Kwanini January Makamba akipewa wizara anafanya mabadiliko ya staff wengi?

Kwanini January Makamba akipewa wizara anafanya mabadiliko ya staff wengi?

Kwani ofisi yake..yaani we unakaribishwa kwenye nyumba kusha unafukuza uliowakuta..kwanini usikae nao uangalie gaps.

Naona hata mama yenu alipoingia tu kesho yake kapangua na kuwatoa. Sasa nchi nzima hali tete.. sio umeme, sio tamisemi, sio maji, sio afya, sio elimu.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Maza bado yeye anapanga safu ni teua tengua kutwa
 
Makamba kaondoshwa,kaenda mbali kabisa,kujipanga.Lawama zitaanza kwenda moja kwa moja kwa MAMA,kwani tatizo la umeme halitaisha,na Makamba wa kupewa lawama,hayupo,na aliyewekwa kama mbadala wake,hatasakamwa,badala yake ni mama tu ndiye atakayeandamwa.
 
Kwani ofisi yake..yaani we unakaribishwa kwenye nyumba kusha unafukuza uliowakuta..kwanini usikae nao uangalie gaps.

Naona hata mama yenu alipoingia tu kesho yake kapangua na kuwatoa. Sasa nchi nzima hali tete.. sio umeme, sio tamisemi, sio maji, sio afya, sio elimu.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Huyo mama wizara ya Nishati hakupaswa kuigusa kabisa angeiacha kama alivyoikuta.

Toka alipomteua makamba ni mwendo wa mgao wa Umeme haujawai kukoma
 
Kwani ofisi yake..yaani we unakaribishwa kwenye nyumba kusha unafukuza uliowakuta..kwanini usikae nao uangalie gaps.

Naona hata mama yenu alipoingia tu kesho yake kapangua na kuwatoa. Sasa nchi nzima hali tete.. sio umeme, sio tamisemi, sio maji, sio afya, sio elimu.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kama lilivyofanya lile shetani lenu la Chato.
Lilipoingia tu Ikulu likatimua wote aliowakuta kuanzia KMK
 
Huyo mama wizara ya Nishati hakupaswa kuigusa kabisa angeiacha kama alivyoikuta.

Toka alipomteua makamba ni mwendo wa mgao wa Umeme haujawai kukoma
Sasa lawama zinarudi kwake..na haitokuja kutulia tena. Imeshatibuliwa..wamewekwa watu wasio na ujuzi wowote na umeme.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mliofuatilia teuzi za January. Akiteuliwa tu hubadili watendaji wa wizara karibia wote hadi kuvunja board za wakurugenzi?

Hii ni tofauti kabisa na wengine? Shida Huwa ni Nini? Wataalam wa huko mawizarani huwa kuna Nini?

Na haohao aliowaweka siku akiondoka wanashangilia Tena.
Sina uhakika japo nampenda na ni pacha wangu napata mashaka nahisi ana kaubaguzi fulani, ebu fuatilia ana muweka mtu wa aina Gani na nasaba zake, yawezekana anapenda wa yes yes, wasiojua kumzidi na mengineyo. Japo kimfumo nadhani anatumia haki ya kikanuni
 
Makamba kaondoshwa,kaenda mbali kabisa,kujipanga.Lawama zitaanza kwenda moja kwa moja kwa MAMA,kwani tatizo la umeme halitaisha,na Makamba wa kupewa lawama,hayupo,na aliyewekwa kama mbadala wake,hatasakamwa,badala yake ni mama tu ndiye atakayeandamwa.
Subiri kwanza Mahusiano na nchi za nje yayumbe..
 
Back
Top Bottom