Kwanini jamii ya Wayahudi inalindwa sana duniani kuliko watu weusi?

Kwa upeo Wangu mdogo hawa watu wenye vinasaba vya uyahudi wana akili sn...IQ yao ipo juu mno ndio mana marekani hataumuambie nn hawezi acha kuwalinda hawa viumbe...nihatari sn Kwa kila kitu

Hakuna cha AKILI wala nini. Wangekuwa na Uchumi mkubwa basi kuliko mtu nchi yoyote. But wanaongoza kupokea mpunga WA msaada kutoka huko USA kila MWAKA.

USA na UK wanawakumbatia sababu wao ndio waliowatungia Hilo Jina LA Israel na kuwaweka hapo baada ya kukataliwa UGANDA.

Na waliwaweka hapo kwa ajili ya mambo Yao binafsi.....they want to control middle east so wameweka hapo kwa story za uongo ili kupata justification za kuendelea kuwaweka.

But eti upuuzi WA kwamba ni majiniasi no story tu za kupikwa tulizolishwa WAafrika hasa wakristo basi na sisi sababu ni mang'ombe tunaamini
 
Kwa upeo Wangu mdogo hawa watu wenye vinasaba vya uyahudi wana akili sn...IQ yao ipo juu mno ndio mana marekani hataumuambie nn hawezi acha kuwalinda hawa viumbe...nihatari sn Kwa kila kitu
Siyo kweli kwamba Wana akili Sana,Bali walikua wafanyabiashara tangu kabla ya wengine kuamka,so Wana hela,hivyo hufanya lobbying kwa maseneta,wawakilishi wa mabunge ya marekani na wagombea urais,pia hufadhili kampeni zao.

Ndiyo unaona unayoina, lakini pia Hilo taifa lilianzishwa ili kuwavuruga waarabu wasitangamane,hebu fikiria Israel isingekuwepo mashariki ya kati pangekuaje, so Israel ni moja ya mikono ya mabeberu kuvuruga waarabu
 
Katika jamii iliyopata misukosuko kwa miaka 4000 basi ni wayahudi. Walianza kupata tabu hata utumwa wa Mwafrika haujafikiriwa.

Sasa wamebaki takriban milioni 15 tuu duniani sawa na jiji moja kubwa, ila wana influemce kubwa kutokana na kushika sehemu nyingi za fedha na utawala Marekani na Ulaya
 
Nimeelewa lakini turudi kwenye mada yangu kwanini wapewe kinga kuliko watu weusi ilhali watu weusi ndio jamii inayochukiwa zaidi duniani na ipo hatarini kupotea kwa miaka 100 ijayo.
Fisi ndiyo mnyama anayechukiwa zaidi zaidi lakini halindwi Kama wantama wengine mfano Tembo kwanini? Hana maajabu akitoweka Tembo tutapoteza vingi but fisi hata wakiisha no body cares. Umeelewa mkuu?
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Nani alikwambia
 
Hao wazungu waashkenazi siyo wayahudi original.Wapo wayahudi halisi,nenda Ethiopia utawakuta wengi Sana.
Wayahudi walitawanyika Ulaya na Marekani na baadaye wengine kurejea Israel mwaka 1948.

Waliyokuwa Ethiopia walikuwa ni Falashians na walisharejeshwa Israel lkn wayahudi wengine wengi bado wako nje ya Israel kwa mujibu wa Biblia na watakaporejea Israel ndio itakuwa mwisho wa dahari.
 
Nipe kifungu. And why walitawanyika?
 
Unajua why wale pale israel 98% wanaitwa Ashkenazi na 2% sapharic jews?
 
Ndio Jamii yenye mfumo mzuri mzuri wa malezi. Mwanamke wa kiyahudi ndie mama mlezi bora kwa watoto duniani. Thus watoto wao huwa na akili hata wakiwa watu wazima.
Wazazi wa kiafrica hawajui malezi, wanaua ndoto za watoto, wanawajengea watoto wao hali ya kutojiamini, kujihisi duni, kushindwa hio hali ukua nayo hadi ukubwani.
 
Nipe kifungu. And why walitawanyika?

Nipe kifungu. And why walitawanyika?
"Ancient Israel was scattered throughout the earth because the people rejected God's covenant. It was prophesied that Israel would be scattered among the nations of the earth because of the people's wickedness (see Leviticus 26:33; Deuteronomy 4:23–27; 28:25, 37, 64; 1 Nephi 10:12–13; 21:1; 22:3–4)".
 
Nani alikwambia Musa alikuwa hajulikani kama ni muebrania?binti Farao alipomchukua Musa tu,alimtafuta mwanamke wa Kiebrania kwa ajili ya kumnyonyesha Musa..ila mke wa Musa ndiye alikuwa mweusi
7
 
Mbona jibu la hili swali rahisi tu.Watu weusi kuna wapumbavu karibu asilimia 99.99 na wayahudi kuna wenye akili kubwa kama asilimia 99.99. Mchango wa mtu mweusi kwenye hii dunia ni ZERO.
 
wayahudi kwa asili walikuwa wa2 weusi walipokuwa wakiishi misri...wazungu walipogundua siri ya baraka wa israil wakzaa nao kwa fujo,,,,,,,,,,so weusi 2nawapenda wayahudi kwa sababu 2najua ni ndugu ze2,,,ukisoma q'ran tukufu MUNGU anasema"na tulichukua udongo mweusi,uliovunda ambao ukikauka ukigongwa unalia na 2kamuaamba ADAM SAW.................wazungu wanajipendekeza tu
 

Kama nakuelewa vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…