Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Huwezi kuwa na IQ kubwa kisa race,uyahudi ni dini na si rangi ya ngozi au kabila,hao unadhani ni wayahudi ni wazungu tu wa ulaya mashariki
nataka kwanza uelwe IQ ni majaliwa ya mungu tu kwa viumbe vyake.

jews wana IQ tofauti na watu wengine kama unabisha kamuuliz Iddi Amin alifanywa nini
 
nataka kwanza uelwe IQ ni majaliwa ya mungu tu kwa viumbe vyake.

jews wana IQ tofauti na watu wengine kama unabisha kamuuliz Iddi Amin alifanywa nini
Tukio la Entebbe halihalalishi kuwa wayahudi Wana IQ kubwa,Tanzania walienda kukomboa ndege yao Kenya kikomandoo baada ya kuvunjika EAC Mara ya kwanza,haimaanishi IQ ya watz ipo juu ya Kenya,tz ndiyo nchi ya kwanza kuiteka ndege ya adui(Libya/amini) kielektronik,haimaanishi watz Wana IQ kubwa kuliko Libya na Uganda
 
Tukio la Entebbe halihalalishi kuwa wayahudi Wana IQ kubwa,Tanzania walienda kukomboa ndege yao Kenya kikomandoo baada ya kuvunjika EAC Mara ya kwanza,haimaanishi IQ ya watz ipo juu ya Kenya,tz ndiyo nchi ya kwanza kuiteka ndege ya adui(Libya/amini) kielektronik,haimaanishi watz Wana IQ kubwa kuliko Libya na Uganda
IQ kubwa inapimwa kwa kufanya kitu gan mkuu
 
Jamii ya wayahudi imekuwa ni jamii inayolindwa sana duniani kiasi kwamba ukiongea neno lolote lenye kiashiria kibaya au cha kibaguzi dhidi yao hata kama ni cha ukweli lazima wakushughulikie.

Ila jamii ya watu weusi kutwa kucha inabaguliwa lakini hatua hazichukuliwi na inaonekana ni sawa tu. Refer the kanye west saga. Na mara zote matamshi yoyote yale juu ya wayahudi lazima wayahusishe na holocaust iliyotokea kule ujerumani nyakati za adolf Hitler.

Inavyoonekana wayahudi wameshika maeneo na sekta nyeti duniani. Ni kwanini hi jamii ilindwe hivo? Na je ni kweli watu wanawachukia wayahudi na zipi sababu ya watu kuwachukia?

Maana hata waarabu hawawapendi wayahudi, wazungu hawawapendi wayahudi ni watu weusi pekee duniani wanaowapenda wayahudi ila bado watu weusi ndio jamii inayochukiwa kuliko zote duniani na hakuna hatua zakuilinda jamii ya watu weusi isipotee duniani.
Mwanzo 27:26 Isaka, baba yake, akamwambia, Njoo karibu sasa, ukanibusu, mwanangu.
27 Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana.
28 Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.
29 Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. Atakayekulaani alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe.

Ishi humo mkuu.
Heshimu wazazi wako pia ili ubarikiwe.
 
IQ kubwa inapimwa kwa kufanya kitu gan mkuu
Suala letu si kipimo Cha IQ Bali kudai wayahudi/Israel Wana IQ kubwa kuliko wengine ilhali gunduzi za kisayansi na utatuzi wa matatizo ya ulimwengu umefanywa kwa asilimia kubwa na watu waso wayahudi
 
Nimeelewa lakini turudi kwenye mada yangu kwanini wapewe kinga kuliko watu weusi ilhali watu weusi ndio jamii inayochukiwa zaidi duniani na ipo hatarini kupotea kwa miaka 100 ijayo.
Umerudi palepale nikakokukatalia. Weusi hatuchukiwi kwa vile ni weusi, huwa tunabaguliwa kwa upuuzi na ujinga wetu mwingi. Wayahudi mara nyingi wanachukiwa ila hawabaguliwi.

Ukiwa maskini una uwezo wa kumchukia tajiri au mwenye nguvu ila huna uwezo wa kumbagua kwa vile anamiliki vingi utakavyohitaji siku fulani. Unaishi nae kwa kulalamika, hapo tutofautishe kuchukiwa na kubaguliwa.

Ukimbagua mtu humdhuru bali unamnyima baadhi ya ofa na haki na humpi kipaumbele. Ila ukimchukia mtu hata kumdhuru unaweza. Waafrika tungekuwa tunachukiwa na hatupendwi dunia hii tungeisha maana sisi ni vilaza kupindukia, hatuna uwezo wa kujitetea kwa lolote. Unaona mfano pale Cameroon yule Paul Biya ni Rais tangu 1982, ana miaka 90 anaweza kaa nje ya nchi miezi 9 akitibiwa, nchi ni maskini wa kutupwa. Hata tusiende mbali, unadhani kuna nchi ya Ulaya inaweza tumia helikopta kutangaza matokeo ya sensa? Au wapi uliwahi ona kuna sherehe za uzinduzi wa matokeo ya sensa kwenye nchi ya Ulaya? Umbebe Rais wa Finland, France au Lithuania umpeleke stadium na msafara wa watu kibao ili tu asome tarakimu milioni 61 point something?

Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3
IMG_20221105_111836.jpg

Mwafrika asingetakiwa duniani hana la kujitetea kazi kuombaomba tu uko, bora Red Indies wa Marekani walipigana vita na walishindwa kwa teknolojia ila sio sisi
 
Argentina wametokomeza weusi wote kwa kuwaua
Hiyo operation ilipigwa kimya kimya na kimkakati. Mojawapo ya mbinu walikuwa wanawekwa kwenye slums na hawapewi huduma za afya, magonjwa yanawafyeka. Tofauti ya mtu mweusi na Myahudi ni kwamba Myahudi utampa mazingira magumu ila atakuja na mbinu mbadala na wana umoja. Sisi ukishaondoa mbeleko ndio basi tena tumekwisha.

Wakati Waarabu wanapanga kuivamia Israel yenyewe ilikuwa na mtandao wa Mossad kwa nchi korofi zote hasa Egypt. Walifikia hatua ya kuwa na Eli Cohen pale Syria akiwa na maisha bandia na akiwa mshauri wa vigogo serikalini na jeshini na akajua siri za jeshi zote.

Kuwaangamiza ni kazi sana wako macho sio kama sisi. Na kitu ambacho hatutaki kukubali ni kwamba Waafrika hatuna madhara duniani hivyo hata tukiwepo sawa tu. Unaweza mchukia mshindani wako kibiashara, ila ukimchukia muuza machungwa ambaye hakuathiri kwa lolote we una matatizo
 
Hao unaodai ndo wayahudi original walipelekwa Israel yanayowakuta huko hawana hamu. Tatizo la miafrika ni kukataa vyao na kung'ang'ania vya wengine. Wengine wanajiona wao miyahudi, wengine wanajikuta miarabu wengine wanajiona wao mizungu ilimradi waukimbie uafrika wao mwishoe wanaonekana vituko tu.
Wakati naandika nilikuwa nakukumbuka,huku nikicheka.Nilitarajia ujio wako na comment ya aina hii

Unanifurahisha sn jinsi ulivyo na hasira na wanaojiita wayahudi wa buza!!
 
Umerudi palepale nikakokukatalia. Weusi hatuchukiwi kwa vile ni weusi, huwa tunabaguliwa kwa upuuzi na ujinga wetu mwingi. Wayahudi mara nyingi wanachukiwa ila hawabaguliwi.

Ukiwa maskini una uwezo wa kumchukia tajiri au mwenye nguvu ila huna uwezo wa kumbagua kwa vile anamiliki vingi utakavyohitaji siku fulani. Unaishi nae kwa kulalamika, hapo tutofautishe kuchukiwa na kubaguliwa.

Ukimbagua mtu humdhuru bali unamnyima baadhi ya ofa na haki na humpi kipaumbele. Ila ukimchukia mtu hata kumdhuru unaweza. Waafrika tungekuwa tunachukiwa na hatupendwi dunia hii tungeisha maana sisi ni vilaza kupindukia, hatuna uwezo wa kujitetea kwa lolote. Unaona mfano pale Cameroon yule Paul Biya ni Rais tangu 1982, ana miaka 90 anaweza kaa nje ya nchi miezi 9 akitibiwa, nchi ni maskini wa kutupwa. Hata tusiende mbali, unadhani kuna nchi ya Ulaya inaweza tumia helikopta kutangaza matokeo ya sensa? Au wapi uliwahi ona kuna sherehe za uzinduzi wa matokeo ya sensa kwenye nchi ya Ulaya? Umbebe Rais wa Finland, France au Lithuania umpeleke stadium na msafara wa watu kibao ili tu asome tarakimu milioni 61 point something?

Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3View attachment 2407371
Mwafrika asingetakiwa duniani hana la kujitetea kazi kuombaomba tu uko, bora Red Indies wa Marekani walipigana vita na walishindwa kwa teknolojia ila sio sisi
Napendaga Sana kusoma mitazamo yako mkuu,unajua Sana kujenga hoja zilizoshiba.

Ubarikiwe Sana.
 
Hiyo operation ilipigwa kimya kimya na kimkakati. Mojawapo ya mbinu walikuwa wanawekwa kwenye slums na hawapewi huduma za afya, magonjwa yanawafyeka. Tofauti ya mtu mweusi na Myahudi ni kwamba Myahudi utampa mazingira magumu ila atakuja na mbinu mbadala na wana umoja. Sisi ukishaondoa mbeleko ndio basi tena tumekwisha.

Wakati Waarabu wanapanga kuivamia Israel yenyewe ilikuwa na mtandao wa Mossad kwa nchi korofi zote hasa Egypt. Walifikia hatua ya kuwa na Eli Cohen pale Syria akiwa na maisha bandia na akiwa mshauri wa vigogo serikalini na jeshini na akajua siri za jeshi zote.

Kuwaangamiza ni kazi sana wako macho sio kama sisi. Na kitu ambacho hatutaki kukubali ni kwamba Waafrika hatuna madhara duniani hivyo hata tukiwepo sawa tu. Unaweza mchukia mshindani wako kibiashara, ila ukimchukia muuza machungwa ambaye hakuathiri kwa lolote we una matatizo
Itoe marekani na uingereza nyuma ya Israel..wanapotea chapu,toa allies WWII,pasingekua na myahudi,kusema myahudi bila mbeleko anatoboa si kweli, USA kapiga veto nyingi Sana UN kuikinga Israel,Siri ya maana Cohen aliyoipata Syria ni silaha za USSR batch mpya iliyopelekwa
 
Umerudi palepale nikakokukatalia. Weusi hatuchukiwi kwa vile ni weusi, huwa tunabaguliwa kwa upuuzi na ujinga wetu mwingi. Wayahudi mara nyingi wanachukiwa ila hawabaguliwi.

Ukiwa maskini una uwezo wa kumchukia tajiri au mwenye nguvu ila huna uwezo wa kumbagua kwa vile anamiliki vingi utakavyohitaji siku fulani. Unaishi nae kwa kulalamika, hapo tutofautishe kuchukiwa na kubaguliwa.

Ukimbagua mtu humdhuru bali unamnyima baadhi ya ofa na haki na humpi kipaumbele. Ila ukimchukia mtu hata kumdhuru unaweza. Waafrika tungekuwa tunachukiwa na hatupendwi dunia hii tungeisha maana sisi ni vilaza kupindukia, hatuna uwezo wa kujitetea kwa lolote. Unaona mfano pale Cameroon yule Paul Biya ni Rais tangu 1982, ana miaka 90 anaweza kaa nje ya nchi miezi 9 akitibiwa, nchi ni maskini wa kutupwa. Hata tusiende mbali, unadhani kuna nchi ya Ulaya inaweza tumia helikopta kutangaza matokeo ya sensa? Au wapi uliwahi ona kuna sherehe za uzinduzi wa matokeo ya sensa kwenye nchi ya Ulaya? Umbebe Rais wa Finland, France au Lithuania umpeleke stadium na msafara wa watu kibao ili tu asome tarakimu milioni 61 point something?

Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3View attachment 2407371
Mwafrika asingetakiwa duniani hana la kujitetea kazi kuombaomba tu uko, bora Red Indies wa Marekani walipigana vita na walishindwa kwa teknolojia ila sio sisi
We jamaa bwana,kwamba mkwawa na kinjekitile hawakupigana na wazungu,maumau kilikua chama Cha kuweka na kukopa!!!..
 
Umerudi palepale nikakokukatalia. Weusi hatuchukiwi kwa vile ni weusi, huwa tunabaguliwa kwa upuuzi na ujinga wetu mwingi. Wayahudi mara nyingi wanachukiwa ila hawabaguliwi.

Ukiwa maskini una uwezo wa kumchukia tajiri au mwenye nguvu ila huna uwezo wa kumbagua kwa vile anamiliki vingi utakavyohitaji siku fulani. Unaishi nae kwa kulalamika, hapo tutofautishe kuchukiwa na kubaguliwa.

Ukimbagua mtu humdhuru bali unamnyima baadhi ya ofa na haki na humpi kipaumbele. Ila ukimchukia mtu hata kumdhuru unaweza. Waafrika tungekuwa tunachukiwa na hatupendwi dunia hii tungeisha maana sisi ni vilaza kupindukia, hatuna uwezo wa kujitetea kwa lolote. Unaona mfano pale Cameroon yule Paul Biya ni Rais tangu 1982, ana miaka 90 anaweza kaa nje ya nchi miezi 9 akitibiwa, nchi ni maskini wa kutupwa. Hata tusiende mbali, unadhani kuna nchi ya Ulaya inaweza tumia helikopta kutangaza matokeo ya sensa? Au wapi uliwahi ona kuna sherehe za uzinduzi wa matokeo ya sensa kwenye nchi ya Ulaya? Umbebe Rais wa Finland, France au Lithuania umpeleke stadium na msafara wa watu kibao ili tu asome tarakimu milioni 61 point something?

Baadhi ya Waafrika wanalindwa na Mungu wa Israel wakati Israel yenyewe inalindwa na air defence systems kama Barak, Iron Dome, Arrow 3View attachment 2407371
Mwafrika asingetakiwa duniani hana la kujitetea kazi kuombaomba tu uko, bora Red Indies wa Marekani walipigana vita na walishindwa kwa teknolojia ila sio sisi

We jamaa bwana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Itoe marekani na uingereza nyuma ya Israel..wanapotea chapu,toa allies WWII,pasingekua na myahudi,kusema myahudi bila mbeleko anatoboa si kweli, USA kapiga veto nyingi Sana UN kuikinga Israel,Siri ya maana Cohen aliyoipata Syria ni silaha za USSR batch mpya iliyopelekwa
Unasema "itoe Marekani na Uingereza nyuma ya Israel" sasa kwani ujanja wa Israel uko limited kwenye nini? Kwani mkuu aliyekwambia nikitaka kukupiga ni lazima nije mwenyewe nani. Hiyo ni sawa na kusema itoe polisi na NEC tuone CCM kama watashinda. Alliances zipo, za wazi wazi na za kimya kimya na huwezi lazimisha zivunjwe. Hao Waarabu wenyewe waliungana kwenye Israel Arab conflicts na walishindwa.

Ukianzia namna gani Jewish state ilianzishwa eneo la Palestina ambapo Waingereza walikuwa wanatawala. Ukafuata namna gani wale peasants wa Kiarabu walilipwa fidia na wengine kutimuliwa wakati nchi inaanzishwa, ukaangalia ile vita uchwara ya Wayahudi dhidi ya Waingereza pale Palestina utaona kabisa Myahudi alikuwa anafanya calculated moves.

Kwanza kabla ya hapo, wakati Britain inaingia WW1 miaka ya 1910s ilitaka support ya Wayahudi duniani na ikawaambia waiunge mkono ili ikiishinda Ottoman Empire ikate eneo la Palestina ambayo haikuwa nchi rasmi na haina mipaka ikiwa chini ya Ottoman. Baadae miaka ya 1930s mojawapo ya sababu ya Hitler kuwakataa Wayahudi ni kwamba wao duniani agenda yao ni moja, haijalishi huyu yuko Argentina na huyu yuko South Africa. Hawana uaminifu na serikali za nchi zao, wana nidhamu na jamii yao na agenda zao tu, ila hawavunji sheria bali mara nyingi wanagoma kuunga mkono agenda wasizotaka. Pale WW1 Ujerumani inapigana na Uingereza, wao Wayahudi agenda yao ni kuunga mkono Uingereza wapate nchi pale. Wakati humohumo Ujerumani kuna Wayahudi kibao, ila eti wanataka Uingereza iishinde Ottoman wapate nchi yao ya kudumu. Unahisi Waingereza walikuwa wajinga kuomba kuungwa nao mkono? Wanajua nguvu yao.

Wimbo wa taifa wa sasa wa Israel ulitungwa na Myahudi wa eneo la Ukraine ya sasa ila lilikuwa Austria ya Poland miaka hiyo ya 1800 (unaona mkanganyiko). Ila nchi wameanzisha 1948, so you can imagine agenda yao ilikuwa nini. Huwezi wapoteza kizembe wao wanawaza mbele, they have all options on their table.

Na kama unasema Cohen alijua siri za silaha za Soviet tu unakosea. Siri nyingine Wayahudi hawakusema, ila mojawapo iliyowasaidia wakati anafanya ziara kwenye kambi za kijeshi aliwashawishi majenerali wapande miti ya mikaratusi Golan heights ili wanajeshi walio kwenye outposts na kambi wapate vivuli. Lengo ni vita ikianza miaka ijayo, Israeli pilots waweze locate positions za outposts. Rubani yuko jangwani ghafla anaona miti ya kijani, target destroyed!
 
We jamaa bwana,kwamba mkwawa na kinjekitile hawakupigana na wazungu,maumau kilikua chama Cha kuweka na kukopa!!!..
Sasa naona unataka tufanye ligi ya Waafrika VS Wayahudi katika kujitetea. Kwa akili yako unaona kabisa Kinjeketile Ngwale aliyekuwa anapaka watu maji na mtama ni sawa kabisa kumtaja kwenye mambo ya kutumia akili?

Sijasema Waafrika hatujawahi pambana. Ila linganisha mbinu na nguvu zinazotumika, na level ya uadui na chuki baina ya hizi jamii tofauti
 
Sasa naona unataka tufanye ligi ya Waafrika VS Wayahudi katika kujitetea. Kwa akili yako unaona kabisa Kinjeketile Ngwale aliyekuwa anapaka watu maji na mtama ni sawa kabisa kumtaja kwenye mambo ya kutumia akili?

Sijasema Waafrika hatujawahi pambana. Ila linganisha mbinu na nguvu zinazotumika, na level ya uadui na chuki baina ya hizi jamii tofauti
Acha kubadili kauli,uliandika wahindi wekundu walau waliopambana wakazidiwa kiteknolojia,nakuuliza ngwale,mkwawa,abushiri,mangi meli,wandebele na washona,maumau hawakupambana!?..hao wayahudi uingereza na ufaransa waliconspire kuanzisha taifa mashariki ya kati ili wawavuruge waarab,hakuna Cha myahudi kupambana kiakili Wala nini,miaka ilivyoenda USA nae akajiunga kwenye genge la uingereza na ufaransa,ukiwatoa hao watatu hakuna atakaekaa Israel kwa dhiki,njaa na Vita vitakavyokuwepo
 
Back
Top Bottom