Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Porojo,benguria
Unasema "itoe Marekani na Uingereza nyuma ya Israel" sasa kwani ujanja wa Israel uko limited kwenye nini? Kwani mkuu aliyekwambia nikitaka kukupiga ni lazima nije mwenyewe nani. Hiyo ni sawa na kusema itoe polisi na NEC tuone CCM kama watashinda. Alliances zipo, za wazi wazi na za kimya kimya na huwezi lazimisha zivunjwe. Hao Waarabu wenyewe waliungana kwenye Israel Arab conflicts na walishindwa.

Ukianzia namna gani Jewish state ilianzishwa eneo la Palestina ambapo Waingereza walikuwa wanatawala. Ukafuata namna gani wale peasants wa Kiarabu walilipwa fidia na wengine kutimuliwa wakati nchi inaanzishwa, ukaangalia ile vita uchwara ya Wayahudi dhidi ya Waingereza pale Palestina utaona kabisa Myahudi alikuwa anafanya calculated moves.

Kwanza kabla ya hapo, wakati Britain inaingia WW1 miaka ya 1910s ilitaka support ya Wayahudi duniani na ikawaambia waiunge mkono ili ikiishinda Ottoman Empire ikate eneo la Palestina ambayo haikuwa nchi rasmi na haina mipaka ikiwa chini ya Ottoman. Baadae miaka ya 1930s mojawapo ya sababu ya Hitler kuwakataa Wayahudi ni kwamba wao duniani agenda yao ni moja, haijalishi huyu yuko Argentina na huyu yuko South Africa. Hawana uaminifu na serikali za nchi zao, wana nidhamu na jamii yao na agenda zao tu, ila hawavunji sheria bali mara nyingi wanagoma kuunga mkono agenda wasizotaka. Pale WW1 Ujerumani inapigana na Uingereza, wao Wayahudi agenda yao ni kuunga mkono Uingereza wapate nchi pale. Wakati humohumo Ujerumani kuna Wayahudi kibao, ila eti wanataka Uingereza iishinde Ottoman wapate nchi yao ya kudumu. Unahisi Waingereza walikuwa wajinga kuomba kuungwa nao mkono? Wanajua nguvu yao.

Wimbo wa taifa wa sasa wa Israel ulitungwa na Myahudi wa eneo la Ukraine ya sasa ila lilikuwa Austria ya Poland miaka hiyo ya 1800 (unaona mkanganyiko). Ila nchi wameanzisha 1948, so you can imagine agenda yao ilikuwa nini. Huwezi wapoteza kizembe wao wanawaza mbele, they have all options on their table.

Na kama unasema Cohen alijua siri za silaha za Soviet tu unakosea. Siri nyingine Wayahudi hawakusema, ila mojawapo iliyowasaidia wakati anafanya ziara kwenye kambi za kijeshi aliwashawishi majenerali wapande miti ya mikaratusi Golan heights ili wanajeshi walio kwenye outposts na kambi wapate vivuli. Lengo ni vita ikianza miaka ijayo, Israel pilots waweze locate positions za outposts. Rubani yuko jangwani ghafla anaona miti ya kijani, target destroyed!
Hakuna peasant wa kiarabu aliyelipwa fidia,ilikua naqba,watu wameporwa na wanaendelea kuporwa Leo kwa msaada wa uingereza,mwanzilishi wa taifa la Israel benguria akiegemea turkey,alipobaini centre of gravity inaelekea west akafanya alliance na west,hakuna taifa si ulaya si marekani waliokua wanawahitaji wayahudi,ingekua Wana umuhimu huo Hitler asingewaoka
 
Madhila ambayo watu weusi wamekutana nayo ni makubwa mno kuliko jews. Mkuu kuna nyakati waafrika walikuwa wanachomwa kama mishkaki na wazungu na watu wanapewa nyama wale. Acha kusema jews wamepitia mengi kuliko watu weusi kwasababu taarifa zao nyingi ni za kupika. Watu weusi hawapendwi na jamii yoyote ile duniani kuna black massacre ilitokea huko marekani ikiwa na lengo la kutokomeza watu weusi wote marekani.
Ni wazungu wapi waliokuwa wanawachoma watu weusi kama mishkaki na wakawa wanakula nyama zao. Nitajia massacre moja ya watu weusi iliyofanyika kwa nia ya kuwatokomeza watu weusi wote marekani na sio tu kwenye sehemu walipouawa?

Amandla...
 
"Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3 " T14 Armata
ndo maana Solomoni mmojawapo wa wayahudi wa kale alipooambiwa aombe chochote hakuomba mali, utajiri au ufahari bali aliomba hekima. Waafrika wanaomba nini? Ukiwa na hekima unaweza kumudu mazingira yako. Hekima hutoka kwa Mungu. Soma Torati utawaelewa hawa watu.
 
Porojo,benguria

Hakuna peasant wa kiarabu aliyelipwa fidia,ilikua naqba,watu wameporwa na wanaendelea kuporwa Leo kwa msaada wa uingereza,mwanzilishi wa taifa la Israel benguria akiegemea turkey,alipobaini centre of gravity inaelekea west akafanya alliance na west,hakuna taifa si ulaya si marekani waliokua wanawahitaji wayahudi,ingekua Wana umuhimu huo Hitler asingewaoka
hitler yuko wapi sasa hivi na Wayahudi wako wapi sasa hivi?. sio yeye alikufa kifo cha kioga kwa kujipiga risasi na kujioka maana ndo anachojua hiko?
 
hitler yuko wapi sasa hivi na Wayahudi wako wapi sasa hivi?. sio yeye alikufa kifo cha kioga kwa kujipiga risasi na kujioka maana ndo anachojua hiko?
We ulishawahi ona picha ya mwili wa Hitler!?..Hitler alishindwa Vita zaidi ya miaka 70 iliyopita,unauliza Yuko wapi!!
 
We ulishawahi ona picha ya mwili wa Hitler!?..Hitler alishindwa Vita zaidi ya miaka 70 iliyopita,unauliza Yuko wapi!!
Ndo ujue wapo wengi waliotaka kuwaangamiza wayahudi toka enzi za kina Babylon na wote walikufa na kuliacha taifa la wayahudi likiishi imara zaidi. Ndo maana hata huyo Hitler alijiua kwa kuogopa kupitia yale aliyowafanyia binadamu wenzake. Watu wengi hawajulikani walipofia, Osama uliona mwili wake uliokufa?? Waacheni wayahudi bana.
 
Ndo ujue wapo wengi waliotaka kuwaangamiza wayahudi toka enzi za kina Babylon na wote walikufa na kuliacha taifa la wayahudi likiishi imara zaidi. Ndo maana hata huyo Hitler alijiua kwa kuogopa kupitia yale aliyowafanyia binadamu wenzake. Watu wengi hawajulikani walipofia, Osama uliona mwili wake uliokufa?? Waacheni wayahudi bana.
Imara!!!...wamekua wakimbizi duniani kwa Karne mpaka 1945,wameishi Iran,saudia,Yemen,turkey,ulaya wakiwa stateless zaidi ya Imani ya kiyahudi
 
Acha kubadili kauli,uliandika wahindi wekundu walau waliopambana wakazidiwa kiteknolojia,nakuuliza ngwale,mkwawa,abushiri,mangi meli,wandebele na washona,maumau hawakupambana!?..hao wayahudi uingereza na ufaransa waliconspire kuanzisha taifa mashariki ya kati ili wawavuruge waarab,hakuna Cha myahudi kupambana kiakili Wala nini,miaka ilivyoenda USA nae akajiunga kwenye genge la uingereza na ufaransa,ukiwatoa hao watatu hakuna atakaekaa Israel kwa dhiki,njaa na Vita vitakavyokuwepo
Hata mimi naona hivo wayahudi ni propaganda zza wazungu kuwavuruga waarabu ili kudidimiza dini ya uislamu. Na kwa ninacho kiona kama wote chimbuko letu ni adamu na hawa basi kila mtu ni myahudi. Ila kuwepo kwa jamii moja ambayo inaitwa wayahudi ni uongo na ndicho kanye west alichokuwa anazungumzia.
 
Ninavyofahamu hii jamii ina IQ kubwa sn ...niwatu wenye uwezo mkubwa sn kiakili. ..kwasasa Mossad ndio anaeifanya USA kua nakiburi cha kwenye silaha za aina zote. .hata security application nyingi za USA basi kuna mkono wa myahudi. ..ndio mana anawalinda kwa gharama yyt ile
 
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the kanye west saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.
watu weusi hampendan nan atawapenda bila nyiny kupendana?
 
Acha kubadili kauli,uliandika wahindi wekundu walau waliopambana wakazidiwa kiteknolojia,nakuuliza ngwale,mkwawa,abushiri,mangi meli,wandebele na washona,maumau hawakupambana!?..hao wayahudi uingereza na ufaransa waliconspire kuanzisha taifa mashariki ya kati ili wawavuruge waarab,hakuna Cha myahudi kupambana kiakili Wala nini,miaka ilivyoenda USA nae akajiunga kwenye genge la uingereza na ufaransa,ukiwatoa hao watatu hakuna atakaekaa Israel kwa dhiki,njaa na Vita vitakavyokuwepo

Muafrika amekua programmed kujidharau hence hata kudharauliwa kwake ni rahisi. Watu wanasahau kwamba hata mababu zetu walipambana.
 
Porojo,benguria

Hakuna peasant wa kiarabu aliyelipwa fidia,ilikua naqba,watu wameporwa na wanaendelea kuporwa Leo kwa msaada wa uingereza,mwanzilishi wa taifa la Israel benguria akiegemea turkey,alipobaini centre of gravity inaelekea west akafanya alliance na west,hakuna taifa si ulaya si marekani waliokua wanawahitaji wayahudi,ingekua Wana umuhimu huo Hitler asingewaoka
Wapo waliolipwa mwanzoni kabisa, then annexation ya maeneo ikafuata na mengine kama Golan heights yakawa yanachukuliwa kila Waarabu wakishindwa vita. Sasa kumbe unakubali Jewish state ipo kiubabe, anayepigana vita Israel ikivamiwa ni nani? Tatizo la kutumia nguvu badala ya akili, watu wanafanya plans zao na tactics vizuri kabisa wengine wanakurupuka.

Ukianzisha mikutano ya vyama vya upinzani nchini kisha polisi wakakupiga kwa mtazamo wa Kiyahudi utawashutumu CCM, kwa mtazamo wa nguvu nyingi akili kidogo utawashutumu polisi. Ukiwa objective utajua tatizo sugu liko wapi, utajua umuhimu wa katiba ya haki, utajua mipaka ya uongozi, umuhimu wa kutofautisha mihimili ya nchi, mamlaka na nguvu za Rais. Ukiwa mzembe utalaumu polisi kila siku na hufanyi kitu kazi lawama tu.

Hao wote unaosema France, UK na USA ndio lobbying na influence ya Israel ilivyo. Yani unachofanya ni kuwapangia mbinu za kuishi na kusalimika, wao wamechagua vile wewe unalazimisha wacheze wenyewe. Wayahudi washapitia changamoto nyingi sana na washapigwa mara nyingi tu, huwezi wafundisha namna ya kuishi na hawana mpango wa kukuelewa unawafikiriaje. Ukiwataka unawafuata kiuchumi, kibiashara, kijeshi, kimtandao mpigane atakayeshinda yaishe.
 
Dunia haiwezi kua / kuwepo bila Myahudi. Na huo ndio ukweli.
Kiimani ndiyo jamii inayopendwa na Mungu
 
Wapo waliolipwa mwanzoni kabisa, then annexation ya maeneo ikafuata na mengine kama Golan heights yakawa yanachukuliwa kila Waarabu wakishindwa vita. Sasa kumbe unakubali Jewish state ipo kiubabe, anayepigana vita Israel ikivamiwa ni nani? Tatizo la kutumia nguvu badala ya akili, watu wanafanya plans zao na tactics vizuri kabisa wengine wanakurupuka.

Ukianzisha mikutano ya vyama vya upinzani nchini kisha polisi wakakupiga kwa mtazamo wa Kiyahudi utawashutumu CCM, kwa mtazamo wa nguvu nyingi akili kidogo utawashutumu polisi. Ukiwa objective utajua tatizo sugu liko wapi, utajua umuhimu wa katiba ya haki, utajua mipaka ya uongozi, umuhimu wa kutofautisha mihimili ya nchi, mamlaka na nguvu za Rais. Ukiwa mzembe utalaumu polisi kila siku na hufanyi kitu kazi lawama tu.

Hao wote unaosema France, UK na USA ndio lobbying na influence ya Israel ilivyo. Yani unachofanya ni kuwapangia mbinu za kuishi na kusalimika, wao wamechagua vile wewe unalazimisha wacheze wenyewe. Wayahudi washapitia changamoto nyingi sana na washapigwa mara nyingi tu, huwezi wafundisha namna ya kuishi na hawana mpango wa kukuelewa unawafikiriaje. Ukiwataka unawafuata kiuchumi, kibiashara, kijeshi, kimtandao mpigane atakayeshinda yaishe.
Wewe uko brainwashed..unatukuza wenye makalio meupe,endelea
 
Hao ni WAHUNi Wamewekwa kimkakati duniani ndo maana Wanalindwa sana. Wayahudi halisi aka black Americans muda wao ukifika watarudi pale israel. Sema. Muda WA mataifa haukafika kama alivyosema YESU ingawa now wanaamka
 
Tuanzie kwenye World War 2, Nazi Germany iliua Wayahudi zaidi ya milioni 6 ndani ya miaka mitano tu. Walikuwa na kambi za maangamizi kama Auschwitz-Birkenau, Sobibor na Trebrinka. Hii picha ilipigwa na Allied Forces pale Evensee baada ya kuikomboa kambi hiyo kutoka mikononi mwa NaziView attachment 2407223

Huwezi sema Waafrika walinyanyaswa kuliko Wayahudi wakati Wayahudi hadi walihamishwa nchi kabisa. Kuanzia miaka ya 300s walipopigwa na kunyang'anywa Jerusalem walikuwa wanaishi wapi hadi 1948 walipoanzisha Jewish state pale Israel.

Watu weusi hawapendwi, ila hawana hata chembe ya kufikia level ya Wayahudi walivyochukiwa. Weusi walikuwa wanauzwa utumwani wakafanye kazi, walitumikishwa kwenye ardhi yao na kuibiwa rasilimali. Ukiachana na kufanywa watumwa hayo mengine wamefanyiwa Asians na Japanese ingawa haikudumu kwa muda mrefu. Wajapani walifanya Nanjing massacre, Japan ilifanya mass murder kwa Koreans, Chinese, Indonesians, Filipinos na Asians kibao na kuua more than 3 to 7 million people ndani ya miaka 15 tu. So kusema Waafrika walinyanyaswa zaidi ni kutojua historia ya races nyingine.

Waafrika tumezubaa na tunaishi tu, ila Wayahudi wakilala ndio basi tena hawana maisha wanapotezwa.
Achana na hiyo story ya kizungu. Wapi walisema Hao khazaris walinyanganywa Jerusalem. Hizo ni kamba za Wazungu tu. Hata bibble haisapoti hiyo story Yao.
 
Mwanzo 27:26 Isaka, baba yake, akamwambia, Njoo karibu sasa, ukanibusu, mwanangu.
27 Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana.
28 Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.
29 Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. Atakayekulaani alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe.

Ishi humo mkuu.
Heshimu wazazi wako pia ili ubarikiwe.
Wapi hapo wameandika kwamba ni mzungu
 
Back
Top Bottom