubaa na tunaishi tu, ila Wayahudi wakilala ndio basi tena hawana maisha wanapotezwa.
Acha kuaminisha watu uongo bana, ukwel ni kwamba tangu mwanzo mtu mweusi ndiye aliyeteswa na kunyanyaswa kulko race yoyote hapa dunian, fuatilia historia kabla hata ya ujio wa propaganda za wayahud feki.

Hiv unajua utumwa pekee uliangamiza maisha ya waafrika kiasi gani? Hiyo idadi yao ni zaid ya Watu wa East afrika wote, nikimaanisha hakuna jamii yoyote dunian iliyoteswa kama mtu mweusi.

Jaribu kufikir mtu mweusi kuwa utumwan zaid ya miaka400 ya mateso, mauwaji, udhalilishaji, ubakaji, njaa na kazi ngumu, huku watoto wa watumwa wakifanywa kama wanyama wa maonyesho ma wanawake kama mnyama wa majaribio ya kisayansi na tafiti zao, bado wanaume walio hasiwa bila ganzi, na bado mamilion waliofanywa kama mateka wa kivita kupambana ktk vita za wazungu walizoita vita za dunia 1&2.

Hapo bado madhara ambayo mtu mweusi ameendelea kuyapata baada ya utumwa, ambayo ni unyonyaji wa rasilimali zake nchini mwake, kupangiwa jinsi ya kuishi na sheria ngumu za kimataifa(wazungu wa UN), kusainishwa mikataba ya kishenzi, kubaguliwa kila mahala dunia, kufanywa kama sehem ya majaribio ya tiba za kisayansi na aina za magonjwa, haya yote wanayafanya kwa mtu mweusi, je unawezaje kufananisha na hao wayahudi wako wa uongo ambao hata huyo hitra akuuwa watu mil6 zaid ya propaganda za kumchafua,

Kuna msemo unasema mti wenye nyoka ndio hupigwa mawe, na pia mti wenye matunda kwa wakati mwingine pia hupigwa mawe je wajua ni upi mti wenye nyoka na upi wenye matunda kati ya mtu mweusi na hao fake jews?

Jibu unalipata ni hao wayahudi wenu wa uongo ambao wamefanya maovu mengi dunian pia wao ndio walioratibu mipango ya vita za kizungu za 1&2 ili kuhalalisha mambo fulani kupitia uchonganishi wa mataifa,
je wajua madhara yake? Madhara yake ndio haya kuiba mali za mataifa ya watu weusi, kuiba historia ya mtu mweusi, pia kuiba ardhi ya wapalestina ambao ile ardhi ndio wamiliki, japo kiuhalali nayo ile ardhi ni miliki ya mtu mweusi maana aliishi hapo kabla ya ujio wa hao waarabu na wayahudi feki.

Hao wayahudi feki ndio wanaomiliki uchumi wa dunia karibia %kubwa kupitia makampuni yao na mabenki bila kusahau vituo vya habari na kusambaza propaganda wao ndio vinala.

Achen kulishwa uongo, huwezi kupata ukweli kwa kuegemea kwenye vyanzo vya habari walizotunga hao mabwana zenu mnaowaabudu.

Amkeni mtu mweusi ndiye aliekuwa myahudi wa kweli kabla ya ujio wa hao mashetani waliowapa dini na elimu ya uongo.
 
Back
Top Bottom