Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Umeongea point kubwasasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi?
Sio serikalini hata wasio shika serikali ni mafisadi muite mwenyekiti aje akemee ufisadi kama anawezaUmeongea point kubwa
Nani anamchukia? Nilodhani kwamba unasema Samia ndio anachukiwaNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Sio kweli, huku watu wengi ndyo hawampendiHivyo umekuja mtetezi kuchungulia nani ana mchukia huku wote wanampenda!
January anachukiwa na wanao mchukia hawajui wanamchukia kwa sababu gani.Nani anamchukia? Nilodhani kwamba unasema Samia ndio anachukiwa
Unahisi wapi anakopendwa?Sio kweli, huku watu wengi ndyo hawampendi
Ukiitaka nafasi namba 1, unakaribisha uchafu usioujua.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Tatizo wanafanya ufisadi hadi wanapitiliza ,wanakunywa hadi uji wa mgonjwa ,Lameck Madelu na February marope anamdanganya mama kizimkazi kuweka mitozo ya kila aina halafu wanazipiga wao tu.,wanajinunulia mibus esther na kuanzisha ma club kidimbwi/tipsy kila sehemu.Nimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Chuki zipoNyota yake tu... Siyo ya kupendwa 🤒🤒🤒.
Hakuna mtu anayemchukia
Wana fisiem wanaona anabebwa hasa ile yop 5.....baada pale akajipata yeye bright zaidi wote akili sana....President Material kazi ilianzia hapo kupiga kila waziri mpigaji tuuuuNimepitia sehemu mbalimbali katika mitandao nimegundua Mh Januari makamba anachukiwa na watu wengi, japo wapo wanao mkubali.
Wengi wanadai jamaa ni Fisadi, sasa katika serikali hii nani ambaye sio Fisadi? Nani ambaye hali kwa urefu wa kamba yake?
Wengine wanasema ni mlozi, sasa katika serikali hii nani haendi kwa sangoma? Wengine wanaenda mpaka Mombasa kuchinja Ngamia na vifaranga.
Nimegundua ipo nguvu kubwa inaelekezwa kumchafua, sijui alikosea wapi.
Kwa maana hiyo wote serikalini ni mafisadi, sasa kwanini nguvu na chuki kubwa imeelekezwa kwa Mgosi? Au kuna jambo nyuma ya paazia?Tatizo wanafanya ufisadi hadi wanapitiliza ,wanakunywa hadi uji wa mgonjwa ,Lameck Madelu na February marope anamdanganya mama kizimkazi kuweka mitozo ya kila aina halafu wanazipiga wao tu.,wanajinunulia mibus esther na kuanzisha ma club kidimbwi/tipsy kila sehemu.
Musiba alisema January Ni jambazi, eti ana alama ya risasi kwenye kisigino cha mguuMtafute Musiba akupe habari za January.